Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #181
Kamekufa kiumeDuh! Mapenzi Ni uchizi kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamekufa kiumeDuh! Mapenzi Ni uchizi kweli
HahahahahahaHypothesis yako ni positive, imekubali!
HaaaNi vizuri serikali ikakaa kimya kuliko kuendelea kujipaka vinyesi hii ni taarifa ya kipuuzi na ya kijinga kuwahi kutolewaView attachment 2612434View attachment 2612435
sio siku hizi, ni siku zote, wanafunzi wakiwa chuo wengi huwa wamefunguliwa mlango kutokea form six ambako bado walikuwa wamebanwa, na wengi ndio hupatia ukimwi hapo au kuharibikiwa vizazi hapo. wanakuwa huru na uhuru hawajazoea kuuhandle. sasa unafikiri kwa ushungi ule kweli baba wa marehemu si atakuwa anaamini binti kaenda alikoenda na bikra yake?Ni Mimi tu naona au ni kweli mabinti wachuo wanatawanya mbususu sana siku hizi,na hawaogopi wa kumpa ilimradi awe na umate mate,huko nyumbani wakiagwa wanaambiwaga katafteni Hela Nini?Mimi sio mpiga ramli ila niamini manzi kafa akiwa anakitembeza.
Yaani jambo liibuke tu from no where uhusishwe tu,yaani kwenye hii muvi nawaza boyfriend aliye daiwa kumpiga,dah watu wanadhambi mtu anaenda pakaziwa hivihivi
Niliisikiaga hii habari ya chui 😁Kuna yule mwingine aliwahi kuwa boss wa polisi, anatokea Dodomya, anavaaga miwani kubwa kama mwalimu mkuu, hapo zamani alikuwaga utingo wa malori, wanamuita sijui Chui-sawene, alifumaniwa singida miaka ya nyuma na mke wa askari, wakataka kumla '0713' iwe fundisho kwa wanaojiita waheshimiwa kumbe wadharauliwa.
Basi bwa'mkubwa akaingia mfukoni akapasuka milion6 kumpoza askari.
Taarifa za ndaaaani kabisa zinasema jamaa huopoa na kulala na madem mpaka watano, 'fivesome' kwa usiku mmoja.
R.I.P kwa bint wa Udom, usingepeleka papuchi kwa naibu waziri ungekuwa hai leo
Chuichawene alifumaniwa singida bhana miaka hii ya nyuma ila sio ya mbali sana. Askari wakataka "kumla ndogo" akang'aka😅. Akampa 6M askari, soja akachukua akapita hivi, akapiga chini yule mwanamkeNiliisikiaga hii habari ya chui 😁
AIBU KABISAH YAANIsio siku hizi, ni siku zote, wanafunzi wakiwa chuo wengi huwa wamefunguliwa mlango kutokea form six ambako bado walikuwa wamebanwa, na wengi ndio hupatia ukimwi hapo au kuharibikiwa vizazi hapo. wanakuwa huru na uhuru hawajazoea kuuhandle. sasa unafikiri kwa ushungi ule kweli baba wa marehemu si atakuwa anaamini binti kaenda alikoenda na bikra yake?
Kama mtu ana dem,mke alafu iwe pisi
Iko dom lazima waheshkmiwa watamsarandia sana [emoji1]
Ova
Msomi huyo wa UDOM🤣Kiingereza kama haukijui kiache (have?!).
Aiseee walitaka wamnanihii? Na KY au sabuni au kavu??Chuichawene alifumaniwa singida bhana miaka hii ya nyuma ila sio ya mbali sana. Askari wakataka "kumla ndogo" akang'aka😅. Akampa 6M askari, soja akachukua akapita hivi, akapiga chini yule mwanamke
Ameponzwa na umalaya wa kichuo
Na mwalimu wake pia ni hivyohivyo.Msomi huyo wa UDOM🤣
Na huyu bwege anakoelekea na huo uzinzi wake kuna siku watamfumua kabaang kweli... Majuzi hapa alikoswakoswa tena mitaa ya MbweniChuichawene alifumaniwa singida bhana miaka hii ya nyuma ila sio ya mbali sana. Askari wakataka "kumla ndogo" akang'aka😅. Akampa 6M askari, soja akachukua akapita hivi, akapiga chini yule mwanamke