Kifo cha mwanafunzi MCHAS-UDSM kichunguzwe, japo kimetokea akiwa Mwanza

Kifo cha mwanafunzi MCHAS-UDSM kichunguzwe, japo kimetokea akiwa Mwanza

Sio wote wanatengeneza hayo mazingira na nyie wahadhiri mkiona mtu anajileta huwa Wana kwepa maana kweli chuoni mbona ma slay queen wakutaka mtelezo huwa wapo, Kuna wale huwa hawataki mazoea na wahadhiri lazima wakusumbue bila sababu Lengo mtu ulainike tu na ukiwa hueleweki anakutesa na kukuletea usumbufu usio na msingi.
Pia chuoni wanaotoa papa kufaulishwa huwa ni wengi tu wengine hupewa had maswali kabisa, ni shida mwanafunzi ukiwa mgumu jamii huunga mkono na ku support ma lecturer waovu.
Pia Kuna ma lecturer wanaotakaga pia wanaume, hivi vitu vipo na vinaathiri wanawake wasiotaka kujipendekeza kupata favor, anayetaka kugongwa apewe free it's okay maana ni watu wazima wameamua.
Tena Kuna wahadhiri wengine huwaandikia wanafunzi had kazi zao hapa Tanzania, msisingizie eti mwanafunzi anajipeleka mwenyewe
Nafikiri hukusoma post yangu vizuri; mimi sikusema kuwa wanafunzi wote wote wanafanya hivyo, ila nilisema kuna baadhi ya wanafunzi wa kike hufanya hivyo. Vile vile post hiyo imeonyeasha kuwa baadhi ya waalimu kama mimi tunavyowahandle; siyo kila mwalimu anataka masihara hayo! Na sisi pia ni wazazi ama tutakuwa wazazi wa watoto wa kike, na hatungependa watoto wetu hao watendewe hivyo.
 
Naomba ujibu haya maswali,
1. Kwa nini unahisi huyu mwanafunzi alikuwa anakwamishwa?
2. Je unaweza kuelezea Kwa undani na Kwa kadili unavofaham ni nini kilikuwa chanzo ama sababu ya kusafiri kutoka Mbeya Hadi Mwanaza.
3. Mwili wake ulikutwa maeneo gani?
4. Je uko tayari kujitokeza na kuisaidia polisi kile kidogo unachokifaham, ili uchunguzi wa awali uanzie hapo?
We una uliza nini , Kama polis si waende chuoni , kwanza kujiridhisha Kama kweli Kuna mwanafunzi kafariki , na hapo wanaweza pata mtandao mzima ,maana lazima ana marafiki aliokua anasoma nao , na wenda Ndo waliowezesha mpaka kupata ujumbe , Sasa apa Kuna shida gani Kama mtu anataka information za uyu kijana ,mbona ni Jambo jepesi


Lakini pia taarifa zilizopo ni kwamba alianza pata msongo wa mawazo kabla KWA kutokana na kutofanya vizuri katika moja ya idara aliyokuwepo , na badae toweka Mbeya Bila kuaga marafiki zake mpaka taarifa za msiba zilipo fika ,
 
Walimu wa vyuo wanajiona Miungu watu, ila dawa ni kusahihisha kwa panel km vile kidato cha nne na sita.
 
Mkuu samahani sana ungetulia ili uandike vyema japo tupo kwenye majonzi ya kumpoteza huyo mpendwa wetu.
Kuandika nako ni fani aisee jimesoma sijaelewa nikaamua nishuke chini kuona comments za wadau kama wao wameelewa, kumbe kama mimi tu
 
Kwani Rushwa ya ngono haina negative effect kwa sisi vijana wa kiume?

Wa kike anapopewa GPA fake kisa tu katiwa na recture hauoni kwamba na Mimi kama mtoto wa kiume napata matokeo yasiyo na uhalisia kwa kuzidiwa na mtoto wa kike?

Ata wewe pia ina negative effect kwako pia kwa taifa linazalisha wasomi fake

Ndio maana soko la ajira linakuwa gumu na tumetengeneza watoto wasio ajirika popote
Recture?
Hujasoma nje wewe unatulisha matango pori nenda zako
 
Wakuu Salam kwenu,

Naenda kwenye mada moja kwa moja

UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,

Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.

Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa, kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,

Kwa taarifa nilizopowe zinadai sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la.

Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara

Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Kiswahili kazi, Kiingereza kazi!
 
Well said mkuu, but nafuatilia and by the way sio siku nyingi naenda Mbeya ,why tumpoteze Dactari kwa ujinga tu this blood will up to them ,hii hakubaliki.

Mfano hao doctors wanaowafanyia watz hivi je walipata first class KWA under graduate zao ,Kama kweli tumempoteza doctor aliepitia mazingira magum just KWA mafala machache, never give up I will fight direct or indirect
Sehemu nyingi za vyuo, walimu wanaharibu sana maisha ya watu kwa sifa za kijinga tu, aonekane yeye ndio yeye..yaani yeye mwalimu ndio muamuzi wa maisha ya mtu. Sasa wengine wanashindwa kupokea wanaishia kujiua au kuacha kabisa masomo na kupigwa stress..hawa walimu wa dizaini hii lazima watafutiwe dawa
 
Rushwa ya ngono,

Rushwa ya ngono,

Bongo ndio maana nawashukuru wazazi wangu kunipeleka kusoma nje.

