Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Yaan hao mileage inasoma mbaliEti ndio niihonge fedha hiyo midudu!
nikiwa nagenye si nakwenda zangu Gongo la mboto kuna maagoti wa buktatu
Washadoda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hao mileage inasoma mbaliEti ndio niihonge fedha hiyo midudu!
nikiwa nagenye si nakwenda zangu Gongo la mboto kuna maagoti wa buktatu
Hizo sehemu ulizotaja zipo Tz ama za Zimbabwe mkuu😂 i've never heard before 🙌Kweli mkuu, kwa mtu wa Ibinzamata,Kizumbi,Mwigumbi,Upongoji, Iselamagazi ataona hio Ni chai kabisa.Piga balimi 4 hapo mwanawane.
Nimecheka sana mkuu hii comment yako..dah[emoji28][emoji28]Kama kiwanja chako cha kujidai ni pale dukani kwa Mangi, kinywaji double kick mixer balimi, kwanini mada hii usione chai!
Kama kutumia pesa ni kuzitakatisha bas sehemu za starehe zisingekuwepoWanatakatisha hela hapo. Unakuta mwenye hiyo kidimbwi ni muuza madawa ya kulevya so anaandaa watu kazaa na anawapa hela halafu wananunua hivyo vyinywaji ili baadaye aje asema hela yake ni halali na inatokana na mauzo ya kidimbwi. Polisi, TRA nendeni hapo mkachunguze. Na kwa njia hiyo watu wengi sana wanatakatisha hela hapo.
Uendelee kukaza ivyo ivyoAah wapi sio kwa ngada
Naunga mkono hojaWord.
Viwanja kama hivyo ni vya malaya,drug dealers, blackmailers, Pimps, wazee wa dark tricks zote na mafekeche
Viwanja kama hivi utapata HIV, gonorrhea, syphilis,klamedia, UTI, herpes, mifangasi.
Watu smart wenye cashflows zao wanakula hyatt regency movenpick au double tree by hilton.
Wanakula wale high class bi.tc.hes Au career women.
Mtu smart hawezi fvck demu mvuta sigara,mvuta shisha mwenye mitatoo kama gazeti.
These areas are there for the damned people with no life purposes but luckily visited with money.
Embu acha ushamba babu mpwayungu HV picnik Kuna nn pale mbna hknn kitu mm natokea Maeneo hayo kaloleni pale Ila Sasa HV Niko dar uwez kulinganisha kidimbwi na picnik hkn Bei za gahl za vinywahi pale ..najuwa unapromoto c ya mxee mmoja wa marangu mchaga yuleHujawahi enda picnic ya Arusha wewe
Mengi tu[emoji16]Kama wapi ?
😄😄😄 TZ kubwa mkuu,Ila umenichekesha Sana.Hizo sehemu ulizotaja zipo Tz ama za Zimbabwe mkuu😂 i've never heard before 🙌
Post moja ya kibabe sana kongole [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Word.
Viwanja kama hivyo ni vya malaya,drug dealers, blackmailers, Pimps, wazee wa dark tricks zote na mafekeche
Viwanja kama hivi utapata HIV, gonorrhea, syphilis,klamedia, UTI, herpes, mifangasi.
Watu smart wenye cashflows zao wanakula hyatt regency movenpick au double tree by hilton.
Wanakula wale high class bi.tc.hes Au career women.
Mtu smart hawezi fvck demu mvuta sigara,mvuta shisha mwenye mitatoo kama gazeti.
These areas are there for the damned people with no life purposes but luckily visited with money.
😄😄😄 AiseeeUmeyataja vizuri maeneo ya nyumbani kwenu ila umesahau kukitaja kijiji cha kwenu NHALEGANI kwenye washamba wengi kupita maeneo yote uliyoyata
😄😄 Samahani Sana mkuu.Mkuu si ungesema tu kwa mtu asie na pesa sasa kutaja majina ya mitaa yetu hapa shy town ndio Nini!??
[emoji847][emoji847][emoji847]Hujawahi enda picnic ya Arusha wewe
Mm bado nailaumu serekali kwa kutofatilia Bei hzo na kod inayolipwa na hao kina kidimbwi utakuta jamaa hawa kwa mwaka wamekadiriwa milion tano hi siyo sawaa kbsa kinywaji Cha milion moja alfu uje utuambie kod Kia's gani imeingia serekali nakuambia haitazid milion tanoWanatakatisha hela hapo. Unakuta mwenye hiyo kidimbwi ni muuza madawa ya kulevya so anaandaa watu kazaa na anawapa hela halafu wananunua hivyo vyinywaji ili baadaye aje asema hela yake ni halali na inatokana na mauzo ya kidimbwi. Polisi, TRA nendeni hapo mkachunguze. Na kwa njia hiyo watu wengi sana wanatakatisha hela hapo.
Mara nying maeneo kama hayo yanamilikiwa na viongozi.Mm bado nailaumu serekali kwa kutofatilia Bei hzo na kod inayolipwa na hao kina kidimbwi utakuta jamaa hawa kwa mwaka wamekadiriwa milion tano hi siyo sawaa kbsa kinywaji Cha milion moja alfu uje utuambie kod Kia's gani imeingia serekali nakuambia haitazid milion tano
Hii comment umeiandika ili ijulikane na wewe ulishawahi kwenda kidimbwi au?Kuna demu kidimbwi anaitwa Hawa,wale wahudumu wa Hennesy
Pandagi chiza..nguzo nane..shinabulandi.Ongezea na Bushushu,Ngokoro,Ndala, n.k.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hyatt inauzwa 5000 tena ya chupa kabisa 😄Jamaa anasema chai,nimewahi kwenda sehemu na Boss mmoja hivi,kwa kuwa situmii kilevi,nilikunywa soda na 1 inauzwa 2500