Kifo cha Princess Diana kilichotokana na ajali ya gari

Kifo cha Princess Diana kilichotokana na ajali ya gari

Ambulance ilikuwa njiani inakwenda kumchukua Diana kabla ajali haijatokea. Ajali ilisababishwa na mwangaza mkali wa laser beam. Ilikuwa ni kazi ya mi 6 na mossad,waliotekeleza. Sijui nani aliyeamuru. Ilikuwepo hospitali pale karibu lakini. Diana alipelekwa hospitali nyingine. Diana alikuwa anatembea katika eneo la ajali lakini alipofika hospitali ghafla akawa mahututi.
 
Lakini si mbaya maana mtoto wake Prince William ndio mrithi wa mfalme baada ya malkia Elizabeth.Her legacy still will be maintained.
 
Mwarabu alikua hatakiwi katika familia ya kifalme si unajua maharabu kwa tobe wakaona bora lawama kuliko fedhea wakatangulizwa mbele ya haki
 
Ambulance ilikuwa njiani inakwenda kumchukua Diana kabla ajali haijatokea. Ajali ilisababishwa na mwangaza mkali wa laser beam. Ilikuwa ni kazi ya mi 6 na mossad,waliotekeleza. Sijui nani aliyeamuru. Ilikuwepo hospitali pale karibu lakini. Diana alipelekwa hospitali nyingine. Diana alikuwa anatembea katika eneo la ajali lakini alipofika hospitali ghafla akawa mahututi.

Ama kwa hakika kifo cha Diana kilileta mtazamo mingi sana tofauti.
Na kifo cha Diana kili mulikwa Karibu na dunia nzima kutaka kujua kulikoni.
 
Ambulance ilikuwa njiani inakwenda kumchukua Diana kabla ajali haijatokea. Ajali ilisababishwa na mwangaza mkali wa laser beam. Ilikuwa ni kazi ya mi 6 na mossad,waliotekeleza. Sijui nani aliyeamuru. Ilikuwepo hospitali pale karibu lakini. Diana alipelekwa hospitali nyingine. Diana alikuwa anatembea katika eneo la ajali lakini alipofika hospitali ghafla akawa mahututi.

Hata sokoine alipotea kwa style hiyo hiyo! ....Samahani kama nimekukwaza!
 
Ambulance ilikuwa njiani inakwenda kumchukua Diana kabla ajali haijatokea. Ajali ilisababishwa na mwangaza mkali wa laser beam. Ilikuwa ni kazi ya mi 6 na mossad,waliotekeleza. Sijui nani aliyeamuru. Ilikuwepo hospitali pale karibu lakini. Diana alipelekwa hospitali nyingine. Diana alikuwa anatembea katika eneo la ajali lakini alipofika hospitali ghafla akawa mahututi.

Du alikuwa anatembea yeye mwenyewe du maana hata cctv camera za mle ndani wakati wa ajali zilizimwa
 
Nakumbuka kitu kama mlinzi ndo alipona na bado yuko hai
 
Kwanini useme hakuwa mtulivu?
Tupe unacho kifahamu tujifunze mkuu
Hakutulia kwasababu alikuwa na wanaume wengi akiwemo Daktari wa Kipakistani,ambae alimtambulisha Diana mpaka kwa wazee wake Pakistan,lakini Mwenyezimungu akamnusuru huyo daktari, familia yake ikamushauri aachane kabisa na Diana maana anayaweka maisha yake hatarini, kwahiyo wakaachana na akaendelea kuwa na Dodi Fayed mpaka yakawakuta yaliyowakuta.
 
hii ndio inaitwa kunya anye kuku akinya bata................, wakristo mna roho mbaya sana ila mambo yenu mnayapeleka kimya kimya

Tatizo sio uislam,tatizo ..hapo wameangalia maadili ya ya familia ya kifalme... hata hivyo wakristo hawaui watu hovyo kama nyie alshbaab mnavyoua wapita njia
 
Tatizo sio uislam,tatizo ..hapo wameangalia maadili ya ya familia ya kifalme... hata hivyo wakristo hawaui watu hovyo kama nyie alshbaab mnavyoua wapita njia
mkuu mbona mgumu kuelewa? nyie mambo yenu kimya kimya
 
habari ndio hiyo tusije hukumu watu ambao hawana hatia
money stuna na wenzio mnajidai wagumu kuamini kwakua waliofanya mauaji ni wagala wenzenu ila ingekuwa muislam ndo kafanya mngeamini fasta kwa chuki mlizokuwa nazo vifuani mwenu, mazingira mengi yanaashiria diana aliuawa
 
Illuminati killed her because she was getting out of their controll just like how they did with Hitler,MJ and Whitney.
Miley and Gaga are next.
 
Mwarabu alikua hatakiwi katika familia ya kifalme si unajua maharabu kwa tobe wakaona bora lawama kuliko fedhea wakatangulizwa mbele ya haki
Hao ndio wazungu ambao kunawatu wanawaabudu
 
Alizinguliwa na Prince chaz sana maana alikuwa anatembea na Camilla kabla hajamuoa di, na di akaamua kutembea na aliyekuwa anamfundisha kupanda farasi - Major Hewitt, halafu akatembea tena na Dr wake mpakistani halafu tenaaa akawa na urafiki na millionaire wa kimarekani mwenye machimbo ya petrol na kote huko ilikuwa ni pressure na hasira za mumewe na malkia pia.
Ndio akaanza na dodi Al Fayed alipoonywa sana ndio akatangaza kuwa mtasikia jambo kubwa hivi karibuni ikabidi wammalize
Hivi best ni jambo gani Diana alitaka kulisema? Any idea

black sniper
 
Back
Top Bottom