Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #21
Hypothesis, je kifo cha Nusra wa UDOM kinaweza kufanana na Kifo cha VICKY wa CHENGE??Kuna ka mtandao hapo kanakula pesa kuhakikisha zee flani status yake haichafuliwi, kuna vitisho, rushwa na ubabe hapo.
Zee flani chepukaji, ujana umemtupa kazi kukimbizana na vibinti vya chuo.Zee lili hilo? Na status yake haichafuliwi kivipi?
HahahaWAFANYABIASHARA WENGI WAMEWEKEZA DODOMA BAADA YA MAGU
MOSHI....!!!?????π€·ββοΈπ€·ββοΈπ€·ββοΈ
Umeandika kwa uchungu na hasira kwa pamojaTunaamini akili ni kujua Log na Calculus, na kiuhalisia maprofesa wetu huko chuoni wanajua sana hayo mavitu. Ila kama utawaletea malaika tambuzi wa siri atuambie akili walizonazo majibu yataonyesha wana mafuvu ya mavi tu. Wasomi wetu wanafanya vitu vya ajabu sana huko vyuoni. Ni mwendo wa sup za kimapenzi tu.
Hahaha inavyosemekana! Hukumbuki au huijui hio story Mpwa??Vicky wa chenge alikuwa ni mchepuko wa chenge mkuu?
Wamekanusha hawahusiki na tangazo feki ila hawajakanusha kuhusu kifoIla Hii Nchi, Kwa hiyo hapo UDOM pamoja nakua na watu mahiri wa Taaluma.
Wanaamua nao kutuambia, Alikwenda Kwa Mpenzi wakez Mara akapigwa Kisha akafa π€£π€£π€£π€£.
Oyaaa mkipata nafasi ya kulala mbele huko mambeleee laleni mbele tu, hiii Nchi no takataka !!
Hahaha
Mkuu huyu alikuwa marijani au mbaraka?Enyi vijana sikilizeniii πΆπΆπΆ
Mnapokuwa masomoniii acheni mchezo wa mapenzi πΆπΆπΆ
Mnawapa uchungu ooooooh wazazi weeenuu πΆπ»π₯πΈπΊπ·πΉπͺπ€
Kwakweli hata sijui nisije nikakudanganya nasikiaga tu kwenye radio ila kati ya hao wawili maana sauti nahisi zinafananaMkuu huyu alikuwa marijani au mbaraka?
Kama bolt π© na nut π₯Dots imekonekiti...??!
Hahaha inaingia na kutoka?Atakuwa alikuwa sponsor wake huyo ni mtu mkubwa....mbona wanatoa taarifa kama imekamilika ivi, lakini pia haijakamilika.....mpenzi wake anaitwa nan