Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Naamini alimwamini mungu na yesu kama mkombozi wake.

Kwa imani yake yawezekana amekombolewa.
Si wewe wala mimi tuwezao fumbua hilo fumbo!

R.I.P the great nimependa hii!

Si kila asemaye bwana,bwana atauona ufalme wa mbinguni!! Huyo mungu aliyemuamini ndiyo anaruhusu kwenye maandiko kunywa Jack Daniel na ku do bila ya ndoa tena na katoto kadogo kahuni(ngono machine)..Sidhani kama hata aliweza kusema mungu nisamehe,kabla ya kukata roho maana kifo kilikuwa ghafla...Biblia inasema mshahara wa dhambi ni mauti,jamaa kafia kwenye dhambi,its too bad !!
 
sijaelewa hapa mada kuu...na mada ndogo...i will be back in a short while...
 
Mhhh! Mi napita tu sina uzoefu na hayo mambo endeleeni tuweze kuyajua zaidi
hakuna mwenye uelewa ila ni kuwa na kiu ya kujua mambo....jambo la muhimu ni kutomhukumu mtu ni kufanya utafiti zaidi na kuibua maswali yenye kuleta uelewano wa siku zetu duniani...
 
Hauruhusiwi kuharibu makusudi.Ila baibo says that ukitubu dakika ya mwisho hata kama ulikuwa mdhambi unasamehewa.Mfano mwizi aliyeangikwa na Yesu msalabani..

Tusidanganye hapa, msije mkafikiri kutubu kwa kuzuga tu kunaweza kukufutia dhambi..eti kwa sababu nakufa ngoja nitubu..never,mungu anaona kila kitu nje na ndani yako,kama toba yako ni kwa sababu tu unataka kufa,moyo wako hautakuwa umetubu,kabla hata haujaanza kuomba toba mungu ameshakusoma na anajua kama unaomba toba kweli au la..Nimeona niongee hili maana kuna watu wanafikiri ni kirahisi tu kwa kusema maneno mengi huku dhamira ikiwasuta!!
 
Kanumba is innocent kwa hili kabisa.Siamini kama ndiye aliye mbkr lulu,Lulu baada ya kupata umaarufu,alisha anza kudu kimpango wake,Kanumba kilichompata ni tamaa ambazo mwanaume yeyote inaweza kumpata.Tumeona wanaume wana do hadi na watoto wa miaka 14 sembuse 17?
Na kuna mabinti wana 20 na hawaja wahi ku du. Wakumlaumu ni Lulu na malezi mabovu aliyokuwa nayo.Mtoto mdogo umeshajua wanaume na anakiri kabisa alipigiwa simu na mpenzi wake mwingine.
Uzuri wake mbele ya macho ya wanaume,autumie vizuri.
 
Bado haijaniingia akilini iwaje Jeshi la Polisi lifanye hadaa kwa tukio la kupelekwa mahakamani msaani Lulu?

Waandishi wengi wa habari mpaka sasa hawajui mantiki ya Jeshi la Polisi kufanya usiri huo. Kwanza waliambiwa mahakama ingekuwa Kinondoni na wengine walitangulia huko, kisha habari zikaja kuwa mahakama ni Kisutu!!!

Alipofika hakukaa mahabusu kama ilivyo ada bali alipanda moja kwa moja kizimbani na kusomewa shitaka lake la mauaji.

Baada ya kusomewa na kutakiwa kutojibu lolote aliondoshwa kwa usiri mkubwa sana na gari lililo full tinted!!!!!

Nataumaini mahabusu gereza Segerea hakutakuwa na kama haya ya polisi.


Maswali ya msingi ya kujiuliza,

1.0 Nani yupo nyuma ya Lulu katika yote hayo niyoyaeleza hapo juu?

2.0 Ni ustaa tu?

3.0 Ni kwa usalama wake tu yamepelekea yote hayo?

4.0 Au ni kunuonea huruma kutokana na mkasa uliompata? Na ikiwa hivyo serikali imepata wapi huruma hiyo?


Nawakilisha





Mkuu hicho unachoongea mbona kina majibu hata humuhumu jf. Jiulize kwanza Lulu ni nani hadi afunguliwe threads kibao (ikiwemo hii yako) humu jf ? Ukipata jibu (kama kweli ni GT) utakuwa umeelewa ni kwa nini polisi / jamii inambeba kiivyo Eliza.
 
Sorry, but as you can notice some people append the title “The Great” to the late Kanumba’s name when addressing him. I realize it stems from the influence of his blog where he called himself thus for his commercial maneuver. (Kanumba The Great)

Indeed his social fame cannot be undermined and his contribution to different fields of his interest is indisputable but as far as I am concerned it is very unfortunate that his life style and the affairs surrounding his death impart a significant blind spot to his profile.
  1. How does somebody who kills himself while fighting for a mere harlot merit being called "The Great" soon after his death?
  2. Was Lulu REALLY worth fighting for?
  3. Does his sexual morality add anything to his greatness?
  4. Should the youth tomorrow copy his life style to become "great" too?

