zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Alienda kukipeleka wahuni wakala walipomaliza na yeye wakammaliza hapo hapo, RIP Binti Nasra kukipeleka kulikuponza Bora usingekipelekaKwani kuna nn huku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alienda kukipeleka wahuni wakala walipomaliza na yeye wakammaliza hapo hapo, RIP Binti Nasra kukipeleka kulikuponza Bora usingekipelekaKwani kuna nn huku?
Kulikoni Tena??
Mtu mzito uko Wizarani hataki Mambo yatapakae anazimazima kila angle,Atakuwa alikuwa sponsor wake huyo ni mtu mkubwa....mbona wanatoa taarifa kama imekamilika ivi, lakini pia haijakamilika.....mpenzi wake anaitwa nan
Ngoja niende kuipakua kule tubidy ngoma Kali sana hiyoKwakweli hata sijui nisije nikakudanganya nasikiaga tu kwenye radio ila kati ya hao wawili maana sauti nahisi zinafanana
Limemla likaona na wengine wasile likaona Bora limuue kabisa Mambo yasiwe mengi, alafu linazimazima watu wasijue polisi wanazimwa Chuo kinazimwa,Zee flani chepukaji, ujana umemtupa kazi kukimbizana na vibinti vya chuo.
Yupo wapi huyo Nasra sasa mbon maelezo yao hayajitoshelezi au wamekurupuka ?Kiufupi umekurupuka, siyo kila habari ni habari.
Hata hivyo hapo chini wamekujibu kuwa ni fake halafu na wala siyo taarifa rasmi, ww unalazimisha iwe kweli
Kuna shida yoyote? Hahaha au wewe ndio Waziri??
Hasira hapana ila kwa hisia. Mi napenda binaadamu abaki na sifa zake za kiubinaadamu na mnyama awe mnyama. Rumors za mahusiano ya hovyo kati ya walimu na wanafunzi huko vyuoni zimeenea mno tena kwa muda mrefu. Mabint wamekuwa target ya supp kwa mtego wa kimapenzi. Halikadhalika watu wazima kwa mabinti wa vyuo, na bahati mbaya mabinti wenyewe siku hizi ni kama watoto wa form 4 huko nyuma.Umeandika kwa uchungu na hasira kwa pamoja
Nani sasa? Mimi? Kwamba Nasra hajafa? Kwamba Nasra sio mwanafunzi wa UDOM?Kiufupi umekurupuka, siyo kila habari ni habari.
Hata hivyo hapo chini wamekujibu kuwa ni fake halafu na wala siyo taarifa rasmi, ww unalazimisha iwe kweli
🎵🎵Enyi vijana sikilizeniii 🎶🎶🎶
Mnapokuwa masomoniii acheni mchezo wa mapenzi 🎶🎶🎶
Mnawapa uchungu ooooooh wazazi weeenuu 🎶🎻🥁🎸🎺🎷🎹🪗🎤
Imagine v8 ilivyo stable lakini kwa ajili ya kukwepa noma mpaka imepinduliwa juu chini kama bajaji, jamaa anatetea kibarua kwa hali na mali.Limemla likaona na wengine wasile likaona Bora limuue kabisa Mambo yasiwe mengi, alafu linazimazima watu wasijue polisi wanazimwa Chuo kinazimwa,
Hahahahaha ameandika historiaImagine v8 ilivyo stable lakini kwa ajili ya kukwepa noma mpaka imepinduliwa juu chini kama bajaji, jamaa anatetea kibarua kwa hali na mali.
Enyi vijana sikilizeniii 🎶🎶🎶
Mnapokuwa masomoniii acheni mchezo wa mapenzi 🎶🎶🎶
Mnawapa uchungu ooooooh wazazi weeenuu 🎶🎻🥁🎸🎺🎷🎹🪗🎤
Huko sahihi RijkaardThis saga have a lot of issues to be questioned
Safi kwake. Anakula bata. Alitakiwa ata alale na 8 usiku mmoja. Maisha mafupiKuna yule mwingine aliwahi kuwa boss wa polisi, anatokea Dodomya, anavaaga miwani kubwa kama mwalimu mkuu, hapo zamani alikuwaga utingo wa malori, wanamuita sijui Chui-sawene, alifumaniwa singida miaka ya nyuma na mke wa askari, wakataka kumla '0713' iwe fundisho kwa wanaojiita waheshimiwa kumbe wadharauliwa.
Basi bwa'mkubwa akaingia mfukoni akapasuka milion6 kumpoza askari.
Taarifa za ndaaaani kabisa zinasema jamaa huopoa na kulala na madem mpaka watano, 'fivesome' kwa usiku mmoja.
R.I.P kwa bint wa Udom, usingepeleka papuchi kwa naibu waziri ungekuwa hai leo