Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Sina uhakika sana kuhusu mzee Jangala kama kafariki au la........
Ni jambo jema kwa wakati huu watanzania wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa kuomboleza msiba wa Kanumba kwa pamoja.
Tumeshaona watu wakianza kutafuta "credit" za kienyeji sana katika msiba huu kitu ambacho hakina tija.
Bavicha kwa nafasi yenu mmefanya jambo la msingi kuungana na watanzania wengine kuonyesha masikitiko yenu juu ya kifro cha Kanumba.
Kaache kakapumzike selo hako katoto mana tulishachoshwa na skendo zake kila siku
si kweli mkuu
angalia hapa chini nini kinasababisha hiyo kitu
[h=3]Concussion Causes[/h]A concussion can be caused by any significant blunt force trauma to the head such as a fall, a car accident, sports injury, or being struck on the head with an object.