Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

Umeonaeee, sie wakati huyo jamaa anakufa tuwatu wazima kabisa na k tunakula. Nashangaa wengi wanasema lapili mara darasa la tatu, si bora hao walokuwa form 4. Ndo maana tunapojadili maswala ya msingi huku tunakuwa na shida sana kumbe watoto wamejaaa aghhhhhrrrri.

Natania tu bwana watotot msiogope, nyie ndo mnafanya JF isiwe boared, I like you kids.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Alafu ndio mana tafiti zinaonyesha kuwa kati ya wanne mmoja ni kichaa
 
Me nilikuwa nasoma vidudu katika jengo moja hivi la duara lina gorofa moja lipo karibu na uwanja wa mpira wa kambarage........... nilikuwa naishi naishi majengo ya zamani karibu na buchosa bar mtaa wa maduka mengi
Tulikuwa majirani kiasi chake bro ila vidudu wewe ni mdogo wangu wa mwisho.
 
Umeonaeee, sie wakati huyo jamaa anakufa tuwatu wazima kabisa na k tunakula. Nashangaa wengi wanasema lapili mara darasa la tatu, si bora hao walokuwa form 4. Ndo maana tunapojadili maswala ya msingi huku tunakuwa na shida sana kumbe watoto wamejaaa aghhhhhrrrri.

Natania tu bwana watotot msiogope, nyie ndo mnafanya JF isiwe boared, I like you kids.
Kwani ukubwa ni mpaka ule tunda maana wengine toka tunacheza kibaba mama mizigo tunakula tena haina wivu?
 
Kumbe huku % kubwa ni watoto ?,ushauri wangu ni huu,suala la umri lizingatiwe ili uweze kuwa member wa jf,pls wahusika walifanyie Kali
Umeulizwa ulikuwa wapi siku hiyo wewe unaleta maelezo!
1476433623393.jpg
 
Mnaoshangaa watoto,hamjui hii ndo generation mpya imacoverup wakati wale wazamani wakipukututika na kuachia nafasi,
haa sio watoto tena wameshakua wakubwa,waliokuwa la pili,la kwanza sasa wana miaka 24-25,hawa ni watu wazima tu,hata wewe wa miaka 35 ama 40 sasa unaweza kuoa bila tabu.


Mimi kipindi hicho niko dodoma nafuatilia pensheni ya kustaafu,kwakweli tulilia sana
 
Kuna mdogo wangu alikuwa na miaka kama 5 hivi, alipoona watu wanalia na yeye akaanza kulia huku hamjui hata huyo nyerere, siku zilipopita RTD wakaanzisha kile kipindi cha saa 2 na robo usiku Nyerere anaongea.

Dogo ndo kuniuliza kama mtu akifa anaongea tena, nikamwambia hizo wamezirekodi akawa hanielewi, ikabidi nimrekodi kwa kutumia casseti na zile kanda (music tape), baadae nikamwekea akajisikia akiwa anaongea, ndo kumwambia hata akifa ile tutaendelea kuisikia.
 
Back
Top Bottom