Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
as I "got". means he has alreadythanks ,more up to date as I got the information,[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
as I "got". means he has alreadythanks ,more up to date as I got the information,[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Aisee wenda we sio kiumbe wa dunia tuishiyoSasa kajiua huko wakachunguze nini, yaani ushindwe soma ujiue kesi wapewe wengine khaaa
Kifo hiki kinatatanisha vipi?Kwani acc imefunguliwa lini ,na je hakuna sababu ya kufuatilia kifo Cha kutatanisha , tuliza mmzuka ,kuomba fuatilia kifo nini kisababishi ni kuchafua watu ,we wa wapi ,na umezaliwa Afrika Kama ata imani ya uruma huna
Pamoja na kwamba nimeelewa hoja yako ,uandishi wako una matege mengi Sana.Kuhusu kufelishwa haiwezi kukihukumu chuo kwamba kimesababisha kifo,hilo kama ni tatizo laweza kushughulikiwa kusaidia wengine lakini huwezi kulitumia kama sababu ya kifo.Sababu ya kifo Ni lile tendo lililomtoa uhai ama suicide,manslaughter ama murder.Wakuu Salam kwenu,
Naenda kwenye mada moja KWA moja
UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya,na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,
Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.
Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa , Kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,
KWA tahalifa nilizopewa sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la
Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara
Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Tunashukuru kwa taarifa na poleni kwa kuondokewa na mwenzenu.Wakuu Salam kwenu,
Naenda kwenye mada moja KWA moja
UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya,na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,
Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.
Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa , Kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,
KWA tahalifa nilizopewa sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la
Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara
Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Binadam wote ni sawa mbele za mungu ,na ana haki sawa,msilete mzaa ,tunataka kujua trigger ya kifo chake , kwamba tz mtu afe na kufukiwa hata Kama kifo chake kina shida big no ,wenda alizulika uko Mwanza but why tusijue kifo chake ilihali ingekua ni kiongozi v8 zingekua zinaandamanaPamoja na kwamba nimeelewa hoja yako ,uandishi wako una matege mengi Sana.Kuhusu kufelishwa haiwezi kukihukumu chuo kwamba kimesababisha kifo,hilo kama ni tatizo laweza kushughulikiwa kusaidia wengine lakini huwezi kulitumia kama sababu ya kifo.Sababu ya kifo Ni lile tendo lililomtoa uhai ama suicide,manslaughter ama murder.
Mfano uyu inasemekana alikua mwanafunzi, why alikua mwanza wakati vyuo havijafungwa?Kifo hiki kinatatanisha vipi?
Unaweza ukawa na point, ila wadhani Chuo ndio kimemsafirisha hadi Mwanza? Ukipata taarifa zaidi ulete hapa, na hata kama itakuwa ya kukisafisha chuo chake, kwani umekihukumu chuo kabla hujajua habari nzima.Mfano uyu inasemekana alikua mwanafunzi, why alikua mwanza wakati vyuo havijafungwa?
Pili nini akutwe mwili chumbani kwake umearibika, kwamba Mwanza alikua anaishi peke yake maana mpaka kwenda Mwanza wenda alikua na ndugu,na hajafia Gest ,
Sio wote wanatengeneza hayo mazingira na nyie wahadhiri mkiona mtu anajileta huwa Wana kwepa maana kweli chuoni mbona ma slay queen wakutaka mtelezo huwa wapo, Kuna wale huwa hawataki mazoea na wahadhiri lazima wakusumbue bila sababu Lengo mtu ulainike tu na ukiwa hueleweki anakutesa na kukuletea usumbufu usio na msingi.Pole sana, ila wakati mwingine kuna baadhi ya wanafunzi wa kike hutengeza mazingira ya kutaka kupendelewa kimasomo hasa mwalimu anapokuwa ni kijana; na hii siyo Tanzania tu bali sehemu nyungu za dunia. Nina mifano ya Tanzania na marekani ambako niliwahi kufundisha kwa muda mrefu tangu ningali kijana.
