Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Wabongo ni washamba sana, mnaishi kwa kudhania kama mgambo. Mijitu haijawahi kuona cheti cha kuzaliwa inakomaa kuwa imeona interview amesema ana 18. The same interview alisema hana boyfriend na kakutwa kwa SK usiku wa manane. Msizoee hear say kama vicheche, muwe mnajishugulisha kutafuta evidence sio kukaa tu nyuma ya keyboard. Ndo maana Lusinde alisema mnatishia kujamba ilhali mnaharisha

Lakini ni ukweli kuwa aliongea hivyo kwenye EATV kipindi cha Mkasi kuwa ana miaka 18, kwanini unasema watu wanatunga? The words came from the horse's mouth, why should people doubt??
 
jamani waandish wa hbr acheni udaku make hamuwez kucheza na akili zetu km watoto wa nursery.yn nimeboreka eti siri nzito. hvi kuna baadh ya wanahabari hawajasonra fani hyo. nosencr
 
Hivi siku unayokuja kujua kuwa binti yako ni mjamzito ni wewe wa kulaumiwa,mtoto mwenyewe,ama nani tena...

unalinganisha vitu viwili tofauti, maovu ya Lulu yamekuwa yakiandikwa saana magazetini na picha za machafu anayofanya pia zimeonyeshwa ambapo kwa hakika wazazi wake waliziona, walikuwa wapi kumkanya wakati huo halafu now wanaibuka kumtetea? wao ndo wa kulaumiwa kwa tabia mbaya ya mtoto, alipokuwa anawapelekea hela walizichekelea bila kujua au kujali anazitoa kwa masugar daddy au kwa nani.......
 
Natamani ningekuwa hakimu, ningetoa hukumu hii,

Elizabeth Michael aka Lulu.. mahakama imekuachia huru kwa masharti urudi shule ukaendelee na elimu pia utakuwa ukipewa counselling kuhakikisha kwamba tabia yako inabadilika, na tutafatilia mwenendo wako.

Kamata Wazazi wake wote fungulia mashtaka, wazazi wa namna hii ndo wanaosababisha ongezeko la watoto mtaani, na iwe fundisho kwa wazazi wanaofanya watoto wao vitega uchumi

Shreak wewe una akili sana........ mtoto Lulu ni wa kuachiwa huru tu ila wazazi wake ndo wakushtakiwa kwa kosa la malezi mabaya ya mtoto wao.
 
Lulu anasahili kufungwa japo 5 years, akafunzwe jela maana wazazi wake walishindwa kumlea. eti baba yake bila aibu anasema "Lulu alipokua anatangaza ITV kipindi cha watoto walifurahi sana na wakaona at least mtoto wao ana kipaji fulani. Tatizo likaanza pale Lulu alipoingia kwenye maigizo, waliona kabisa kuwa mtoto wao anaenda kubaya"!!!! mbona hawakuchukua hatua mapema. Mama anadai eti Lulu alikua na maendeleo mazuri sana shule, lakini alipoingia kwenye maigizo akashuka sana kiwango. Wewe kama mzazi ulichukua hatua gani? uliona ni sawa abaki kwenye maigizo! wanadai Lulu kamaliza form IV, eti kasoma St. Mary's. Hakufika huko Lulu. aliishia form II tena shule moja karibu na Rombo hotel, nimesahau jina. akafukuzwa sababu ya tabia, wakampeleka St. Mary's akakataliwa, ndio akaishia hapo, akabaki kua chakula cha vigogo na waigizaji wenzie.
leo baba na mama kumbe wapo ndio wanaropoka bila mipangilio. kwa nini hawakumsaidia Lulu wakati alipohitaji kusaidiwa, kurekebishwa kabla mambo hayajawa mabaya. Kweli kulea mimba si kazi, kazi kulea mwana.
 
Mama Ngina, kulea mtoto mzazi peke yako sio kigezo cha kutolea itakiwavyo. Nimelea watoto wakike peke yangu na wote wako chuo kikuu and doing very well. Mama Lulu naona alijisahau. nahisi Lulu ni mtoto pekee. NIna wasiwasi na elimu ya mama yake pia. Alipaswa amkataze Lulu toka mwanzo kuhusu kuingia kwenye usanii, ajali masomo yake, maana maigizo yapo hayaendi, popote. Huyu mtoto amekua gumzo kwenye magazeti, umeshawahi kusikia huyu mama hata siku moja akiongea. Hata Lulu juzi hapa alipotangaza ana miaka 18, kwanini huyu mama hakukanusha na kusema mtoto wake ni mdogo? msimlaumu K kwa sababu Lulu ndio kadanganya umri ili abebe mibaba, wengine babu zake kabisa. Huyu mama yake hana adabu hata kidogo na hawezi kulea mtoto. Yeye na mzazi mwenzie wamechangi sana kuharibika kwa huyu mtoto.

Huyu mzee amekurupuka sana , tena ana sisitiza kuwa mwanae ana miaka 16 ila on 17th April ndo atatimiza 17.

Yote haya ni matatizo ya kuwaachia kina mama walee watoto peke yao, mwenyewe amesema alizaa na mamake Lulu ila hawakuwahi kuishi pamoja. Kwani hata kama hawakuishi pamoja, si angekuwa namuongoza binti yake? mbona alisema Lulu alilikuwa akiwasiliana naye na kwanini hakuwa anamkanya mtoto wake?
Halafu anadai eti anataka kuonana na JK ili aweze kuongea naye ........na kama mwanae asingepata hilo tatizo lini angeeomba kuonana na JK?
 
