Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

Ila Hii Nchi, Kwa hiyo hapo UDOM pamoja nakua na watu mahiri wa Taaluma.

Wanaamua nao kutuambia, Alikwenda Kwa Mpenzi wakez Mara akapigwa Kisha akafa 🤣🤣🤣🤣.




Oyaaa mkipata nafasi ya kulala mbele huko mambeleee laleni mbele tu, hiii Nchi no takataka !!
Wamezingua Sana UDOM, ilikuwa haina haja ya kuandika hivyo. Happ wamerefusha mambo itabidi mpenzi wake atafutwe.
 
Kwenye V8 iliyokanwa na tamisemi si tunasikia kulikuwa na mwanamke aliyefia mle....au ninyamaza?

Lisemwalo lipo kama halipo basi laja.

Haiwezekani watu wazushe kwamba kuna mwanamke alikuwepo kwenye ajali ila alifariki halafu ipite bila kujulikana....Kwa jinsi ile barua ya UDOM ilivyotoka kuna possibility walitoa kwa ajili ya kudivert ili isijulikane kwamba source ni ajali ya V8 au Mtu wa Nje ameidraft kwa ajili ya kutusanua wananzengo tujue kinachoendelea.

Huu utata na kificho means kuna kitu hawataki kukisema.

raraa reree amemtupa wimbo hapo juu ,enyi vijana mnapokuwa mashuleni zingatieni masomo acheni mambo ya mapenzi maana mnawapa uchungu wazazi wenu.
 
Sio kama tumekuwa, ni kwamba ndio tulivyo. Leo hii ukianzisha mjadala wenye maslahi kwa nchi, utaishia kudhihakiwa na matusi juu, wako wapi walioitwa Wazalendo? Wako wapi leo walioitwa Vibaraka wa Wazungu?? Mbona ndege zimekamatwa kweli? Dah
Ila tatizo ni wazazi hawoneshi matendo ya ujasiri kwa watoto ambayo yanaweza kurithiwa na kuleta mambo chanya
 
Sasa we Choko mboni huyu umemjibu vizuri alafu Mimi umeanza kunimwagia matusi au una hamu ya kupigwa vitasa kwenye bunyero ?

Road Traffic Signal
Kaandika:
Kuna yule mwingine aliwahi kuwa boss wa polisi, anatokea Dodomya, anavaaga miwani kubwa kama mwalimu mkuu, hapo zamani alikuwaga utingo wa malori, wanamuita sijui Chui-sawene, alifumaniwa singida miaka ya nyuma na mke wa askari, wakataka kumla '0713' iwe fundisho kwa wanaojiita waheshimiwa kumbe wadharauliwa.

Basi bwa'mkubwa akaingia mfukoni akapasuka milion6 kumpoza askari.

Taarifa za ndaaaani kabisa zinasema jamaa huopoa na kulala na madem mpaka watano, 'fivesome' kwa usiku mmoja.


R.I.P kwa bint wa Udom, usingepeleka papuchi kwa naibu waziri ungekuwa hai leo

Ukamjibu nini baada ya kum-quote na Mimi umenijibu nini ulipoquote au una nyege za kugongwa nyuma ? Unanitafutia ban ya lazima si ndio ? Nakuuliza wewe shoga Mzee
Samahani mkuu
 
Back
Top Bottom