litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Tutafute tu ela nasi tuwatume madereva wetu wakatutaftie pisi kaliNdicho kinachoendelea duniani hapa,yaan full tafrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafute tu ela nasi tuwatume madereva wetu wakatutaftie pisi kaliNdicho kinachoendelea duniani hapa,yaan full tafrani
asante kwa kuwa matured, Mjumbe ameshakusamehe, maisha yaendeleeSamahani mkuu
Huu wimbo jina lake ni lipi, babu yangu alikuwa anaupenda sana ha ha ha ha ha.Enyi vijana sikilizeniii [emoji445][emoji445][emoji445]
Mnapokuwa masomoniii acheni mchezo wa mapenzi [emoji445][emoji445][emoji445]
Mnawapa uchungu ooooooh wazazi weeenuu [emoji445][emoji447][emoji1623][emoji450][emoji448][emoji449][emoji446]🪗[emoji441]
Kifo chake ni ajali au ilikuwa ni homicide?Vicky wa chenge alikuwa ni mchepuko wa chenge mkuu?
Nakazia Sana SanaTuwahimize mabinti zetu wakasome, mengine tuyaache.....
Linasoma upepo kwanza waangalie pa kuanziaSasa jeshi la polisi lenyewe lasemaje
Kama nyaraka gani me sijaelewa hata kimoja umesema.Apumzike kwa amani
Kama unahitaji msaada wa kuandika na kuhariri nyaraka zako mbalimbali, tunayo habari njema kwako! Bright and Genius Editors wapo hapa kukusaidia.
Tunatoa huduma za uandishi na uhariri wa nyaraka za aina zote.
Wasiliana nasi kwa njia yoyote upendayo:
Simu/WhatsApp 1: +255687746471
Simu/WhatsApp 2: +255612607426
WeChat ID: bandg_editors
Barua pepe 1: submit@bgeditors.com
Barua pepe 2: contact@bgeditors.com
Barua pepe 3: bandg.editors@gmail.com
Pia, unaweza kutembelea tovuti yetu Bright & Genius Editors kujifunza zaidi kuhusu huduma zetu na kufanya maombi yako moja kwa moja kutoka kwenye tovuti yetu.
Tupe fursa ya kukusaidia kufikia malengo yako ya uandishi na uhariri wa nyaraka. Tunaamini kwamba utaridhika na huduma zetu.
Ili kufahamu zaidi juu ya huduma zetu unaweza kutembelea tovuti yetu boss kwa kubonyeza hapa Bright & Genius EditorsKama nyaraka gani me sijaelewa hata kimoja umesema.
Mtu mzito uko Wizarani hataki Mambo yatapakae anazimazima kila angle,
Kwa hiyo huko ni mwendo kuchapianaMadereva wao, mademu wanawatafutia
Wanatelekeza damu nyingi zisizo na hatia
Wake zao wanatembea na vijana bila nidhamu
kisa waume zao wako bize na dili haramu
Hio nyimbo ni ya Mbaraka MwisheheHuu wimbo jina lake ni lipi, babu yangu alikuwa anaupenda sana ha ha ha ha ha.
Wakati upo chuo ulikuwa unasumbua mabinti za watu. Sasa hivi waliopo chuo ni watoto wetu.Tuwahimize mabinti zetu wakasome, mengine tuyaache.....
Asante sana bruh
Age ain't nothing but a number!Zee flani chepukaji, ujana umemtupa kazi kukimbizana na vibinti vya chuo.
Kweli kabisa hii ni bahati mbaya tuWanawake hawawezi kuolewa wote.Maisha yatabaki kua hivi hivi.mambo mengine ni ajali tu maishani.