Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Hamia Airtel ! Huku sisi hatufanyii maiti maonyesho, utavikwa sanda badala ya suti na viatu na saa, hakuna tofauti ya tajiri na masikini, hakuna vigae wala marumaru na utazikwa na wanaume tu !
 
hususan ile pumbaaaavuuu huwa natamani angekuwa karibu nimtie ngumi.

ray magumashi hana lolote asifikirie kwamba yeye ndo bingwa aliebaki kuna JB,RICHIE,ADAM KUAMBIANA nk na wote hao hawawezi hasa JB
 
kesho atakuja mwingine aseme kwanini kanumba kazikwa na suti nyeusi badala ya nyeupe,
 
Comrade Umetisha wewe ni kichwa,
alieponda akisoma hapa atawaomba radhi wote walioshiriki msiba hapo dar na sie pia ambao ear phones hazikubanduka masikioni mwetu kusikiliza kinachoendelea huko dar,kama yeye hapendi sisi tunapenda atuache kama sie tulivyomuacha
 
Hamia Airtel ! Huku sisi hatufanyii maiti maonyesho, utavikwa sanda badala ya suti na viatu na saa, hakuna tofauti ya tajiri na masikini, hakuna vigae wala marumaru na utazikwa na wanaume tu !
Ngoja ntaamia mkuu!
 
Hamia Airtel ! Huku sisi hatufanyii maiti maonyesho, utavikwa sanda badala ya suti na viatu na saa, hakuna tofauti ya tajiri na masikini, hakuna vigae wala marumaru na utazikwa na wanaume tu !

kwasababu wanawake sio watu au?
Au wanawake sehemu yao ni jikoni?
 
Lakini na story behind ya kifo chake imedraw attention hence umati mkubwa hivyo. Angeugua hata kwa week moja nadhani isingekuwa hivi.

Mwanzo na mimi nilizani hivyo lakini sivyo angalia Nyerere aliugua lakini bado kifo chake kiliuma wengi! ni suala la upako wa kukubalika tu! halafu yes kavunja record kamfuata Nyerere huwezi ukamfananisha Nyere na kanumba kwamba Nyerere alikuja mpaka sijui nani wa marekani! ni nafasi yake na aliongoza kwa miaka mingi na kanumba hajavunja record yake!LAKINI kanumba kazikwa kwa umati mkubwa kumfuatia Nyerere!
 
Hamia Airtel ! Huku sisi hatufanyii maiti maonyesho, utavikwa sanda badala ya suti na viatu na saa, hakuna tofauti ya tajiri na masikini, hakuna vigae wala marumaru na utazikwa na wanaume tu !

hivi kuzikwa maana yake ni nini?

Kama ni kuchimbiwa shimo, kuwekwa humo na kufukiwa?
Au ni pamoja na kisomo/ibada?

Kama ni swala la shimo na kufukiwa kumbe hata mbwa wetu na tunawazika?

Je wale wasiochimbia, wanachoma, je wamezika pia?

Hizi dini hizi zimewafanya binadamu wakawa hovyo kabisa!!
 
Naangalia STAR TV kuna watu wametoka mikoani kuja kumuaga Kanumba. Amazing
 
Hapa hatuzungumzii choices.We are talking about good and evil.Kwamba mwanadamu asiyeweza ku-distinguish between good and evil hana tofauti na mnyama.What do I mean,ni kwamba mtu anayemshabikia Kanumba simply haoni kwamba hakuwa role model katika jamii yetu,which is funny.Kanumba was evil and satanic na mtu yeyote anayemshabikia will most likely be evil.
 

una huakika baba yake alijisicrifice kwa ajili yake au unajitia kujua..
 
kwasababu wanawake sio watu au?
Au wanawake sehemu yao ni jikoni?

maswali kama hayo huwezi kupata majibu sahihi, labda ukiulizwa mwanaume kwanini havai sketi utasema kwasababu sio mtu?
 
Muonee aibu aliyekuumba na akatuwekea misingi bora ya maisha zikiwemo dini,so kama unaona hizi dini zimewafanya wanadamu kua hovyo basi mwisho wako utakua mbaya sana!
Ebu mrudie mungu wako mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…