Otherwise how does one merit this title "the Great"?
 
yetu maskio. tutamjua tu huyo kigogo hata kama hatotajwa mahakamani!
 
kabla hata ya kifo cha kanumba aliyekua anafahamika kumuweka mjin lulu ni..
AMOS MAKALA..
jamaa ndo kamjengea nyumba huko mbezi kimara,na hata bongo muvi walipoenda dodoma kucheza mech na wabunge..LULU alilala na AMOS MAKALA,na WEMA SEPETU hakuonekana uwanjani alikua Na CAPTAIN KOMBA..
 
Nimeangalia hiyo picha mpaka nimevuta naona pembe nne na sio tano??
 
ana wakati mgumu sana huyu mtoto, naamini hakumwuua kanumba na hata kama alikufa kwa ajili yake lulu hakukusudia.
Mungu ana sababu ya kila kinachotokea kwenye maisha yetu naamini na hili la lulu alilijua.......na atakua mtetezi wake
I totally agree with you mama D. sioni mazingira ya huyu mtoto kudhamiria. Yawezekana kabisa hajahusika kwa namna yeyote, labda ni mazingira tu yamemfanya ahusishwe. sie wote tunayafanya aliyoyafanya huyu binti na kanumba. tunagombana sana na mengineyo. Nadhani tunapaswa tuwaonee huruma kanumba na hata huyu binti kwa yaliyotokea. yangeweza kumkuta yeyote kwani sote tunaishi hivyohivyo. kama nikujifunza hakika wote tunalakujifunza hapa. Maisha ya mmoja yameshahathirika, hakuna sababu ya kuona na mwingine ameharibikiwa ndo tufurahi. I will be so happy kuona haki imetendeka. kama alihusika, basi sheria utachukua nafasi yake, na kama hajahusika nadhani apewe haki yake yaani kuwa free. toucher aliyoipata ni kubwa. nisingependa binadam yeyote kukubwa na yaliyompata huyu binti na yaliyompata kanumba.
 
Tusidanganye hapa, msije mkafikiri kutubu kwa kuzuga tu kunaweza kukufutia dhambi..eti kwa sababu nakufa ngoja nitubu..never,mungu anaona kila kitu nje na ndani yako,kama toba yako ni kwa sababu tu unataka kufa,moyo wako hautakuwa umetubu,kabla hata haujaanza kuomba toba mungu ameshakusoma na anajua kama unaomba toba kweli au la..Nimeona niongee hili maana kuna watu wanafikiri ni kirahisi tu kwa kusema maneno mengi huku dhamira ikiwasuta!!
HIVI unacheza na kufa mkuu?Sidhani kama mtu akiwa anajijua anaaga halafu akaendelea kuleta utani.Ni lazima awe siriaz na kujua klila kitu.Unakufa hafu unaomba toba ya uongo?sijakulewa hii toba ya uongo una maanisha nini..
 
Nimeshtuka sana ...kumbe ccm kawaida yenu kufanya kila kitu siasa.......Kama mlifikiri kupata credits kwa rais kumpa mbakaji kanumba million 10 na kugharamia msiba....mmepotea njia...kanumba kashazikwaaa na huo umaarufu umegeuka kituko.....

Kanumba imedhibitika kuwa alikuwa Anampiga bila huruma Yule binti kwa ubapa wa panga......Kama hangekufa ....na taarifa hii ingefikishwa polisi kwa haki ...Kanumba angejeuka babu seya kabisa......you don't know what would be next labda kanumba angemuuwa kabisa lulu...kamjeruhi kwa panga Hadi sehemu zasiri...yet rais na baraza lotela mawaziri wako pale.....

Nadhani nihaki Chadema kutoa Msaada kwa wanyonge wasio na kimbilio.....

Mawazo potofu

kwani mwanachama wa chama fulani akihudhuria msibani ndio kunafanya msiba kuendeshwa kisiasa?

were you there hadi unasema alipigwa na mapanga na kuumizwa? unatofauti gani na wanaosema alimsukuma marehemu?

Ni Kawaida mtu anapohukumia kujitetea tena pale mmoja wa wahusika anapokuwa amefariki,

hauna tofauti na wanaomhukumu lulu kabla ya uchunguzi kukamilika,

tuache uchunguzi ukamilike tutajua mbichi na mbivu

tukomae kisiasa, sio kila kitu tukilazimishe kiwe ki Siasa.
 
Back
Top Bottom