Kifo cha mwanafunzi MCHAS-UDSM kichunguzwe, japo kimetokea akiwa Mwanza

Kifo cha mwanafunzi MCHAS-UDSM kichunguzwe, japo kimetokea akiwa Mwanza

Hata baada ya kurekebisha, kama unavyodai, bado inahitaji hiyo ^mbinde sana^ ili kuelewa ulichoandika. Hii ni hatari na robo ^tar-two^!!!

1624046255742.png

Sawa mkuu ingawaje nilirekebisha. Pole kwa kuelewa kwa mbinde
 
Dogo mimi brother wako sijui kiingereza ila hiyo sentensi ya mwisho naona umechemka..."more up to date..." Hii ilibidi uandike "more updates..." kwa mujibu wa mwalimu wangu Ras Simba!
Umemkosoa mwenzio, na wewe hapa jua: ^Kiingereza^ inaanza kwa herufi kubwa, sawa!???
 
Kwani Rushwa ya ngono haina negative effect kwa sisi vijana wa kiume?

Wa kike anapopewa GPA fake kisa tu katiwa na recture hauoni kwamba na Mimi kama mtoto wa kiume napata matokeo yasiyo na uhalisia kwa kuzidiwa na mtoto wa kike?...
Ndiyo ufanye bidii zaidi ili hata angefanyiwa mtihani na huyo the so-called ^recture^ 🙂 , asiweze kufikia japo nusu ya alama zako za ufaulu.
 
Wakuu Salam kwenu,

Naenda kwenye mada moja KWA moja...
Kama umeshindwa tu Kuandika vyema neno Taarifa na unaandika Tahalifa na hata Uandishi wako nao Kimpangilio ni wa hovyo hovyo tutaamini vipi haya uyasemayo au madai yako?
 
Elimu ya bongo stress tupu Hadi nilipata depression na ma lecturer kuweni ma empathy basi hasa kwetu wanawake unakuta jitu linataka mbususu basi linakusumbua kwa kukukwamisha usimalize same apply na kukomoa wanaume.

R. I. P kijana I understand situation uliyokuwa unapitia ulale mapema
 
"Vijana kasomeni mjielimishe lkn kazi hakuna" ....Tabasamu.

Sasa ninyi mlio vyuo vikuu mnasoma mpk chuo kikuu ili uje kufungua kiduka Cha mangi? Duka la nguo? Bodaboda? Kufuga? Kulima? Kufqnya hizo kazi kunahitaji elimu ya chuo kikuu?
Kufuga na kulima hakutakiwi uwe na degree? Umekosea sana kuzichukulia hizi sekta kama ushonaji wa vyandarua.
 
Nina lecturer mmoja ana tabia ya kikuda ya kutwambia anakula kichwa. Kwanza lecturer kutamka neno hilo la bar ni upuuzi
 
Kufeli shule sio kufeli Maisha ,tatizo wanafunzi wana mentality kwamba unasoma form 4 unaenda 6 ukishamaliza unaenda chuo then unapata kazi unapata maisha mazuri na kujenga nyumba nzuri na kununua gari hivyo wakiona ndoto zao hazitimii wanaona kama ndio mwisho wa maisha.

"wako wapi walionicheka shuleni nilipofeli? 93 nipo boarder naitafuta south africa,leo hii kila nikitaka naenda zangu america ,ndivyo maisha yanachange leo ndani ya terrano ,kesho VX au Range" -Sugu.

Sugu naye angekuwa na mawazo ya kufeli shule ndio kufeli maisha asingekuwa hapo alipo leo,life tyt lakini si kwa wote ,kama umekwama omba msaada sio wote wana maisha magumu wengine wapo vizuri watakusaidia kuondokana na changamoto zako.

