Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kanumba alipewa sumu muda mrefu kabla, pengine jioni ile alipotoka matembezi (au kazini) na labda siku moja au mbili kabla.

Lulu kwa kuwa alikuwa na mahusiano ya karibu alitumwa kwenda kuangalia effect ya kilo alichopewa huyo mnayemuita 'the great,' maana jamaa aliyeleta hiyo kitu kutoka Nairobi si ajabu aliwaingiza mjini

Kwa kuwa kabinti ni kichwa hewa kalienda tu kama zuzu na kalipokuwa huku jamaa kwa mchecheto wakata kujua hali ya kanumba kupitia simu ambazo Lulu aliogopa kuzijibu akihofu mhusika kusikia kuwa alikuwa anaongea na mmoja wa maadui zake.

Na hakika Kanumba alipofanikiwa kuipokonya Simu ya Lulu akagundua kuwa binti alikuwa anateta na adui yake mkuu, yaani Mr X.

"Yaani huyu ndiye ......!" akakata kauli na kuanguka maana dawa ilikwisha kuchukua effect.
 
Polisi wetu sijui wanafundishwa kitu gani bwana?! Watu wa kuisaidia polisi wako wengi lakini anashikiliwa mmoja tu nini maanake? Mimi na ki-course changu cha advanced security in the field naona kabisa Seth anapaswa kuombolezea cell na Ray siyo wa kubaki mitaani! Lazima waisaidie polisi period!! Nîliwahi kufokeana na OCD mmoja shauri ya upelelezi wa kijinga kama huu unaotaka kufanyika kwa SCK! Nyamb..f kabisa hawa!
 
View attachment 51535

mapaparazi hawakosi kitu mkuu wangu.

 
NN,

Anaonekana bado anang'aa eeh! na tulishazoea mtu akiingia rumande hata siku mbili tu akitoka hafai.

Ooh yeah....kanang'aa kweli kweli. Sasa najiuliza kama huko jela wanaruhusiwa kuwa na make-up, kutumia simu (manake kuna taarifa kuwa kuna watu walikuwa wanawasiliana naye kwa njia ya text messages), na kadhalika.

Hata nywele zake zipo freshi na sio tim tim kama za Wema enzi zile alipotoka Segerea
 
Anashtakiwa kwa kosa la Mauaji:
  1. Anatuhumiwa kwa Kumpiga Marehemu kwa kitu kizito kilichosababisha ubongo kutikisika na hatimaye kifo
  2. Anatuhumiwa kwa kosa la kukimbia baada ya kutekeleza mauaji ya Kanumba
 
RPC wa Kinondoni amenukuliwa na Daily News 10.April 2012 akieleza kuwa chupa ya whisky, sprite, na panga ni miongoni mwa vitu vilivyochukuliwa kutoka chumbani kwa kanumba ikiwa ni sehemu ya uchunguzi wa kifo cha msanii huyo nguli, lulu anauguza majeraha madogo aliyopata kutokana na panga hilo, ikiwa ni pamoja na yale yaliyo sehemu za siri

Imekaaje hii wakuu, kanumba alitaka kuchinja mtu kwa wivu wa mapenzi?
 
Haya ni maswala ya 'kifamilia' ya kina kanumba.
Sisi wengine tuendelee na shughuli zetu...
 

Mhhhhhhhhhhh! kama siyo Malima sijui
 

Ni Nani Huyo?
 

ukisikia umbea usiokua na kikomo ndiyo huu
 
"Elizabeth Hakutakiwa kujibu
chochote Mahakamani hapo kwani
mahakama hii haina mamlaka ya
kusikiliza kesi za mauaji"

Kwani hawakujua kwamba mahakama hii haisikilizi kesi za mauaji? Mis use of resources na time! Kwanin wasiipeleke moja kwa moja kwenye level husika?
 
Kwanini unasema muongo?una uhakika gan hana miaka 17?ww ndo mzazi wake?mama ake ametoa vyeti vinadhibitisha kua ana miaka 17 sasa mnabisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…