MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Mie nlikuwa nadata kabisa kama sio msaada wa baba mhh sijuiHii kitu niliwahi kumwambia wife kwamba wanaume tunapitia nyakati ngumu na mateso makali ispokua tu hatusemi, hatulii na dunia haituhurumii
Ila kweli..poleni...lakini na sisi tunazaa kwa uchungu mjueπππNikweli mkuu, lakini tofauti ya mwanamke na mwanaume ni mmoja analia na mwingine halii. Kisha panapo tokea magumu mmoja anasea na mwingine hasemi.
Lakini tukirudi kwenye nature inamhurumia zaidi mwanamke kuliko mwanaume.
Pole sanaMie nlikuwa nadata kabisa kama sio msaada wa baba mhh sijui
Naam! wewe unapitia mengi mno na mpaka uje kutulia kiakili na kukomaa itachukua muda. Uko na mgogoro mkubwa kisaikolojia (You're highly conflicted).Ninapitia mengi sana kwasababu ya UANAUME WANGU.
Nanii, una hakika umemkoti mtu uliwai jadiliana nae before ya huu uzi?.Naam! wewe unapitia mengi mno na mpaka uje kutulia kiakili na kukomaa itachukua muda. Uko na mgogoro mkubwa kisaikolojia (You're highly conflicted).
Huna tatizo, ni sehemu ya makuzi ambayo wanaume wote tunapitia. Ndiyo maana unatukashifu majukwaani, halafu tukikujibu ambacho hupendi kukisikia unafuta nyuzi zetu haraka. Ulinichekesha na kunishangaza mno siku ile.
Lakini, huu ni mgogoro ambao naamini utaisha tu siku ukifia kitu kiitwacho ukomavu (Maturity Curve). Binafsi nilikuwepo hukohuko ambapo upo wewe leo hii.
Sisi tunagugumia kimya kimya,lakini ukweli ni kuwa cha moto huwa tunakiona...Hii kitu niliwahi kumwambia wife kwamba wanaume tunapitia nyakati ngumu na mateso makali ispokua tu hatusemi, hatulii na dunia haituhurumii
Mm namwambiaga dem wangu nikikupa kichwa changu walau siku moja tu basi utakufa kabisa maana hataweza kuhimili yale niliyonayo kichwani..View attachment 2500007
Kifo cha Norah Vicent kiliibua hisia kwa jamii kutokana na namna utafiti alioufanya ulivyommaliza yeye mwenyewe. Norah alitaka kujua maisha ya mwanaume yakoje..ni changamoto zipi anapitia? Mwaka 2003, bila kubadili jinsia yake, akaamua ajifanye kuwa mwanaume; akaajiri mtu wa make up,mtaalamu wa sauti, pamoja na mwalimu wa mazoezi ya viungo.
Kwa miezi 18 akawa na jina jipya, Ned. Akajiunga timu ya mpira wa wanaume, akaanzisha mahusiano na wanawake, na kufanya kazi kwenye ofisi ya wanaume pekee. Lakini Norah, sasa Ned, hakuona raha yoyote na bila kujijua akaanza kupata msongo wa mawazo...depression. Kwenye kitabu chake "Self-Made Man" akakiri kuwa wanawake, pamoja na wanaharakati, huwa wanaamini wanawake ndio wanapitia magumu mengi katika jamii lakini ukweli ni kwamba wanaume wana machungu mengi katika maisha yao.
Wanaume wanateseka, Wana matatizo tofauti na ya wanawake, lakini bora sisi, wao wanahitaji zaidi upendo, kuonewa huruma" alisema Norah.
Zamani ukizaliwa mwanaume ilionekana ni bahati na nafasi ya upendeleo; lakini kaitka kizazi hiki kuwa mwanaume ni shida. Utafiti uliofanyika mwaka 2020, ulionyesha kuwa 70% ya watu wasio na makazi (homeless) ni wanaume. Pia hatari ya mwanaume kujiua ni mara 4 zaidi ya mwanamke. 90% ya ajali za sehemu ya kazi ni za wanaume
kwa aliyokutana nayo Norah, alipata matatizo ya akili yaliyotesa kwa zaidi ya miaka 17, na mwishowe julai 6, 2022 akaamua kujiua huko Switzeland. Kuwa mwanaume ni kazi.
View attachment 2500010
Ni fictions tu hizo wala usiwaze sana.Haya mambo ya mtoto akizaliwa, achague jinsia yake yananivuruga kichwa sana.
Za abunuwasiHizi Hekaya
Ndiomaana kajiua, alikuwa na upumbavu mwingi mnoMungu kakuumba mwanamke ww unajifanya mwanaume [emoji849]
πππππ Uanaume cio powa..plus kuitwa babaSafari ya uanaume ni ngumu ndo maana wengi hurudisha kadi na kuanza kupumuliwa