Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)


sheria zinaendana na tamadun za watu...... zanzibar 15yrs ni ruksa kuolewa.... hata bara pia
 
nimependa comment yako mkuu;
ufafanuzi kidogo;
1. is it lulu is 17?
2. je hapa huyu mama nkya activist wa haki za wanawake haingii? na hii child protection agency ipo nchini? jamani umasikini huu dah
mwongozo hapo


 
kuanzia leo, ni marufuku kumuongelea kanumba!!!

BTW: niazime mifuko hyo ya cement nikajengee kaburi la bibi
 

uko sawa!!!!!!
ol raiti..
 
nimependa comment yako mkuu;
ufafanuzi kidogo;
1. is it lulu is 17?
2. je hapa huyu mama nkya activist wa haki za wanawake haingii? na hii child protection agency ipo nchini? jamani umasikini huu dah
mwongozo hapo

tatizo haka katoto kalitangazia uma kana miaka 18 hadi bonge la birthday party alifanya la kuingia ukubwaniw .... sioni kosa la kanumba rip...

labda ije sheria ukitaka kutongoza omba cheti cha kuzaliwa...
 
Nahisi mtoa mada ndiye aliyeandika bongo flavour kwenye mitihani yake ya kidato cha nne.
 
Wewe ni net,ngao,ama mbu..coz i dont thnk ni human
 
She has complicated her life because of having affairs with a number of men. Could you imagine she was instantly picked from the scene by another man?...du her line was and remains very hot.

Huyo jamaa alimleta na pengine ndiye alimpigia simu baada kuona anachelewa kutoka. What a coincidence,,kwamba anatoka tu ndani na huyo jamaa anapita therefore kumpa lift?

Huyo aliye mpick inawezekana ndiye
 
Hivi Lulu anasoma ama she is a proud std seven graduate?
Mamake anafunguka leo? Vibweka vya mwanae magazetini kila leo alikuwa havioni? Laweza kuwa la kuvunda hili!
 
Awa police wa bongo wambeambea tu,ndo kontena jipya la ccp nin!utafanyaje uchunguz kesi kama hii roborobo,af utoe habari! Af waandish uchwara wapo weng mno..lulu akikohoa hao tayar,akpga chafya,hao,akijamba hao..kw msaada wa ao ao polis wasiokuw na maadil.
 

Msiba ulikuwaa wa kisanii zaidi....hivi hata mama mzazi aliweza kuuona mara ya mwisho mwili wa mwanae????
 
Nshomile wa kihaya wamekutana. Badala ya kulaani ufuska wa mwanae anatetea! Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka.

Mtoto hafanyi ufuska. Anabakwa regardless kuna makubajliano au la. Sheria ni msumeno!
 
So she is under police custody and can still send and receive texts? I wanna whatsup her...stories zitakuwa nyingi sana kiukweli! Atatoa versions nyingi mwisho atajichanganya!
What about the "heavyweight politicians" who have been sending her consolation text messages pledging to assist her?
 
Kama ni kweli aliyosema lulu ndicho kilichotokea usiku ule, kuna nafasi kubwa kwake kuwa huru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…