Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Anashtakiwa kwa kosa la Mauaji:
  1. Anatuhumiwa kwa Kumpiga Marehemu kwa kitu kizito kilichosababisha ubongo kutikisika na hatimaye kifo
  2. Anatuhumiwa kwa kosa la kukimbia baada ya kutekeleza mauaji ya Kanumba

Mungi hayo ndio mashitaka yake? Kama ndio baaasiii jela maisha!
 
Mimi siongelei hatima ya hukumu. Ila huyo mtoto lulu amevuka mipaka ya maadili.

Ndege mjanja hunasa kwenye tope... Na asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na polisiii.....

Miaka 18 anachanganya wanaume kama kachumbari....duh
"Eti nilikua kwenye simu naongea na mpenzi wangu mwingine"

Huyo mtoto kila siku kwenye magazeti, anaongelea mapenzi... Hivi alikua anaenda shule kweli??? Au ndo u_super star huo????

Mimi naona iwe fundisho kwa watoto wote ambao wanaharakia maisha. Pia mi_baba mnaopenda toto dogo dogo, "muache"...wazazi pia, muwalee watoto katika mazingira na maadili ya kiTanzania... Haya ndo madhara ya kutoka kuishi kama Marekani...

Ni hayo tuuu
 
kasomewa mashtaka ya mauaji ya kukusudia.Karudishwa segerea kesi itasikilizwa tena baada ya wiki 2.
Zamu ya Polisi sasa kula utamu...

Du mod wamelikubali jina lako? Nakumbuka best yako kifili walili-modify jina lake!
 

Safi,this one is saleable
 
Mama yake jana alipeleka birth certificate pale kituoni inayoonesha mwezi wa 5 ndo anatimiza miaka 17
 

Hii siyo SIASA
 
ndu wankubwa kuna tetesi kuwa simu aliyopigwa usiku ule na kusababisha maafa ilikuwa ni ya waziri fulani...mwenye jina aliweka hapa tumjue inawezekana yeye ndo source ya kifo kwani hata mie mke wangu akinambia anatembea na waziri tena waziri wa mzee wetu wa kichwa cha nazi na jinsi walivyowafuksa na ufisadi lazima nipatwe na brain concusion...
 
The substantial pretrial publicity of this case may prevent her from getting a fair trial.
The Public has formed an opinion, but opinion so formed can be overturned to the advantage of the accused.
Fair trial in this case is doubled-edged.
Lets wait and see how it goes....
 
Mara hii miaka imepungua?Duh, hapo najua 'hukumu' mwaka 2015....
 

Unatizama movies sana! Ulikuwepo mkuu au na wewe ulishiriki japo indirect? Unasema kuna mtu kutoka nairobi, duh, itabidi na wewe ukamatwe ukaulizwe maswali kituoni, how did you get all the infos and not report them? Au magazeti ya udaku hayo?
 
ya dunia hii ni mengi sana.....ila mwishowe yote ni ubatili
 

Huenda kuna mjeda anatengeneza mazingira, si unajua tena bado kabichi!!:shock:

Nitamuuliza WP mmoja pale oysterbay kujua kama siku hizi kuna rumande za VIP.
 
kitoto kimekomaa mpaka makwapa eti majeraha sehemu za siri?ovyo kabisa
 
Hii inamaanisha uchunguzi wa awali umeonekana kuna kesi ya mauaji! dear lord! hili si kulitegemea. . hata kama badae itaonekana hana hatia itanitisha hii! RIP kanumba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…