Kifo cha mwanafunzi MCHAS-UDSM kichunguzwe, japo kimetokea akiwa Mwanza

Kifo cha mwanafunzi MCHAS-UDSM kichunguzwe, japo kimetokea akiwa Mwanza

Amekutwa Mwanza kafariki wapi? Au ndio ile Maiti iliookotwa karibia na kamanga mawiki yaliopita?
 
Tatizo mnalazimisha fani
Wanalazimisha vipi ,Tuna graduates wengi hakuweza pata vyuo bongo wakaenda china ,india na kuludi ila wanafanya vizuri, tatizo sio fan tatizo shule za kibongo sio elim bali ni vita ,

Kwamba mwanafunzi aliefika mwaka wa tano amelazimisha fani ,je alifikaje pale ,acheni Mambo mepesi kwenye maisha ya watu ,vipi angekua , mwanao,nduguyo,mwanao ungesema upuuzi huu
 
Wanalazimisha vipi ,Tuna graduates wengi hakuweza pata vyuo bongo wakaenda china ,india na kuludi ila wanafanya vizuri, tatizo sio fan tatizo shule za kibongo sio elim bali ni vita ,

Kwamba mwanafunzi aliefika mwaka wa tano amelazimisha fani ,je alifikaje pale ,acheni Mambo mepesi kwenye maisha ya watu ,vipi angekua , mwanao,nduguyo,mwanao ungesema upuuzi huu
Ile kutopata sifa za kujiunga na chuo Tz kwenye fani za afya ni sababu pekee ya kumfanya mhusika aangalie fani anayoiweza, wengi wenu mnalazimisha fani hadi mwaiba mitihani
 
Amekutwa Mwanza kafariki wapi? Au ndio ile Maiti iliookotwa karibia na kamanga mawiki yaliopita?
Inasemekana alikutwa chumbani kwake mwili umearibika, na kaishazikwa ni Kama wiki mbili na nusu zilizopita
 
Wakuu Salam kwenu,

Naenda kwenye mada moja KWA moja

UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya,na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,

Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.

Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa , Kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,

KWA tahalifa nilizopewa sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la


Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara

Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Bro sijaelewa kabisa,mara kukandamiza, mara kuinua kichwa; nahisi hata wewe ukisoma hutaelewa vizuri kama mimi!
 
Ile kutopata sifa za kujiunga na chuo Tz kwenye fani za afya ni sababu pekee ya kumfanya mhusika aangalie fani anayoiweza, wengi wenu mnalazimisha fani hadi mwaiba mitihani
Usishabikie vitu ambavyo viko juu ya uwezo wako , mwanafunzi aliefika mwaka wa tano medicine mfano bongo sio kwamba ni mbulula kichwani big no alipitaje nyuma ambako ni kigum
 
Usishabikie vitu ambavyo viko juu ya uwezo wako , mwanafunzi aliefika mwaka wa tano medicine mfano bongo sio kwamba ni mbulula kichwani big no alipitaje nyuma ambako ni kigum
Kalazimisha ndo maana alipobanwa kacheua, kwanini iwe yeye tu...
 
Kama na wewe uliyeleta thread ni mwanafunzi mwenzake basi na wewe unafaa kuliwa kichwa hahahahahahahaa.uandishi gani huo???

Lakini tabia ya kufelisha mwanafunzi mwishoni siyo nzuri.tafuta kumsaidia mwanafunzi na siyo kumfelisha. Wivu hausaidii kitu.
 
Well said mkuu, but nafuatilia and by the way sio siku nyingi naenda Mbeya ,why tumpoteze Dactari kwa ujinga tu this blood will up to them ,hii hakubaliki ,mfano hao doctors wanaowafanyia watz hivi je walipata first class KWA under graduate zao ,Kama kweli tumempoteza doctor aliepitia mazingira magum just KWA mafala machache, never give up I will fight direct or indirect
Duh! Tatizo unamwandiko mbaya. Wengine wanapata shida kukuelewa unachomaanisha.
 
