Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Yaani umeelezea kama vile mwanasheria kumbe bogas tu!Vitabu gani vya sheria umefundishwa kuwa ubora wa mwanasheria unasaidia kupata dhamana katika murder case??????????????????????????????????
Kwani wewe hujui kama pasco ni mwanasheria?kwa taarifa yako huyu jamaa ni mwanasheria wa kujitegemea!
Usiwe unakurupuka kwa kukashifu watu pasipo heshima,una 200mil za kumlipa kwa kukashifu?
 
Riport ya madaktari waliomfanyia post mortam marehemu Kanumba wanasema kifo chake kimesababishwa na Brain concusion lakini nijuavyo mimi Brain concusion inapoteza fahamu kwa muda mfupi siyo sudden death labda kama wangesema ilikuwa Brain contusion ambapo ubongo unakuwa umeumia sana na mtu anakuwa unconcious kwa muda mrefu,halafu brain inakuwa protected na skull( fuvu) ambalo ni gumu sana ambapo kuvunjika inahitajika nguvu kubwa ambayo mimi naamini Lulu hana nguvu nyingi kihivyo za kuweza kumsukuma Kanumba na kujibamiza ukutani,halafu kwa nini marehemu alitoa mapovu badala ya damu mdomoni? may be there was a third person who did a clean job,professional,lets think out the box.

nakubaliana nawe 100% watuambie ukweli
 
Msaniii ambaye amejizidishiwa umaarufu ndani na nje ya mipaka yetu hasa kufuatia kuhusishwa na kifo cha msanii nguri Kanumba, bibi Elizabeth Michael almaarufu kama LULU, amefikishwa leo mbele ya pirato pale mahakama ya Kisutu. Kwa mujibu wa mtoa habari, Lulu amesema ana miaka 17.. kesi imeahirishwa mpaka tarehe 23/4/2012..
Kama kuna mtu ana habari zaid ya hizi naomba atujuze kwa uzuri tu,, maana mi nimesikia ikiishia ishia..

Souce Radio One mchana huu.

Nawsilisha wakuu

Huyu mtoto atakuwa mtata sana anagalia youtube kwenye link hapa chini , mwenyewe anafurahia miaka 18
[h=1]LULU akiongelea maisha yake baada ya MIAKA 18 ndani ya TAKE ONE [/h]LULU akiongelea maisha yake baada ya MIAKA 18 ndani ya TAKE ONE - YouTube
 
Haka katoto kalikua kanaenda choo kweli loh!ebu kaangalieni huo mbinuko wake hapo nyuma.
Yani kakivu tu hata kabla ya refa kupuliza kipyenga lazima upige la offside loh!
Ngoja nii-print hii picha niiweke ukutani ili niwe nalumangia kwa picha ya ukutani.

kaka ww hujui kama tumbo linatembea na kinyesi? choo lazima aende
 
kasomewa mashitaka leo kwa hisani ya blog ya issa michuzi kama kuna mtu anajua kuweka link saidia


[h=3]BREAKING NYUZZZZZ........Elizabeth Michael a.k.a Lulu apandishwa kizimbani leo kusomewa mashtaka yake kufuatia kuhusika na kifo cha Kanumba[/h] Muigizaji wa Filamu nchini anaehusishwa na kifo cha Muigizaji Mwenzie,Marehemu Steven Kanumba,Bi Elizabeth Michael a.k.a Lulu amepandishwa kizimbani mapema leo asubuhi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam kwa kusomewa mashtaka yake kuhusiana na kuhusika kwa kifo cha Muigizaji huyo nguli hapa nchini.



Elizabeth Michael amesomewa mashtaka hayo mbele ya hakimu Agustino Mmbando na wakili Elizabeth Kaganda ya mauaji ya Muigizaji wa Filamu nchini,Marehemu Steven Kanumba yaliyotokea huko sinza vatcan jijini Dar es Salaam april 7 mwaka huu.



Elizabeth Hakutakiwa kujibu chochote Mahakamani hapo kwani mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza kesi za mauaji.



Kesi hiyo imeahirishwa na kupangwa kusikilizwa tena april 23 mwaka huu.



Muigizaji huyo aliletwa mahakamani hapo kwa mwendo wa kasi kama mshale na kwa ulinzi mkali na pia ndivyo alivyoondolewa Mahakamani hapo kiasi kwamba hakuna hata mwandishi alieweza kupata picha ya Muigizaji huyo mwenye tuhuma za mauaji Na kupandishwa katika gari ndogo nyeupe aina ya suzuki grand vitara yenye nambari za usajiri T 848 BNV huku kwenye kioo nambari zake zikisomeka PT 2565.
 
Upendo huwa wakati wa raha tu...palikobakia kila mtu anachunga mzigo wake
 
Back
Top Bottom