balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Dada etu alikuwa hajatuliaUna toka Dodoma kufata mpini moshi una sahau kufuta sms za mpini wa Dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada etu alikuwa hajatuliaUna toka Dodoma kufata mpini moshi una sahau kufuta sms za mpini wa Dodoma
Kiingereza kama haukijui kiache (have?!).This saga have a lot of issues to be questioned
Mabinti wa kileo ni vichwa majiTuwahimize mabinti zetu wakasome, mengine tuyaache.....
Ha ha haUna toka Dodoma kufata mpini moshi una sahau kufuta sms za mpini wa Dodoma
Kuna kujisahau, kunogewa na kuupuziaWafanye ila wawe makini..
Ndicho kinachoendelea duniani hapa,yaan full tafraniMadereva wao, mademu wanawatafutia
Wanatelekeza damu nyingi zisizo na hatia
Wake zao wanatembea na vijana bila nidhamu
kisa waume zao wako bize na dili haramu
Kama kesi ya Vick wa Chenge??Chombo ya dugange imeondoka, dah. Isije kuwa mapolisi wamemtanguliza kinguvu tu, eeh Mungu utujalie mwisho mwema
Nakuelewa vizuri sana sana. Hili tukio litayeyuka na maisha yataendeleaHii mbona haimwachi mmoja salama?
"Hii mbona ni wazi kuwa mtuhumiwa, mabosi wake,wapambe nk wote maji ga nyanja?" -- JKN.
Dadeeeeeki gitaaa orijino saaafi na Ngoma kwa mbali hahaha
Nakuelewa vizuri sana sana. Hili tukio litayeyuka na maisha yataendelea
Sio kama tumekuwa, ni kwamba ndio tulivyo. Leo hii ukianzisha mjadala wenye maslahi kwa nchi, utaishia kudhihakiwa na matusi juu, wako wapi walioitwa Wazalendo? Wako wapi leo walioitwa Vibaraka wa Wazungu?? Mbona ndege zimekamatwa kweli? DahTumekuwa kama jamii isiyokuwa na kujitambua.
Hebu iweke vizuri ..Inonekana una kituUna toka Dodoma kufata mpini moshi una sahau kufuta sms za mpini wa Dodoma
Hebu iweke vizuri ..Inonekana una kitu
Kuna yule mwingine aliwahi kuwa boss wa polisi, anatokea Dodomya, anavaaga miwani kubwa kama mwalimu mkuu, hapo zamani alikuwaga utingo wa malori, wanamuita sijui Chui-sawene, alifumaniwa singida miaka ya nyuma na mke wa askari, wakataka kumla '0713' iwe fundisho kwa wanaojiita waheshimiwa kumbe wadharauliwa.
Basi bwa'mkubwa akaingia mfukoni akapasuka milion6 kumpoza askari.
Taarifa za ndaaaani kabisa zinasema jamaa huopoa na kulala na madem mpaka watano, 'fivesome' kwa usiku mmoja.
R.I.P kwa bint wa Udom, usingepeleka papuchi kwa naibu waziri ungekuwa hai leo
Ndio Wakulungwa wanavyodai etiAu Ndio hii ajali ya V8 ya Serekali?