[emoji3] [emoji3] [emoji3]Umeonaeee, sie wakati huyo jamaa anakufa tuwatu wazima kabisa na k tunakula. Nashangaa wengi wanasema lapili mara darasa la tatu, si bora hao walokuwa form 4. Ndo maana tunapojadili maswala ya msingi huku tunakuwa na shida sana kumbe watoto wamejaaa aghhhhhrrrri.
Natania tu bwana watotot msiogope, nyie ndo mnafanya JF isiwe boared, I like you kids.
Yaani na mm nimeshangaa kumbe ndio maana JF hii sio ile kabisaJf imevamiwa na watoto siku hizi!
ndio maana ufacebook mwingi sana humu
Hatujavamia ila tumekuja ku-take over wakongwe wanahitaji challengesWatoto wa Facebook na Instagram wamevamia jf aisee
Tulikuwa majirani kiasi chake bro ila vidudu wewe ni mdogo wangu wa mwisho.Me nilikuwa nasoma vidudu katika jengo moja hivi la duara lina gorofa moja lipo karibu na uwanja wa mpira wa kambarage........... nilikuwa naishi naishi majengo ya zamani karibu na buchosa bar mtaa wa maduka mengi
Kwani ukubwa ni mpaka ule tunda maana wengine toka tunacheza kibaba mama mizigo tunakula tena haina wivu?Umeonaeee, sie wakati huyo jamaa anakufa tuwatu wazima kabisa na k tunakula. Nashangaa wengi wanasema lapili mara darasa la tatu, si bora hao walokuwa form 4. Ndo maana tunapojadili maswala ya msingi huku tunakuwa na shida sana kumbe watoto wamejaaa aghhhhhrrrri.
Natania tu bwana watotot msiogope, nyie ndo mnafanya JF isiwe boared, I like you kids.
Umeulizwa ulikuwa wapi siku hiyo wewe unaleta maelezo!Kumbe huku % kubwa ni watoto ?,ushauri wangu ni huu,suala la umri lizingatiwe ili uweze kuwa member wa jf,pls wahusika walifanyie Kali
means una miaka 23 au 24,Me nilikuwa std one