Mungu anakuona ndguIlikuwa siku natakiwa kufanya presentation ya masters pale Udsm nimeshajiandaa vya kutosha hlf naambiwa hadi nitakapoitwa tena.
Safi sanana mie pia
Wewe ulikuwa na watoto wangapi kipindi hicho?Kumbe watoto wadogo wengi humu la pili, la tatu???
Umeona enh?? Unaweza kuwa unatoa povu kumbe unabishana na mwanaoJf imevamiwa na watoto siku hizi!
ndio maana ufacebook mwingi sana humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna watu wa 2006 humuUmeona enh?? Unaweza kuwa unatoa povu kumbe unabishana na mwanao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nilikuwa namtafuna mtu
Wa 2006 afu hana bikra. Mungu anawaona[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna watu wa 2006 humu
mjukuu kabisa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na pm yake imejaa mafataki!Wa 2006 afu hana bikra. Mungu anawaona
Asnteeeeeeembona utwitter wenu pia hatuuon
Ahahaaaaahahaha kumbe wengi wadogo humu. nlikua kazini mitaa ya ohio Dar. kazini ilikua ni mwaka wa pili. chuo nlishamaliza na CPA juu.
Ni kweli ni watu wazima but sio kwa makelele wanayopiga humu ndani na kutaka kutuambia they are omniscientMtu aliyekuwa darasa la tatu make alikua na around 9-10 yrs, sasa ukijumlisha 17 unazungumzia mtu mwenye 26-27, huyu ni mtu mzima na wengine wana familia kubwa tu.
Ulikuwa wapi?,mimi nilikuwa darasa la pili shule moja maarufu jijini Mwanza, mwalim akapiga kengele akasema tunarudi nyumbani sababu Nyerere kafariki,nilikuwa hata sijui Nyerere ni nani, mimi nilikuwa namjua Ben Mkapa pekee,kurudi nyumbani jioni yake tunakuta Komba tayari ameshafanya yake (Jamaa alikuwa fasta sana) japo Tv tulikuwa tunaangalia kwa jirani.
Nyerere pumzika kwa amani
Mkuu sitakaa nisahau mi nilikuwa ndo niko darasa la saba ila kipindi anatangazwa kafariki tulikuwa migombani tunachuma kahawa na redio tulikuwa nayo tumening'iniza kwenye mkahawa!!tena umenikumbusha dedio ilikuwa aina ya national ile ya batery 4 kubwa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ulikuwa wapi?,mimi nilikuwa darasa la pili shule moja maarufu jijini Mwanza, mwalim akapiga kengele akasema tunarudi nyumbani sababu Nyerere kafariki,nilikuwa hata sijui Nyerere ni nani, mimi nilikuwa namjua Ben Mkapa pekee,kurudi nyumbani jioni yake tunakuta Komba tayari ameshafanya yake (Jamaa alikuwa fasta sana) japo Tv tulikuwa tunaangalia kwa jirani.
Nyerere pumzika kwa amani