Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

MSANII Elizabeth Michael (Lulu) Leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu na kusomewa mashitaka ya mauwaji yanayomkabili dhidi ya Steven Kanumba.
Leo hakutakiwa kujibu lolote, kesi imeahirishwa hadi Aprili 24 mwaka huu, amerudishwa rumade kutokana na kesi za mauaji hazina dhamana. Ungana nasi baadaye kwa habari zaidi.

Kutoka Mwananchi website
 
Aulizwe mdogo wake nadhani na yeye alitakiwa kushikiliwa kwa wema ili kuisaidia polisi coz mkemia akisema ni sumu then itakuwaje na yeye ndiye aliyekuwa naye before?
May be na polisi wana clue muhimu hapa ndio maana wanamshikilia LULU pekee.
 
kesi ni ushahidi, upande utakaokuwa na strong evidence to defend their arguments utashinda, tusubiri
 
mmhh wanamuonea dogo coz unaweza kuta yeye hana makoza unaweza kuta ilikua ni mipango ya mungu au siku zake za kuishi hapa duniani zimeisha
 
Mbona wengi sana wanamshuku huyu mdogo wake?...mnakaribia kunipandikiza hisia za aina hiyo na mimi!

mkuu hapo ku question behind the curtain. Kama huyu ndiye aliyekuwa naye kabla LULU hajaja imekuwaje yeye asiwe na something to say or write down kule polisi?
Kwanini suspect awe mmoja wakati walikuwa watatu? Huo ndo wasiwasi kwa upande wangu halafu unagnisha na povu mdomoni na kinywaji je, mkemia akisema ni sumu tutamsuspect nani Lulu au huyu aliyekuwepo kabla?
 

Mkuu mbona michango mingine inasema kesi imeahirishwa hadi april 24, wewe unasema april 23? ipi ni sahihi?
 
Unafikiri watu wanaoharibikiwa wamekosa malezi ya baba na au mama? Si kweli. Usiwe na papara kutoa judgement kwa watoto wa wenzako ilhali na wewe unao au wanakuja. That is her destiny. Angekuwa na uwezo amgerudisha nyuma mkanda na kuanza upya. After all, life has to go on!
 
was just jokng,
kwanza hua siamin hayo mambo, ngoja 2subir atasemaje,
ila mi nimezoea 'mama ni mama'
baba ni baba am nt sure
 

kesi imeahirishwa hadi April 24 au 23?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…