Elimu isiyo na rushwa ni form four na six tu bongo.

R.I.P kwake poleni kwa majonzi.
Uko sawaa kabsa aliyewap u mungu MTU waalimu wa vyuo sijui aliwaza nini ? Mimi huwa naamini matokeo ya kidato cha NNE na cha sita pekeee ...ila hizi GPA za vyuo MTU akiwa anajisifuuu kuwa Niko na GPA kaliii huwa namwangaliaaaa afu namwacha tu

Grading ya vyuo huwa imejaa makanjanja mengi mnooo na ndicho kigenzo wanatumia kumwajiri MTU kuwa mwalimu kwa kuangalia GPA ya chuo pekee.

Ningeshauri tuje na mfumo tofauti kabisa wa utungaji mitihani na kuwa grade wanafunzi kuliko kumwachia MTU mmoja ambaye anaweza Fanya chochote kukufelisha pindi ukiwa tofauti na yeye

Hili la kumwachia mwalimu mmoja awe ndo kila kitu ndo tunapata wahitimu bora ambao ni fake na wahitimu fake ambao ni bora .
Mwisho .mfumo wa sekondari ndo utumike kutahini wanafunzi sio huu wa vyuo ambapo mwl mvivu anaweza fundisha topic moja kati ya arobaini na kutunga mtihan kwa topic hiyohiyo moja wanafunzi wakapata As zisizo na uharisia ndo maana tunapat wahitimu wasio competent
 
Wakuu Salam kwenu,

Naenda kwenye mada moja kwa moja

UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,

Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.

Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa, kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,

Kwa taarifa nilizopowe zinadai sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la.

Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara

Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,

Kamanda, umesoma mpaka la ngapi?
 
Dogo mimi brother wako sijui kiingereza ila hiyo sentensi ya mwisho naona umechemka..."more up to date..." Hii ilibidi uandike "more updates..." kwa mujibu wa mwalimu wangu Ras Simba!

Bora yako....wengine wamegraduate vyuo hapa nchini hawajui kuongea wala kuandika vizuri kiingereza....lugha ya taifa pia inawashinda 😂😂😂
 
Wakuu Salam kwenu,

Naenda kwenye mada moja kwa moja

UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,

Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.

Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa, kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,

Kwa taarifa nilizopowe zinadai sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la.

Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara

Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Hivi wewe ni msoma wa UDSM kweli..

Uandishi gani huo hueleweki yani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pale MZRH wanabana mno aisee,sometimes wanakomoa.
Wana roho ngumu mno,hawana huruma hata kidogo ...kuna siku nimeona mzazi ameenda kuongea na Mwalimu yaani dah.
Kuna madogo Ni smart kichwani ila tu system ya pale ipo tough mno.

Japo wengine ni wazembe.
 
Hivi wewe ni msoma wa UDSM kweli..

Uandishi gani huo hueleweki yani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toa ujinga aliekwambia Dunian chuo pekee Udsm nani , pita tangulia mbele Kama waona kilichoandikwa huwelewi, nani kakwambia jf yupo shindanisha miandiko nani, au laana ya ukoo ndo inakusumbua,

Kuna watu wamepoteza ndugu yao ,kijana mdogo tu hatujui kesho angekua nani, then unakuja na hoja ya muandiko , nilisema ninafuatialia hili Jambo na bado na nitafika Mbeya japo na Mbeya upo ushirikiano napata japo sijafika tokana na majukum Yangu binafsi, ila nitafika,

Sasa wewe unakuja na vitu vya ajabu Kama code hukuelewa ulichangia ili iweje? that's Msukuma anawatukana kwamba tuna wasomi hamna kitu, hasa nyie mjionao wasomi, usomi wakusaidia nini Kama huwezi hata code ndogo wenza unganisha, umesoma ila hata tengeneza ajira za vijana 30 huwezi, unatuna tu, sie wenzio hatuko ulipo, jifunze kua na adabu bila kujali itakusaidia maishani ,

Nikikwambia twende nionyeshe kesh mil 100 , account HAINA ,na kwnza nimenda mbali hata m15 kash wenda hauna, ila unabaki shabikia muandiko, wakati wenda ulipo waishi nyumba ya kupanga , Gari ya mkopo, alafu eti muandiko, MSUKUMA mbunge wa la saba ila nje ya ubunge ni tajiri ni mfano tu maana wapo wengi ,we upo na muandiko, tafuteni pesa usipokua na pesa washia kua na roho mbaya
 
Well said mkuu, but nafuatilia and by the way sio siku nyingi naenda Mbeya ,why tumpoteze Dactari kwa ujinga tu this blood will up to them ,hii hakubaliki.

Mfano hao doctors wanaowafanyia watz hivi je walipata first class KWA under graduate zao ,Kama kweli tumempoteza doctor aliepitia mazingira magum just KWA mafala machache, never give up I will fight direct or indirect
Sio lazma utumie English ili ueleweke
 
Pale MZRH wanabana mno aisee,sometimes wanakomoa.
Wana roho ngumu mno,hawana huruma hata kidogo ...kuna siku nimeona mzazi ameenda kuongea na Mwalimu yaani dah.
Kuna madogo Ni smart kichwani ila tu system ya pale ipo tough mno.

Japo wengine ni wazembe.
Unafanya kazi hapo.?
 
Back
Top Bottom