Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

Umesema sokoine alikuwa msukule😄😄😄😄😄miso misondo ulipigaje pale....
 
Huwa namwambia Max Mello watu kama wewe hawastahili kuwa humu JF, lakini najua hana la kufanya
Mimi huwa najua story za wavuta bangi jamii forum nazo zina haki ila zikishidisha uongo wa kitoto kam huo lazima tusema shida unahisi wote ni watu wa vijiweni

Eti nyerere akasema mkirudisha msukule dunia itanionaje .....hivi unafikir nyerere alikuwa pomole kama wewe eti aamini mambo ya misukule
 
Kuna kijarida nilikikuta Library pale Nairobi Unv. hivyo yule mkwe wangu wa upareni Msuya alisingiziwa tu😂
 
Na huko bagamoyo ndo alipopewa wazo la mwenge wa uhuru. Wewe mzee umeiva sana kwenye historia.
 
Wewe Mpumbavu unaleta mambo ya kufufua misukule hapa!
Wapi maiti alifufuka?
 
Na huko bagamoyo ndo alipopewa wazo la mwenge wa uhuru. Wewe mzee umeiva sana kwenye historia.
Asee wewe nchi nyingi dunia zina national torch mbona mnapenda habari za kufikirika sana national torch hadi uingereza wali wahi kuwa nao
 
Kwenye ajali,mtu anaweza kufa hata kwa mshtuko,asiguswe hata na machumachuma.
 
Nyie watoto wa 2000 hamuwezi kuelewa, hamkuwepo tatizo.
Shida yenu majinga sana nyie unaongea hapa na mtu wa mwaka 85 usijafanye watoto wa 2000.....

Majinga kama nyinyi ndo husambaza mila potofu taifa linaendelea kuwa masikini kwa kwa amini mambo ya kijinga jinga

Mbaya zaidi unakuta hadi wasomi na viongozi wanaamini kwenye ushirikina
 
Kwenye ajali,mtu anaweza kufa hata kwa mshtuko,asiguswe hata na machumachuma.
Kweli kabisa. Mshituko, na ukiwa na tatizo la BP na umri mkubwa ndio kabisa. Ila usisahau Sokoine alikuwa na miaka 45 tu, kijana bado si rahisi kufa kwa mshituko tu
 
Nyerere Aaamini misukule😄😄😄😄😄mcommunist na mambo ya mitaani wapi na wapi ......uzi una kamba huuu
Lete wewe ukweli wako,ingia kwenye kumbukumbu za Mercedes Benz,ni kweli walitaka kutuma wataalamu wao kuchunguza ajali hii maana iliharibu brand yao,angalia picha hiyo ya ajali,hapo dereva hakupata majeraha makubwa,na kweli huyu Dube a ignore kwanza yule traffic kwenye motorcycle anaye clear njia,then apuuzie leading car na aje agongane na gari iliyombeba main subject!,na wale tiss ya gari iliyokua nyuma ya main car hawakuchukua action yeyote ya ku defend main car!elewa msafara unakuaga sio wa straight line,LAZIMA main car iwe ndani ya curve,bodyguards car na leading car ndizo zinakua in a straight line,ukweli unatakiwa hapa....ule mchanganyuo wa mwenye heri umeishia wapi?
 
Acha kuonyesha upumbavu wako. Watafute watoto wa Nyerere watakuambia ukweli
 
Kuna kijarida nilikikuta Library pale Nairobi Unv. hivyo yule mkwe wangu wa upareni Msuya alisingiziwa tu😂
Mkwe wako Msuya alikuwa top adui wa Sokoine. In fact Sokoine alitaka awekwe ndani kwa ufisadi. Kama sio Nyerere mkwe wako angewekwa ndani. Nadhani kumridhisha Sokoine, Nyerere alikubali kumvua Msuya u-PM. Sasa hao ndio walikuwa aina ya watu Sokoine went after, kina Msuya, kina Kawawa, na Nyerere akawa anamwambia taratibu, utaleta mgongano mkubwa nchini! Na hao ndio watu walikuwa wanamwambia Nyerere Sokoine adhibitiwe, anavuka mipaka!

Na kama ni kweli kifo cha Sokoine kilichorwa, basi tutahisi hao ndio watu walikichora. Umeona hii hapa chini

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…