Kifo cha Norah; aliyejifanya mwanaume ili ajue maisha ya wanaume yakoje

Niliangalia mahojiano yake YOU-TUBE, na jinsi alivyokuwa anakaa Bar-Counter na kuanza kuwachombeza wanawake wenzake. Kuna madhara makubwa sana kiakili mtu huyapata kwa kuishi maisha yasiyo na uhalisia.

Feminists, Transsexual na Homosexuals hupata majanga ya kisaikolojia kama mgogoro wa kitaswira (Identity Crisis). Mwisho huwa mbaya sana, sema vyombo vya habari havipendi kutangaza hizi habari.
 
" lakini kaitka kizazi hiki kuwa mwanaume ni shida. Utafiti uliofanyika mwaka 2020, ulionyesha kuwa 70% ya watu wasio na makazi (homeless) ni wanaume. Pia hatari ya mwanaume kujiua ni mara 4 zaidi ya mwanamke. 90% ya ajali za sehemu ya kazi ni za wanaume"

NDIO MAANA TUNASEMA ZAMA HIZI KUOA NI KUJITAFUTIA MATATIZO
 
Ninapitia mengi sana kwasababu ya UANAUME WANGU.
Naam! wewe unapitia mengi mno na mpaka uje kutulia kiakili na kukomaa itachukua muda. Uko na mgogoro mkubwa kisaikolojia (You're highly conflicted).

Huna tatizo, ni sehemu ya makuzi ambayo wanaume wote tunapitia. Ndiyo maana unatukashifu majukwaani, halafu tukikujibu ambacho hupendi kukisikia unafuta nyuzi zetu haraka. Ulinichekesha na kunishangaza mno siku ile.

Lakini, huu ni mgogoro ambao naamini utaisha tu siku ukifikia kitu kiitwacho ukomavu (Maturity Curve). Binafsi nilikuwepo hukohuko ambapo upo wewe leo hii.
 
Nanii, una hakika umemkoti mtu uliwai jadiliana nae before ya huu uzi?.
 
Mm namwambiaga dem wangu nikikupa kichwa changu walau siku moja tu basi utakufa kabisa maana hataweza kuhimili yale niliyonayo kichwani..

Anabaki kucheka tu..πŸ˜…anaona kama jokes asijue ndio ukweli wenyewe huo.
 
wanaume tumeumbwaaa matesooo!!! Matesooo!! Mahangaikooo!! [emoji445][emoji445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…