Mimi nilikuwa moja ya maofisa wandamizi ngazi ya wilaya siku hiyo tulikuwa kwenye semina pande za Singida ile tunatoka break tunakuta kwenye ofisi za serikali bendera zipo nusu mlingoti na watu wapo kwenye vikundi vya watu wachache wakiongea kwa sauti za chini chini tukajua tu Nyerere ametutoka kipindi kile TV ni chache mpaka uende bar uagize kinywaji