Inabidi na IPP media ianzishe gazeti la udaku, naona wanatamani sana.
 
huyu mzee naye ametokea kwenye pori gani? usikute ndiyo walewale wanaogawa mimba kwa mabinti kama dozi ya malaria na kuwatelekeza
 
Haya hayaaaa... Siiiiirii... Imefichukaaa! Eti,kwenye gazeti moja la Makorokocho!
Yule Mwigizaji wa Nigeria Ramsey Noah aliyeshiriki kwenye Filamu ya Kanumba known as Devil Kingdom anahusishwa na Kifo cha Kanumba,Kufungwa kwa Kajala na Lulu.
Ni hivi.. RAMSEY alipokuja bongo ku act movie hiyo alipata chance ya kupiga picha na Kajala..ona sasa Kajala anatumikia kifungo kwa kutakatisha fedha halali. Lulu naye alipata nafasi ya kupiga naye picha... Ona sasa yupo rock up pia.
Kanumba kaigiza naye...ona sasa amededi. Ina maana hata hao Kajala na Lulu wangeigiza naye huenda tusingekuwa nao mpaka sasa!
Je,RAMSEY tumhusishe na kitu cha tunguli?? Kazi kwenu.
 
Peleka ii kitu chit chat..af habari zimekaa kikorokocho..what happened with those3,has happened,and only God knows why!
 
Haya hayaaaa... Siiiiirii... Imefichukaaa! Eti,kwenye gazeti moja la Makorokocho!
Yule Mwigizaji wa Nigeria Ramsey Noah aliyeshiriki kwenye Filamu ya Kanumba known as Devil Kingdom anahusishwa na Kifo cha Kanumba,Kufungwa kwa Kajala na Lulu.
Ni hivi.. RAMSEY alipokuja bongo ku act movie hiyo alipata chance ya kupiga picha na Kajala..ona sasa Kajala anatumikia kifungo kwa kutakatisha fedha halali. Lulu naye alipata nafasi ya kupiga naye picha... Ona sasa yupo rock up pia.
Kanumba kaigiza naye...ona sasa amededi. Ina maana hata hao Kajala na Lulu wangeigiza naye huenda tusingekuwa nao mpaka sasa!
Je,RAMSEY tumhusishe na kitu cha tunguli?? Kazi kwenu.

kumbeeeee!!!!
 
Naamini kati ya watanzania wenye matatizo ya akili huyu mzee anayejiita baba yake lulu ni kiongozi wao..kifupi mzee ni chizii.

1- alikuwa wapi wakati mwanae anadhalilisha familia yake kwenye magazeti kwa matukio ya aibu kiasi wengi tuliamini hana wazazi?

2- alikuwa wapi kumuachia mwane afanye tafrija kubwa ya kutimiza miaka 18 hapo mwaka jana ilihali akijua kuwa mwanae ana miaka 16 tu?

3- alikuwa wapi kuangalia mwanae anaendesha gari la kwake mwenyewe wakati anajua huyo ni mtoto na hajatimiza umri wa miaka 18 inayomruhusu kuajiriwa na kulipwa pesa aweze kununua gari kwa pesa yake?

4- alikuwa wapi anapomwona mwanaye kwenye tv akitangaza kuwa kafikisha miaka 18 na anajenga nyumba inayokaribia kuisha huko kimara?

5- alikuwa wapi anaposikia mwanae anaenda club na analewa pombe chakari plus scandal za ngono wakati yupo firm 2-4?

Nadhani haki ya kwanza anayotakiwa kuiona inatendeka ni yeye kuhukumiwa kwa poor parenting aliyomlea mwanae kiasi cha kuishia "kufunzwa na ulimwengu"...naomba haki itendeke na ianze na huyu mzee wa kichaga asiyejua kulea kazi kulewa...what a irresponsible stipidy n poor daddy he is???

Una uhakika gani kwamba alikuwa hamkanyi mtoto wake? Au ulitaka awe anaita vyombo vya habari kutangaza anavyomkanya? Anyway hiyo siyo issue, issue ni kwamba watu wanatoa conclusions kwamba Lulu amemuua Kanumba, na hilo ndo linalopingwa.
 
maana ya hii habari ni kwamba Ramsey alipokuja nchini alikutana na binadamu wa3 tu!
Labda wengine waliingia kwenye mahandaki kujificha, wakihofia kukumbana na ziraili...huh!
 
...hizi stori haziishi tu. Nitatoa "tuzo" kwa mtunzi mzuri.
 
Lulu mtamu na kinachowashangaza wanaume wengi waliompitia ni utundu wake kwa umri ule!!!sishangai marehemu japo alikuwa anafagiliwa na mademu wengi lakini akaamua kupark kwa lulu!!........mjanja wangu mmoja aliuziwa huyu mtoto akaenda nae kula maisha China,game aliyopewa jamaa akataka kutangaza ndoa na akakiri pesa aliyotumia naye viwanjani ni ndogo kucompare na asali aliyopewa na lulu!!!!!tatizo la dar es salaam uani washamuharibu huyu binti!
 
Back
Top Bottom