Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata angekuwa Lulu ndo kafa na kanumba anatendewa ndivyo sivyo watu wangehojiWana jf tumieni akili kidogo na muache kumtupia lawama sana huyo lulu.. mngesema vipi km lulu ndio angekufa kwenye lile tukio kanumba akabaki hai???? Hiyo ni ajali km ilivyo ajali zingine waacheni upelelezi ukamilike kila kiti kitajulikana.. kwanza huyo kanumba mwenyew hakuwa desent as he pretended to be mbele ya jamii,, alidai hanywi pombe wala hatumii kilevi kifo kikamuumbua kafa kwa ulevi, hatembei na lulu na kafa akiwa na lulu tena kwenye wivu wa mapenzi,,, hii dunia wandugu tunapaswa kushukuru na kumtanguliza mungu atuepushe na mabalaa sio kujidai wajuaji na wasemaji wazuri wa mikasa ya watu
mbona tumekosa vya kuandika au kuhoji? tuna hoji hadi gharama za makaburri? inasikitisha sana
ndugu yangu kwenye self defense hata ukiua is ok. tena kwa lulu msichana mdogo mwenye umbo dogo pengine nusu ya Kanumba(mwanaume) ndio usiseme kabisa na kitendo cha yeye kuvutwa kinguvu na kufungiwa chumbani ndio kabisaaa. watu watashangaa majaji watakavyoamua hii kesi maana waTz wengi ni washabiki tu. sidhani hata kama wanazifahamu hizo sheria. wanaangalia nini roho inapenda basi wanatetea tu.YOU ARE JOKING RIGHT?
Defence hiyo haisimami kwenye kesi kama hii ya kumtoa mtu roho kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.
Ingesimama kwenye kesi za ubakaji and the like.
Thank God wakili wa Lulu anajua line of defence ya kumtetea angalau kumnasua na adhabu kali ( mitigation) au hata kuweka shaka kwenye kesi ya prosecution.
Ila sijui kama kuna aliyesema au kutujuza Lulu kashtakiwa na kosa gani maana hili nalo ni muhimu kujua.
Mmoja wa jambazi lilioiba fedha Ubungo NBC ni mwanamke alivaa hijabu na hiyo buibui so stara haiusian ni matendo ,ungemwambia aache tabia za kitoto lkn akitoka jela atakua above 25 so atakua ashapevuka vizuri.
Wapi alipohukumiwa?
Jee, hujui kama kafikishwa mahakamani kwa tuhuma za kifo cha Kanumba?
Ni kipi ulichokisoma hapo ambacho nimemhukumu Lulu? au ambacho ni cha kumzulia, si yeye si Kanumba, wote walikuwa hawana hijab ya moyoni. Kama hujui kusoma vizuri ni bora ungeuf
Toa boriti ndani ya jicho lako kwanza kabla hujaona kibanzi kwa mwenzio.
Mwl Nyerere aliwahi kusema Darisalama ni jiji la Umbeya sana.....
Hii habari haina mashiko kwanza kaburi halijajengewa bado, kazi hiyo hufanywa baada ya mazishi hususani Arobaini yake au kumbukumbu ya mwaka
kila mmoja atawajibika kwa matendo yake.