ahsante mkuu.. karibu sana bongo movie bana!!! tunahitaji uigize kama paroko mkuu halafu Kaizer awe msaidizi!
masista wawe mwallu, Husninyo, DEMBA, Chocs, Evelyn Salt, Dinazarde, Angelicious, Madame B na miss neddy.!!
director ntakuwa mimi hapa!
We King Excel umewasahau masista wengine warembo kwenye movie na Ma- charminglady Karucee tian miss chagga Na houseboy wao Sizinga
wanakuwa na budget finyu hivyo kwa sababu hawaamini kama watauza sana so wanaogopa kupata hasara wanashindwa kuelewa kwamba the higher the risk the highr the profit,ukitengeneza kitu kizuri sio lazima kiangaliwe ndani ya nchi kinaweza kuangaliwa haa nje ya nchi watu wanaangalia filamu za kifilipino na za kichina.... Subtittle inafanya kazi yake,kitu kingine mtu kama mimi mara ya mwisho kununua bongo movie ilikuwa 2010 just baada ya kuona haina maboresho,ila ni mnunuaji mzuri sana wa mixtape za wasanii wa bongo flavour (hip hop) just because naridhishwa na wanachofanya wakitengeneza movie nzuri watatuinspire watu kama sisi kununua kazi zao lakini pia kutengeneza movie nzuri kunakuongezea possibility ya kuitwa nje ya nchi kufanya collabo na mtu mkubwa, so kwamgu mimi kuweka budget ndogo no excuse katika hilo.
dah.. kweli his excellency, kazi tunayo kuuinua hii tasnia!Mwanangu Si kwamba sizifahamu kazi Zake! Ila Nafikiri Hapo nilikosa neno muafaka la kutumia ndio nikasema Mimi niko kushoto na haya mambo nikimaanisha bongo movie ni hovyo kabisa!
Nina sababu nyingi sn za kusema hivi Ingawa wengine Wengi humu wameshatoa sababu mbali mbali za kuwakosoa! Lkn km ingekua sio kuandika ni kutoa sababu tu kwa mdomo Mimi ningetoa sababu kwa muda Wa masaa 12 nikisema tu Kwanini bongo movie hazifai! Najua kuna baadhi ya wadau wanaweza sema uzalendo kwanza Mara Sijui nini! Lkn Mimi bongo movie ziko na mashida kibao sn! Wasanii tabu, elimu, story zenyewe, vifaa vya kutengenezea movie, locations za movie, Yani Sijui niseme nini niache nini?
dah.. kweli his excellency, kazi tunayo kuuinua hii tasnia!
kuna wenyeji wa bongo movie humu kama Cloud 112 na BATULI actress aka cleopatra, sijui wao wanapambanaje na mashida haya!
mkuu nataka malikia wangu miss neddy na Angelicious waingie mzigoni.. nipe credit!
Nimekupa oooh--King Excel
Wewe ukiwa km Leonard De Kapreo sasa Sijui nani atakua Katty W? Bilashaka dada yng miss neddy
Bongo movie inabidi ibadilike katika shooting,acting na directing,haya mambo yote yapo ndani ya uwezo yao nimeiangalia siri ya mtungi nimeona vyote hivyo vinawezekana ingawaje hiyo series imekuwa directed na wazungu lakini mambo mengine ya sisi kujifunza yapo ndani uwezo wetu(hao bongo movie)
let bongo movie play their part alafu serikali na yenyewe itaplay part yao.ya kusimamia soko lakini sio wabaki kulalamika soko linawaangusha alafu wenyewe wantengeneza movie za kiwango cha chini.
mkuu.. tukitazama kwa kina ndani ya tasnia ya bongo movie, kuna wasanii gani hasa ambao wamepata elimu ya kutosha ambayo wanaweza kuitumia kufanya market research both internal na external markets?
piracy mkuu inasababishwa na kukosa userious katika kufuatilia masuala haya kiundani, nakumbuka last year walipitisha msako karibu wilaya zote za dar es salaam na kukamata vishoka wengi sana wa filamu ndani ya dar.. sasa, kwanini hilo zoezi halikuwa endelevu?
cc.. Himidini, Mr Rocky, Chujio, Eiyer, Ntuzu, Angelicious, miss neddy, mwekundu, Mtambuzi, MziziMkavu, Lady peace, Bantu lady, Mtoto halali na hela, Karucee, Heaven on Earth, heaven on desert, LORDVILLE, Mentor, Mashaxizo, stata mzuka, mimi49,.... n.k
karibuni kwenye mdahalo huu wakuu! semeni tu lolote kuhusu bongo movie industry kwa ujumla.
mimi sina cha kuchangia kuhusu bongo movie
maana choice yangu ni indian na nigerian movies only
dah.. kweli his excellency, kazi tunayo kuuinua hii tasnia!
kuna wenyeji wa bongo movie humu kama Cloud 112 na BATULI actress aka cleopatra, sijui wao wanapambanaje na mashida haya!
mkuu nataka malikia wangu miss neddy na Angelicious waingie mzigoni.. nipe credit!
come-on-me my dear!!! kwaniini humpendi huyu jamani?
mbona ni mpole hana hata element za uosama?
mamii, hebu tupe utamu wako ndani ya nigerian movies na indian huwa uko wapi?
tunaweza pia tukaiba teknolojia kutoka kwao tukaleta kwetu..
falsafa ya usukumani ni one king one queen
hahahahaha kuiba teknolojia ya kihindi ni ngumu sana
wahindi wananikosha na breaktime ya masongi tu
Kanumba alikuwa member sana katika kuigiza. Nakumbuka ile ya Dar to Lagos ilikuwa noma. R.I.P KANUMBA.
aaaaaaah!!! hamna bana.. wasukuma ni one to many function!
wale ng'ombe woote wanatunzwaje? hata Honey Faith nae anatambua hilo!
his excellency, Ntuzu nae anajua..!