Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Bado haijaniingia akilini iwaje Jeshi la Polisi lifanye hadaa kwa tukio la kupelekwa mahakamani msaani Lulu?

Waandishi wengi wa habari mpaka sasa hawajui mantiki ya Jeshi la Polisi kufanya usiri huo. Kwanza waliambiwa mahakama ingekuwa Kinondoni na wengine walitangulia huko, kisha habari zikaja kuwa mahakama ni Kisutu!!!

Alipofika hakukaa mahabusu kama ilivyo ada bali alipanda moja kwa moja kizimbani na kusomewa shitaka lake la mauaji.

Baada ya kusomewa na kutakiwa kutojibu lolote aliondoshwa kwa usiri mkubwa sana na gari lililo full tinted!!!!!

Nataumaini mahabusu gereza Segerea hakutakuwa na kama haya ya polisi.


Maswali ya msingi ya kujiuliza,

1.0 Nani yupo nyuma ya Lulu katika yote hayo niyoyaeleza hapo juu?

2.0 Ni ustaa tu?

3.0 Ni kwa usalama wake tu yamepelekea yote hayo?

4.0 Au ni kunuonea huruma kutokana na mkasa uliompata? Na ikiwa hivyo serikali imepata wapi huruma hiyo?


Nawakilisha

haikuingii akilini?! Itaingia tu 1day!
Yote ulotoa ni Majibu.
Wacha wakomeshwe,mapaparaz wamezid,watu wanauchu sana na Lulu,.me nataman aachiwe muongee ad ndimi ziwachomoke kwa kuishiwa mate! Ata ungekuwa wew ungekubali kuwa umeua(though i biliv,hakuua hata kwa makusud)hvyo n haki yake kujitetea.na Polis walifanya vema kumficha,wapambe wengi walitaka kuuza gazet! Na kesi ijayo,mtadanganywa kisutu,af atapelekwa mahakama ya roryaaa Musoma,mumfuate ungo!...heheh
 
Hiyo si ni gharama ya kujenga nyuma nzima kuke mabwepande?
 
Hapo itachukulia "A Fall" alilegea akadondoka! Swali:Kwa mujibu wa kenyella na H.mdee mtuhumiwa alikua na michubuko/majeraa je yametokana na nini? Kwa mujibu wa seth(mdogo wa kanumba) lulu alitoka chumbani uchi na alikua hana majeraha lakini kulikua na mtafaruku,kuna kesi ya kujibu hapa,dogo hatoki hapa,jela lazima akae hata nyundo tano hivi.
kama alitoka chumbani uchi basi hakumuua yeye. muuaji angevaa nguo zake akatokomea. je ni vipi kama marehemu alifia juu na lulu akamsukuma chini na kukimbia na kuogopa hata kuvalia nguo humo chumbani? Hivi wewe unaweza ukajifungia chumbani na marehemu, si utatoka mbio mpaka watu washangae.
 
nimeona 1.55mil?...kama ndivyo sioni gharama ya kutisha hapo...hata raia wengine hufikia kiasi hicho...!
 
Nawewe pia vaa stara ya moyo uache kuhukumu binadamu wenzio. Unamuhukumu huyu binti kwa kigezo gani?
 
lulu anasoma Uganda University hapa bongo
chuo kipo maeneo ya mbagala
na kwenda kwake chuo kila day
ni kwa taxi mazee,
katoto kale ni mwisho wa yote.

Hapo ndipo linapokuja suala la uaminifu wa taasisi zetu zinazotoa vyeti vya kuzaliwa.

Ni simple tu tukitaka kujua ukweli, alikosoma alirejista vipi? Halafu kale katoto kaongo nasikia hata four 4 hakajamaliza ila kalidanganya eti kamemaliza!!!!!
 
komaa mkuu unaweza ukaambulia
manake mfadhili mkuu keshatangulia
linda maslahi ya wajuuu waje kukusugua mgongoni
wakati wa kuoga mkuu wangu Masanilo.

Cheti cha kuzaliwa ndicho kithibitisho! Lulu is only 17 Case closed.
 
kale katoto kubeba mimba
labda kwa kushikiwa mtutu,
tena alikuwa anasoma asingekubali kuharibu masomo yake.
 
Siyo Ray utamsikia wakati wa 'cross examination" Kesi iatakapokuwa inazungumzwa.
hata huyu binti ana gari? Dah lazima nipambane mwaka huu na mm nivute kasuzuki.....habari za kiitelijensia zinasema huyo mtu ni vicent kigosi.
 
Nawewe pia vaa stara ya moyo uache kuhukumu binadamu wenzio. Unamuhukumu huyu binti kwa kigezo gani?

Wapi alipohukumiwa?

Jee, hujui kama kafikishwa mahakamani kwa tuhuma za kifo cha Kanumba?

Ni kipi ulichokisoma hapo ambacho nimemhukumu Lulu? au ambacho ni cha kumzulia, si yeye si Kanumba, wote walikuwa hawana hijab ya moyoni. Kama hujui kusoma vizuri ni bora ungeufyata.
 
labda watafanya kolabo na Kajala kutoa kitu cha "Prison Break: Segerea "
 
do hii brain concussion imekuwa issue watz bwana hahahaaaa. .
Hapo kwenye miaka nimechoka no more comments kwa kweli mtoto ana mengi huyu! maisha yake ni ya wenye umri more than 30!
 
ni kidogo sana,
Kanumba kaacha mshiko wa kutosha,
ilitakiwa liwe na gharama kubwa zaidi.

R.I.P. Kanumba, hatutakuona tena.
 
komaa mkuu unaweza ukaambulia
manake mfadhili mkuu keshatangulia
linda maslahi ya wajuuu waje kukusugua mgongoni
wakati wa kuoga mkuu wangu Masanilo.
Mfadhili Mkuu!!!?? Unajua aliyemfanyia party ya kuzaliwa? unamjua aliyemnunulia gari? unamjua anayemsomesha? unaymjua aliyemjengea nyumba?
 
Back
Top Bottom