Mkuu,Of course she will be cleared, kwanza hata hakutakiwa kuwa ndani anyway
Kwa lugha nyepesi alikuwa wrong place at wrong time
mkuu some madhara ya pombe kali halafu utajua
au unaweza kujaribu mwenyewe maliza mzinga wa konyagi halafu ukimbie kisha ugombane namtu kama hujampa huyo mtu uyounayegombana naye murder case
Heading nA CONTENT ni kama mbingu na Ardhi!
Mning'inio unaeleweka vizuri kwa 'utantambua'
BK The home of BIG and Jay........
Mzee hajamtendea mwanae haki,
Sina ubishi kwa hilo na ninaweza kusema Kanumba sio The Great bali The Greatest. R.I.P SKHili halina ubishi kuwa Kanumba kawafunika wasanii, macelebrety na wanasiasa wetu wote (Except Nyerere) waliotangulia mbele ya haki kwa kuzikwa na watu wengi zaidi,hii inaonyesha alikuwa anakubalika sana katika fani yake ya uburudishaji katika sanaa ya filamu.Mwenye ugomvi nae amsamehe na mwenye madeni huu ndio wakati wa kulipwa ili mwenzetu akapumzike kwa amani(kama kweli kuna mapumziko). Kilichobaki sasa ni kumuomba Mwenyezi Mungu amrehemu..Ameen
Muulize afande Sele!Hujasomeka kabisa. Nani mjinga?
Ni funzo pia kwa SK kwamba 'WAHESHIM BABA NA MAMA UPATE MIAKA MINGI NA HERI DUNIANI'
Akiachiwa lulu,tutaandamana!!
siamini kama kupewa vyombo uoshe na kuambiwa uchunge mbuzi kama ni mateso, mf mie nimelelewa na wazazi wangu wote wawili, lakini tulikuwa tunaenda kuchunga ng'ombe, tulikuwa tunapika na kukata majania ya ng'ombe wakati wa mvua. Na vyombo tuliosha sana....sa sijui na mie niibuke niwanmbie wazazi kuwa walikuwa wananitesa?