DES.jpg


DES1.jpg
 
Elimu ya bongo stress tupu Hadi nilipata depression na ma lecturer kuweni ma empathy basi hasa kwetu wanawake unakuta jitu linataka mbususu basi linakusumbua kwa kukukwamisha usimalize same apply na kukomoa wanaume.
R. I. P kijana I understand situation uliyokuwa unapitia ulale mapema
ulitoa? nini mkuu
 
Well said mkuu, but nafuatilia and by the way sio siku nyingi naenda Mbeya ,why tumpoteze Dactari kwa ujinga tu this blood will up to them ,hii hakubaliki ,mfano hao doctors wanaowafanyia watz hivi je walipata first class KWA under graduate zao ,Kama kweli tumempoteza doctor aliepitia mazingira magum just KWA mafala machache, never give up I will fight direct or indirect
Duh! Huo mwandiko na hicho kiingereza sasa, unawezakuta na wewe ni eti ni mwanafunzi aliyeko chuo.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Elimu ya bongo stress tupu Hadi nilipata depression na ma lecturer kuweni ma empathy basi hasa kwetu wanawake unakuta jitu linataka mbususu basi linakusumbua kwa kukukwamisha usimalize same apply na kukomoa wanaume.
R. I. P kijana I understand situation uliyokuwa unapitia ulale mapema
Pole sana, ila wakati mwingine kuna baadhi ya wanafunzi wa kike hutengeza mazingira ya kutaka kupendelewa kimasomo hasa mwalimu anapokuwa ni kijana; na hii siyo Tanzania tu bali sehemu nyungu za dunia. Nina mifano ya Tanzania na marekani ambako niliwahi kufundisha kwa muda mrefu tangu ningali kijana.

Wakati nikiwa nafundisha UDSM, kuna wanafunzi walifeli somo langu kwa kufuata standard zilizokuwepo kihalali kabisa, na ikabidi wajiandae kufanye mtihani wa sup; kulikuwa na wavulana watatu na msichana mmoja. Kipindi cha mwezi May yule msichana akawa "ananisumbua" sana kutaka nimhakikishie kuwa atanasuliwa na sup. Ni Jambo ambalo sikulipendelea siyo tu kimaadili, bali ilionyesha kuwa huyu binti akiwa na madaraka anaweza kuyatumiaje. Fortunately, baada ya kumshikisha adabu ya masomo alijiandaa na mtihani na baadaye aka clear, though marginally.

The same ilinitokea wakati nafundisha Marekani; nilikuwa nafundisha somo fulani la sophomore, na kwa vile nilikuwa strict, nilikuwa nashangaa kuwa siku chache klabla ya mtihani watoto wa kike walikuwa wananifuata ofisisni wakiwa wamevaa vigauni vifupi huku nusu maziwa nje pamoja na manukato makali sana kuulizia maswali mbalimbali kama yatakuwa kwenye mtihani. Nguo hizo walikuwa wanazivalia kwenye magari yao wanapotaka kuja ofisini kwangu, baada ya hapo wanarudi na kubadilisha mavazi kabla ya kwenda madarasa mengine. Jibu langu lilikuwa fupi sana kuwa sijaju mtihani utakuwaje kwa voile sijatulia kuchagua maswali.
 
Wakuu Salam kwenu,

Naenda kwenye mada moja KWA moja

UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya,na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital...
thanks ,more up to date as I got the information,[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Kajifunze kuandika na matumizi sahihi ya lugha ndio uje kuandika upya.

Hueleweki unatoa taarifa,Rai au unaagiza?
 
Kajifunze kuandika na matumizi sahihi ya lugha ndio uje kuandika upya.

Hueleweki unatoa taarifa,Rai au unaagiza?
Aliekwambia jf tunashindanisha miandiko nani ,laana ya ukoo naona inakutafuna na kukufuata kila ukanyagapo , japo wajiona mzima, ukiendelea utapata haki yako hapohapo ulipo
 
Kama umeshindwa tu Kuandika vyema neno Taarifa na unaandika Tahalifa na hata Uandishi wako nao Kimpangilio ni wa hovyo hovyo tutaamini vipi haya uyasemayo au madai yako?
Tekeleza msemo wa mkuu wa wilaya ya Iringa inatosha , Cha msingi umjua nimelenga nini
 
Back
Top Bottom