Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Sasa huo mtikisiko wa Ubongo ulikujakujaje, na huwa kawaida unasababishwa na nini?
Je hakuna dalili za kugongwa kichwani?...mbona bado maelezo ni vague?

REST IN PEACE KANUMBA STEVE!

na inavyo onekana hata kama angewahishwa muhimbili kupona ilikuwa ni ndoto,maana ukisoma wanasema hata kama hutakufa palepale unaweza kufa baada ya siku tatu.

wanasema ubongo ulishuka hadi karibu na uti wa mgongo,na inawezekana ubongo kushuka bila kutikiswa?
 
Lulu kasafishwa kwa 100% kama taarifa ndio hii......
Nilikuwa namuonea huruma ..ila kashikashi aliyo kwisha ipata ni adhabu tosha kujitia utu uzima
 
..........daima tutakukumbuka kwa burudani uliokuwa ukitupatia Kanumba(R.I.P).
 
Lulu kasafishwa kwa 100% kama taarifa ndio hii......
Nilikuwa namuonea huruma ..ila kashikashi aliyo kwisha ipata ni adhabu tosha kujitia utu uzima

si kweli mkuu

angalia hapa chini nini kinasababisha hiyo kitu

[h=3]Concussion Causes[/h]
A concussion can be caused by any significant blunt force trauma to the head such as a fall, a car accident, sports injury, or being struck on the head with an object.
 
Kwan dhehebu gan yeye? Ata ivo ni supastar hatakosa padiri! Kufa wewe usiyehudhuria jumuia,itakula kwako,teh
 
Hii sidhani kama ni taarifa rasmi
Maana haija shiba.....inaacha maswali mengi
 
Kama kweli Lulu alikuwa mpenzi wa Kanumba kwa muda mrefu ni vigumu sana kwa lulu kumuua Kanumba kwa sababu ya chembechembe za Mapenzi. Nikupemfano kama umeoa mkeo/mpenzi kila wiki waweza mpiga na wakati huohuo yeye ndiye anayekuandalia chakula lkn kwasababu ya chembechembe za mapenzi ni ngumu sana mkeo/mpenzi kufikiria kukufanyia jambo baya. Lulu anamaumivu makubwa sana moyoni ambayo kama hatutayaangalia vinginevyo anaweza hata kujiua
 
Kanumba aliokota jamii ya watu wasio wasomi.Watu wanaoshindwa
Kuangalia movie za kizungu kwa sababu hawaelewi.Mimi binafsi sijui
Hata title ya muvi yake yoyote,na yoyote ya kibongo.Nikijaribu
Kuangalia nashindwa,upuuzi mtupu na aibu.I can do better if I have to act.
Wanaompenda kwa usanii ni hao ambao shule yao haitoshi kuelewa dunia
Inaendaje,Kanumba ndi role modal wao,Mkombozi kwenye burudani.

This thread leaves a lot to be desired.
All over the world people act movies using their own local languages.
Na kama aliokota watu wakampenda, then he was a superstar kwa watu wake!
Kupendwa na watu sio lazima uwe na Movie za Kiingereza, hata za kihindi, Yoruba and the like.
What is the matter is the audience.
Kanumba aliweza kuwin his audience.
Ndio wanaomlilia.
What is a big deal?
Mkuu, pisha njia..... waache washariki wa Kanumba wamlilie, wewe nenda kazini uendelee na kazi.
charity began at home, naona you can not come to terms with it!!!!!!
We have seen so many movies, but for a country like Tanzania, Kanumba tried his level best.
I am sure you did not expect to see the James Bond, Michael Douglas, Dan DeVito in Tanzania.....??? Those are the Americans!
Hata mtoto mdogo alianza kwa kutambaaa.......wakati wakina Kanumba wanajitahidi (hao unaosema kwamba huwezi kuangalia cimena zao ni aibu), then walioanza sikiu nyingu kama ndio Hollywood wanatembea:yell:
 
Angalau kwa mara ya kwanza leo nimesoma watu wakiandika upande wa pili wa Kanumba. Manake habari ilikuwa Kanumba Kanumba Kanumba the great.

Lakini pia leo ntashuhudia watumishi wa Mungu ambao hugoma kuendesha ibada za "wadhambi" kama walivyogoma kuendesha ibada ya marehemu rafiki yangu, wakiendesha ibada ya kumwombea marehemu aliyeRIP akifanya ngono na mtoto mdogo.

Chezeya Tanzania yangu??
 
R.I.P Kanumba!wote ndiyo safari yawote.Ila Rais kahairisha safari ya nje ya kikazi kwa sababu ya kujumuika na waombolezaji??!!!Msiba mkubwa wa Taifa!!
 
Ni kipimo kizuri sana kuujua unafiki wa kidini. wanatafuta mistari kwenye bible. utasikia ni nani ajuaye, pengine kanumba alitubu dakika ya mwisho? Nasubiri ibada/misa ya mazishi.
 
Lulu kasafishwa kwa 100% kama taarifa ndio hii......
Amesafishwa kivipi? Mimi naona kama vile ndio inaweza 'kumkaanga' Lulu kwa sababu sasa taarifa hii inataka ufanywe uchunguzi kwa nini hiyo concussion ilitokea:
The brain is surrounded by cerebrospinal fluid, one of the functions of which is to protect it from light trauma, but more severe impacts or the forces associated with rapid acceleration may not be absorbed by this cushion.[SUP][10][/SUP] Concussion may be caused by impact forces, in which the head strikes or is struck by something, or impulsive forces, in which the head moves without itself being subject to blunt trauma (for example, when the chest hits something and the head snaps forward).[SUP][5][/SUP]
 
Hapo itachukulia "A Fall" alilegea akadondoka! Swali:Kwa mujibu wa kenyella na H.mdee mtuhumiwa alikua na michubuko/majeraa je yametokana na nini? Kwa mujibu wa seth(mdogo wa kanumba) lulu alitoka chumbani uchi na alikua hana majeraha lakini kulikua na mtafaruku,kuna kesi ya kujibu hapa,dogo hatoki hapa,jela lazima akae hata nyundo tano hivi.
 
Inawezekana hiyo concussion ikatokea mtu ukiteleza na kuangukia kisogo!!
 
leo ndo mtajua watz wangapi hawana kazi ya kufanya...na pi wenye kazi wasivyozipenda
 
Back
Top Bottom