Mkuu samahani sana ungetulia ili uandike vyema japo tupo kwenye majonzi ya kumpoteza huyo mpendwa wetu.
Well said mkuu, but nafuatilia and by the way sio siku nyingi naenda Mbeya ,why tumpoteze Dactari kwa ujinga tu this blood will up to them ,hii hakubaliki ,mfano hao doctors wanaowafanyia watz hivi je walipata first class KWA under graduate zao ,Kama kweli tumempoteza doctor aliepitia mazingira magum just KWA mafala machache, never give up I will fight direct or indirect
Hizi ni hasira tu za leo. Kesho zitakuwa zimepoa. Utaishia kusema tumwachie Mungu
 
Wakuu Salam kwenu,

Naenda kwenye mada moja KWA moja

UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya,na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,

Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.

Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa , Kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,

KWA tahalifa nilizopewa sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la


Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara

Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Haya mambo ya kufungua account ili mchafue watu yatakuja kuwarudia siku moja. Kumbuka kuna karma. Mlalamikaji wa mwaka juzi Mleta amani alifungua akaunti akamwaga upupu na kukimbia. Hakuja kutoa mrejesho kama usemavyo. Halafu ana style ya uandishi kama wako.

Wanafunzi wa Medicine siku hizi mkienda Medical School mnaamini mna haki ya kupewa degree hata kama hustahili. Unaona darasa lina watu 100 halafu watu watano wameshikwa, wengine 95 wamefaulu, halafu hao watano badala ya kufanyia kazi mapungufu yao wanatafuta mchawi, wakati wanajua they are weak. Hizo rushwa za ngono mnawapa hadi external examiners wanaokuwa kwenye panels au mnawapa madaktari wote kwenye panels?

Halafu nani kakwambia ukiwa mwanafunzi wa Chuo KIFO kinakuogopa? Ina maana kila mwanafunzi akifa, kunapaswa kufanywe uchunguzi wa kuonewa na walimu?

PAMOJA NA UANDISHI HUU UTASHANGAA NAWE NI DAKTARI AU MWANAFUNZI, SI MTATUUA JAMANI.
 
Poleni kwa wafiwa!

Taarifa yako haijakamilika unaweza kuweka wazi ni idara gani hizi mbili?

Pia jinsia yake
 
Rushwa ya ngono,

Rushwa ya ngono,

Bongo ndio maana nawashukuru wazazi wangu kunipeleka kusoma nje.

Elimu isiyo na rushwa ni form four na six tu bongo.

R.I.P kwake poleni kwa majonzi.
Rushwa ya ngono imekuwa vazi ambalo weakest students wanalifanya kuwa blanket la kuficha udhaifu wao.
 
Haya mambo ya kufungua account ili mchafue watu yatakuja kuwarudia siku moja. Mlalamikaji wa mwaka juzi Mleta amani alifungua akaunti akamwaga upupu na kukimbia. Hakuja kutoa mrejesho kama usemavyo. Halafu ana style ya uandishi kama wako.

Wanafunzi wa Medicine siku hizi mkienda Medical School mnaamini mna haki ya kupewa degree hata kama hustahili. Halafu nani kakwambia ukiwa mwanafunzi wa Chuo KIFO kinakuogopa? Ina maana kila mwanafunzi akifa, kunapaswa kufanywe uchunguzi wa kuonewa na walimu?

PAMOJA NA UANDISHI HUU UTASHANGAA NAWE NI DAKTARI AU MWANAFUNZI, SI MTATUUA JAMANI.
Kwani acc imefunguliwa lini ,na je hakuna sababu ya kufuatilia kifo Cha kutatanisha , tuliza mmzuka ,kuomba fuatilia kifo nini kisababishi ni kuchafua watu ,we wa wapi ,na umezaliwa Afrika Kama ata imani ya uruma huna
 
Back
Top Bottom