litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Acha ushamba we mlugha lugha. Mtu mzito hawezi kuwa wizarani. Wa wapi ww? Hako ni kashamba tu kamoja limbukeniMtu mzito uko Wizarani hataki Mambo yatapakae anazimazima kila angle,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba we mlugha lugha. Mtu mzito hawezi kuwa wizarani. Wa wapi ww? Hako ni kashamba tu kamoja limbukeniMtu mzito uko Wizarani hataki Mambo yatapakae anazimazima kila angle,
Hata wafiche itakaa wazi tuTuwahimize mabinti zetu wakasome, mengine tuyaache.....
Kwa hiyo mshamba anafichiwa ushamba wake sio?Acha ushamba we mlugha lugha. Mtu mzito hawezi kuwa wizarani. Wa wapi ww? Hako ni kashamba tu kamoja limbukeni
Hivi nyie wavamizi hamuwezi kuongea kwa lugha ya staha na heshima angalau ? Iweje unitusi ndio uonekane na wewe umejibu aisee ? Lengo lako ni nini una hamu ya kuingia kwenye ignore list ?Acha ushamba we mlugha lugha. Mtu mzito hawezi kuwa wizarani. Wa wapi ww? Hako ni kashamba tu kamoja limbukeni
Sasa we Choko mboni huyu umemjibu vizuri alafu Mimi umeanza kunimwagia matusi au una hamu ya kupigwa vitasa kwenye bunyero ?Safi kwake. Anakula bata. Alitakiwa ata alale na 8 usiku mmoja. Maisha mafupi
Unamjua ?Chombo ya dugange imeondoka, dah. Isije kuwa mapolisi wamemtanguliza kinguvu tu, eeh Mungu utujalie mwisho mwema
Kama inaingia ivi mara inatoka, eti aliuawa na mpenzi wakeHahaha inaingia na kutoka?
Kuna nini kimejificha nyuma ya kifo cha huyu Binti?? Anadaiwa kufariki tarehe 29/04/2023 ila taarifa zimeanza kuzagaa Leo kwenye social media. Kuna maswali mengi kama haya....
Haya maswali yamechukuliwa sehemu nyingine, sio yangu.View attachment 2610308View attachment 2610312
Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar-
iki 29/04/2023 kifo chake kinatangazwa 04/05/2023, siku
6 baadae?
Hakuna taarifa za Jeshi la Polisi (pia kutoka kwa
tabibu) za kuuwawa kwa (kwa kipigo) Nusura, Moshi,
Kilimanjaro hadi sasa.
Hakuna taarifa za kukamatwa kwa huyo aliyetajwa bila
jina kuwa "mpenzi wake. Mtuhumiwa pia hajatajwa
popote katika taarifa.
UDOM, Wamefahamu vipi alikwenda Moshi kwa
mpenzi wake? Kwanini wamtambue ni mpenzi wake?
Walizungumza na marehemu?
UDOM walijuaje chanzo cha kifo cha Nusura ni kupigwa
na mpenzi wake? Walifanya postmortem? Walipewa
taarifa za kitabibu? Na nani?
Pia unaweza kusoma hapa
Kuna nini kimejificha nyuma ya kifo cha huyu Binti?? Anadaiwa kufariki tarehe 29/04/2023 ila taarifa zimeanza kuzagaa Leo kwenye social media. Kuna maswali mengi kama haya....
Haya maswali yamechukuliwa sehemu nyingine, sio yangu.View attachment 2610308View attachment 2610312
Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar-
iki 29/04/2023 kifo chake kinatangazwa 04/05/2023, siku
6 baadae?
Hakuna taarifa za Jeshi la Polisi (pia kutoka kwa
tabibu) za kuuwawa kwa (kwa kipigo) Nusura, Moshi,
Kilimanjaro hadi sasa.
Hakuna taarifa za kukamatwa kwa huyo aliyetajwa bila
jina kuwa "mpenzi wake. Mtuhumiwa pia hajatajwa
popote katika taarifa.
UDOM, Wamefahamu vipi alikwenda Moshi kwa
mpenzi wake? Kwanini wamtambue ni mpenzi wake?
Walizungumza na marehemu?
UDOM walijuaje chanzo cha kifo cha Nusura ni kupigwa
na mpenzi wake? Walifanya postmortem? Walipewa
taarifa za kitabibu? Na nani?
Pia unaweza kusoma hapa
Dots not well connected. 😂🤣😂🤣DOTS CONNECTED.....
CHUO KIKO DODOMA
BUNGE LIKO DODOMA
WAFANYABIASHARA WENGI WAMEWEKEZA DODOMA BAADA YA MAGU
Enyi vijana sikilizeniii 🎶🎶🎶
Mnapokuwa masomoniii acheni mchezo wa mapenzi 🎶🎶🎶
Mnawapa uchungu ooooooh wazazi weeenuu 🎶🎻🥁🎸🎺🎷🎹🪗🎤
NAKAZIATuwahimize mabinti zetu wakasome, mengine tuyaache.....
NAKAZIA HAPA.Tunaamini akili ni kujua Log na Calculus, na kiuhalisia maprofesa wetu huko chuoni wanajua sana hayo mavitu. Ila kama utawaletea malaika tambuzi wa siri atuambie akili walizonazo majibu yataonyesha wana mafuvu ya mavi tu. Wasomi wetu wanafanya vitu vya ajabu sana huko vyuoni. Ni mwendo wa sup za kimapenzi tu.
Wafanye ila wawe makini..Tuwahimize mabinti zetu wakasome, mengine tuyaache.....
Kuna nini kimejificha nyuma ya kifo cha huyu Binti?? Anadaiwa kufariki tarehe 29/04/2023 ila taarifa zimeanza kuzagaa Leo kwenye social media. Kuna maswali mengi kama haya....
Haya maswali yamechukuliwa sehemu nyingine, sio yangu.View attachment 2610308View attachment 2610312
Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar-
iki 29/04/2023 kifo chake kinatangazwa 04/05/2023, siku
6 baadae?
Hakuna taarifa za Jeshi la Polisi (pia kutoka kwa
tabibu) za kuuwawa kwa (kwa kipigo) Nusura, Moshi,
Kilimanjaro hadi sasa.
Hakuna taarifa za kukamatwa kwa huyo aliyetajwa bila
jina kuwa "mpenzi wake. Mtuhumiwa pia hajatajwa
popote katika taarifa.
UDOM, Wamefahamu vipi alikwenda Moshi kwa
mpenzi wake? Kwanini wamtambue ni mpenzi wake?
Walizungumza na marehemu?
UDOM walijuaje chanzo cha kifo cha Nusura ni kupigwa
na mpenzi wake? Walifanya postmortem? Walipewa
taarifa za kitabibu? Na nani?
Pia unaweza kusoma hapa