Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nadhani ka inawezekana wangemuacha kwanza kwa muda wasimuhoji chochote, kama kweli aliyemuhoji ni mtaalamu wa psych nadhani itasaidia..Af tatizo jingine hao polisi ndo wanazidi kuchanganya watu kwa kuripoti kila siku habari tofauti tofauti, kwa nini wasimalize kwanza upelelezi wao ndo waje na habari kamili?
Nadhani ka inawezekana wangemuacha kwanza kwa muda wasimuhoji chochote, kama kweli aliyemuhoji ni mtaalamu wa psych nadhani itasaidia..Af tatizo jingine hao polisi ndo wanazidi kuchanganya watu kwa kuripoti kila siku habari tofauti tofauti, kwa nini wasimalize kwanza upelelezi wao ndo waje na habari kamili?
Nothing wrong with that because there is no legal case that is sub judice.
And she does deserve assistance. Or doesn't she?
"Heavyweight politicians"? I wanna see some names and judge it for myself if they are indeed "heavyweight".
Hakutaka kutoka kwaiyo alifata nn ucku ule kwa kanumba alhali alishamhint watoke usiku huo?si angebaki zake nyumbani!?so yule mdogo mtu alisikia arguments abt phone conversation tht means hakusikia vzr au kajisemea tu?hapana somethng is wrong somewhere!lulu ana washauri wengi naona kila mmoja anamwambia aseme iki ss anajichanganya tu.
Ata kama atatoka doubts zitakua bado nyingi sana!haijakaa vzr hIi
Of course we can say there is no a case awaiting judicial determination at the moment but could the said intervention interfere with the investigation process? She deserves help but what sort of help from the said "heavyweight politicians"? If it is a general help not involving their political interests, then that will be fine.
But one may worry about interference in police investigation by politicians especially the "heavyweight" ones. We all know about how police independence has been driven by the fear that politicians will interfere in the police decisions in a manner that can adversely affects the impartial application of the rule of law.
Ni kweli mama umenena tuiachie sheria ichukue mkondo lakini bado napata shida na aina ya malezi ulompa mwanao... kwa hilo tutaendelea kukulaumu
She has complicated her life because of having affairs with a number of men. Could you imagine she was instantly picked from the scene by another man?...du her line was and remains very hot.Right now it's just her word against whatever evidence they managed to collect. No smoking gun.
She has a good chance of walking free.
Kama mimi ningekuwa kiongozi wa nchi,ningeamuru lijengwe Sanamu lenye sura ya Kanumba,kama lilivyo la Baba wa Taifa.
Jamaa kaitangaza sana Tanzania nje ya nchi. Lijengwe either Mwenge,Posta,round about ya kule Mbagala au Kariakoo,au hata Ubungo. Nitachangia mifuko miwili ya Cement.
Ni hayo tu wadau!