Wakati nikiwa nafundisha UDSM, kuna wanafunzi walifeli somo langu kwa kufuata standard zilizokuwepo kihalali kabisa, na ikabidi wajiandae kufanye mtihani wa sup; kulikuwa na wavulana watatu na msichana mmoja. Kipindi cha mwezi May yule msichana akawa "ananisumbua" sana kutaka nimhakikishie kuwa atanasuliwa na sup. Ni Jambo ambalo sikulipendelea siyo tu kimaadili, bali ilionyesha kuwa huyu binti akiwa na madaraka anaweza kuyatumiaje. Fortunately, baada ya kumshikisha adabu ya masomo alijiandaa na mtihani na baadaye aka clear, though marginally.
The same ilinitokea wakati nafundisha Marekani; nilikuwa nafundisha somo fulani la sophomore, na kwa vile nilikuwa strict, nilikuwa nashangaa kuwa siku chache klabla ya mtihani watoto wa kike walikuwa wananifuata ofisisni wakiwa wamevaa vigauni vifupi huku nusu maziwa nje pamoja na manukato makali sana kuulizia maswali mbalimbali kama yatakuwa kwenye mtihani. Nguo hizo walikuwa wanazivalia kwenye magari yao wanapotaka kuja ofisini kwangu, baada ya hapo wanarudi na kubadilisha mavazi kabla ya kwenda madarasa mengine. Jibu langu lilikuwa fupi sana kuwa sijaju mtihani utakuwaje kwa voile sijatulia kuchagua maswali.
Unajuaje hatujapewa taarifa za jinsiaRushwa ya ngono,
Rushwa ya ngono,
Bongo ndio maana nawashukuru wazazi wangu kunipeleka kusoma nje.
Elimu isiyo na rushwa ni form four na six tu bongo.
R.I.P kwake poleni kwa majonzi.
Unaweza ukawa na point, ila wadhani Chuo ndio kimemsafirisha hadi Mwanza? Ukipata taarifa zaidi ulete hapa, na hata kama itakuwa ya kukisafisha chuo chake, kwani umekihukumu chuo kabla hujajua habari nzima.
Mtu anaweza gongwa na gari apo ulipo , ila chanzo chake kikawa km mia nyuma , au ikawa chanzo ni apo aligongewa gari, siko kuchafua mtu ,ilihali Kuna tatizo bila kujali linamgusa nani lazima liwe wazi,Unaweza ukawa na point, ila wadhani Chuo ndio kimemsafirisha hadi Mwanza? Ukipata taarifa zaidi ulete hapa, na hata kama itakuwa ya kukisafisha chuo chake, kwani umekihukumu chuo kabla hujajua habari nzima.
Ukinisoma vizuri utaelewa kwamba sijasema kifo kisichunguzwe,nimesema chuo kisishutumiwe kumuua huyo mpendwa wetu bali sababu hasa ya kifo itafutwe bila kujeopardize chuo.Binadam wote ni sawa mbele za mungu ,na ana haki sawa,msilete mzaa ,tunataka kujua trigger ya kifo chake , kwamba tz mtu afe na kufukiwa hata Kama kifo chake kina shida big no ,wenda alizulika uko Mwanza but why tusijue kifo chake ilihali ingekua ni kiongozi v8 zingekua zinaandamana
Binadam wote ni sawa chin ya jua
Wengi mno wanaandika 'wenda'...sijui inakuaje...kwa kuwa umeandika hapa basi ''tahalifa wenda'' zitawafikia wahusika.
Mi sijaelewaWakuu Salam kwenu,
Naenda kwenye mada moja kwa moja
UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,
Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.
Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa, kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,
Kwa taarifa nilizopowe zinadai sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la.
Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara
Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Naomba ujibu haya maswali,Wakuu Salam kwenu,
Naenda kwenye mada moja kwa moja
UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,
Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.
Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa, kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,
Kwa taarifa nilizopowe zinadai sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la.
Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara
Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,