Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tuna tabia ya kuharalisha mambo inapotokea muhusika ni kipenzi chetu na amekumbwa na mauti....ki- ukweli Marehemu Kanumba alikuwa mbakaji (ni binti wa miaka 17)!!
Baba wa Lulu anasema anamfahamu marehemu Kanumba kama Mwalimu...kumbe alikuwa ana-mbaka bintie...lol
Mzee wa Lulu aone aibu mtoto kamharibikia harafu anashangaa nini? ina maana hukujua mienendo ya binti yako? Saa sita usiku alikuwa anafundishwa nini na huyo Mwalimu? Mzee Lulu, eti ulidhani mwalimu?? aibu kubwa.
Wazazi mnawatenga watoto kiana harafu baadaye mnajifanya hamnazo, picha za ngono kwenye mtandao hujaziona za mwanao, hujui nini? Kwenu mtoto under 18 anapiga picha za uchi anaweka kwa mtandao, harafu unashangaa kuwa na mabwana?? acha kuzuga heri ukae kimya unaweza kuonekana unaakili kidogo, mtoto ni mchafu sana ndo maana yanamkuta machafu, amini usiami;
Nawewe pia vaa stara ya moyo uache kuhukumu binadamu wenzio. Unamuhukumu huyu binti kwa kigezo gani?
Hatumlaumu Kanumba pekee.....ila nae ana nafasi ya kulaumiwa, anamjua mtoto yule tokea akiwa cheke chea, pengine na umri wake wa ki-ukweli...Mwalimu kula mwanafunzi wake ni KOSA KUBWA.... Wazazi wanajua mwanao anaenda fundishwa sanaa kumbe KULIWA......
Aaah haka katoto inaelekea kalikuwa kanatoroka Sunday school,yaani kalianza hizomambo kabla hata ya kujua kusoma!!!Ina maana katika umri huu walishaanza au wako katika maigizo ?
Watanzania tuna tabia ya kuharalisha mambo inapotokea muhusika ni kipenzi chetu na amekumbwa na mauti....ki- ukweli Marehemu Kanumba alikuwa mbakaji (ni binti wa miaka 17)!!
Baba wa Lulu anasema anamfahamu marehemu Kanumba kama Mwalimu...kumbe alikuwa ana-mbaka bintie...lol
![]()
Lakini kwa picha hii; inaonyesha kama Baba na Mwanaye.
MAREHEMU KANUMBA ALIKUWA ANAMBAKA HUYU BINTI. MAREHEMU ANASTAHILI KUFUNGULIWA KESI YA UBAKAJI. na AHUKUMIWE MIAKA 30 JELA.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Mmh!! Hakika huyo baba ni mwongo kabisa. Inamaana alikuwa hajui siku zote hizo kinachoendelea wakati mtoto wake amepamba magazeti kwa habari chafu nyingi!!! Si kweli tena wao (wazazi) ndio wamemlea mtoto wao vibaya. Kwanza mtoto mdogo kuanza kuigiza wakati anatakiwa aende shule si busara kabisa. Ndiyo maana mara nyingi wanaoigiza ni watu wazima. Mbona huyo Kanumba alimaliza shule ndio akaanza kuigiza!!!
Mzee wa Lulu aone aibu mtoto kamharibikia harafu anashangaa nini? ina maana hukujua mienendo ya binti yako? Saa sita usiku alikuwa anafundishwa nini na huyo Mwalimu? Mzee Lulu, eti ulidhani mwalimu?? aibu kubwa.
Wazazi mnawatenga watoto kiana harafu baadaye mnajifanya hamnazo, picha za ngono kwenye mtandao hujaziona za mwanao, hujui nini? Kwenu mtoto under 18 anapiga picha za uchi anaweka kwa mtandao, harafu unashangaa kuwa na mabwana?? acha kuzuga heri ukae kimya unaweza kuonekana unaakili kidogo, mtoto ni mchafu sana ndo maana yanamkuta machafu, amini usiami;
![]()
Mapenzi ni kati ya Wawili Wapendanao, tusiyaingilie...??
Mila zetu zinasemaje kuhusu Ndoa ? Au, Serikali yetu inasemaje kuhusu Ndoa?
Watanzania tuna tabia ya kuharalisha mambo inapotokea muhusika ni kipenzi chetu na amekumbwa na mauti....ki- ukweli Marehemu Kanumba alikuwa mbakaji (ni binti wa miaka 17)!!
Baba wa Lulu anasema anamfahamu marehemu Kanumba kama Mwalimu...kumbe alikuwa ana-mbaka bintie...lol
Naamini kati ya watanzania wenye matatizo ya akili huyu mzee anayejiita baba yake lulu ni kiongozi wao..kifupi mzee ni chizii.
1- alikuwa wapi wakati mwanae anadhalilisha familia yake kwenye magazeti kwa matukio ya aibu kiasi wengi tuliamini hana wazazi?
2- alikuwa wapi kumuachia mwane afanye tafrija kubwa ya kutimiza miaka 18 hapo mwaka jana ilihali akijua kuwa mwanae ana miaka 16 tu?
3- alikuwa wapi kuangalia mwanae anaendesha gari la kwake mwenyewe wakati anajua huyo ni mtoto na hajatimiza umri wa miaka 18 inayomruhusu kuajiriwa na kulipwa pesa aweze kununua gari kwa pesa yake?
4- alikuwa wapi anapomwona mwanaye kwenye tv akitangaza kuwa kafikisha miaka 18 na anajenga nyumba inayokaribia kuisha huko kimara?
5- alikuwa wapi anaposikia mwanae anaenda club na analewa pombe chakari plus scandal za ngono wakati yupo firm 2-4?
Nadhani haki ya kwanza anayotakiwa kuiona inatendeka ni yeye kuhukumiwa kwa poor parenting aliyomlea mwanae kiasi cha kuishia "kufunzwa na ulimwengu"...naomba haki itendeke na ianze na huyu mzee wa kichaga asiyejua kulea kazi kulewa...what a irresponsible stipidy n poor daddy he is???