Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kwa kweli inauma sana,
na inarudisha nyuma tasinia kwani wazazi wengi hawatakuwa tayari kuwapeleka watoto wao ktk kujiendeleza ktk nyanja hii.
Hii ni kwa sababu ya kuogopa mapapa mtu yatakayo pelekea watoto kupotea na kujihusiha na makubwa kabla ya umri.

R.I.P The great, na makubwa ya LULU!
 


Hao ni vijana ambao nadhani walikuwa wamejawa na chuki dhidi ya Lulu kwa tuhuma za kumsababishia kifo na siyo kigezo cha mfumo dume.
 
mkuu pita maduka ya sinza uone tshirt za kanumba alfu 25,000 ,we luvyuuuuuu kanumba,na mengi tu wamejitahdi kuwahi kibiashara ila nkajiuliza familia zzinaitaji kupata gawiwo ama?
 
nikiwa kama mzazi na mshabiki wa sanaa nchini, sipingani na hoja zako. Ila kama ni kweli haya yapo, basi ujumbe muhimu umewafikia.
lyimo mbonsafo meku kanyi,naotombe
mkuu unaweza soma mwenyewe ama kusikiliza katika moja ya nukuu zake akinukuu amewanyanyua wengi nafurahi ametaja majina katik hayo yupo lulu,wema ,jeniffer sikumbuki na nani sikiliza clouds sasa katika hao wema,na lulu hao ni right off now,sijui jennifer kama amepona.....nkajiuliza sana tunaelekea wapi??lengo letu ni kuwasaidia .....,na si kuwatumia kama makahaba..nilishtuka katika list aliotaja ya kuwanyanyua waasanii sikusikia jina la mwanaume..ingawa sikutaka kujua zaidi
 

Ameeen...

Kama kweli Lulu ana miaka 17, Lahaula..!!! Wazazi wake wapelekwe jela moja kwa moja bila ya kesi.
 
Tayari DVD za mazishi yake zinauzwa barabarani
mkuu pita maduka ya sinza uone tshirt za kanumba alfu 25,000 ,we luvyuuuuuu kanumba,na mengi tu wamejitahdi kuwahi kibiashara ila nkajiuliza familia zzinaitaji kupata gawiwo ama?
 
naungana na wewe kanumba namchukulia kama mbakaji

aliwahi kutembea na mtoto wa brother wangu silyvia mtoto

akawa hasikii lolote toka kwa mzazi kanumba alivyofuatwa

kupewa onyo alijibu jeuri sasa yamemkuta anavuna alichopanda
afadhali yako mie alikuwa anatembea na jirani wangu ambae ndani amewekwa kama mke mtarajiwa na jamaa ana hela kweli sikujua anakitafuta nini kwa kanumba..akawa anamtumia mlinzi wangu kwenda kumuita mwisho nilimkimbiza ingawa niliishia nae miaka 4..nikiogopa uhusiano na jiran yangu..ni hatari sana sana.....nahisi zile pesa zilikuwa zikimsumbua na kufikiria wapi pa kuzipeleka ......,
 
si ni mimba yake mkuu???
Mimba yake ila alitembea nae mpaka kupata huo uja uzito (kama upo kweli) ndio mashaka. Kuna tetesi jitu kubwa la kuimba nalo limo humo. mama kanumba itabidi aweke vfaa vya Kanumba vizuri kwa ajili ya DNA. Wengi watatokea kudai wana mtoto na Kanumba kwa ajili ya kutaka mali. Mwingine tumesikia jana kanywa sumu akitaka kujiua kaokolewa kwa ajili ya Kifo cha Kanumba, subiri umsikie ayakapohojiwa chanzo cha kutaka kujiua.
 

Aiiiseeee yaani ilikuwa kama maigizo vile;

Tukio la msanii huyo kufikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka lilikuwa kama mchezo wa filamu baada ya polisi kufanya siri na hata kugombana na baadhi ya waandishi wa habari waliotaka kuingia katika chumba cha mahakama kufuatilia kesi hiyo.

Cheki :: IPPMEDIA
 
Nimebukua dikishenari yangu sijafanikiwa kuelewa ulichoandika, lakini ungeandika kiw
swahili nadhani ningelewa haraka.
hayo maneno yanamuumbua mwenyewe

Reast In Peace Mbakaji
 
Naamini alimwamini mungu na yesu kama mkombozi wake.

Kwa imani yake yawezekana amekombolewa.
Si wewe wala mimi tuwezao fumbua hilo fumbo!

R.I.P the great nimependa hii!
 
mimi alinishangaza hapa.......

TULIOSAPOTI MPAKA KITUO HIKI KUFIKIA HAPA KILIPO SOMA MAJINA HAPO JUU JINA LANGU LIPO HAPO,KUSEMA UKWELI INAPOKUJA MAMBO YA KUSAIDIA JAMII NAJITAIDI KUTOA NINACHOKUA NACHO MAANA HAPA HUKUMBUKA MANENO YA MWANDISHI ALBERT PINE..''
"What we do for ourselves dies with us. What we do for others and the world remains and is immortal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…