Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

Umeandika kwa uchungu na hasira kwa pamoja
Hasira hapana ila kwa hisia. Mi napenda binaadamu abaki na sifa zake za kiubinaadamu na mnyama awe mnyama. Rumors za mahusiano ya hovyo kati ya walimu na wanafunzi huko vyuoni zimeenea mno tena kwa muda mrefu. Mabint wamekuwa target ya supp kwa mtego wa kimapenzi. Halikadhalika watu wazima kwa mabinti wa vyuo, na bahati mbaya mabinti wenyewe siku hizi ni kama watoto wa form 4 huko nyuma.

Hali ya vyuo vya Tanzania mida za usiku mmmh, ajuaye Sir God
 
Sawa
20221203_205354.jpg
 
Kuna yule mwingine aliwahi kuwa boss wa polisi, anatokea Dodomya, anavaaga miwani kubwa kama mwalimu mkuu, hapo zamani alikuwaga utingo wa malori, wanamuita sijui Chui-sawene, alifumaniwa singida miaka ya nyuma na mke wa askari, wakataka kumla '0713' iwe fundisho kwa wanaojiita waheshimiwa kumbe wadharauliwa.

Basi bwa'mkubwa akaingia mfukoni akapasuka milion6 kumpoza askari.

Taarifa za ndaaaani kabisa zinasema jamaa huopoa na kulala na madem mpaka watano, 'fivesome' kwa usiku mmoja.


R.I.P kwa bint wa Udom, usingepeleka papuchi kwa naibu waziri ungekuwa hai leo
Safi kwake. Anakula bata. Alitakiwa ata alale na 8 usiku mmoja. Maisha mafupi
 
Back
Top Bottom