Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Wanawake wa kichaga sio wa kuoa ni kuzalisha tu..ukiweka ndani kama mke siku zako za kuishi zinahesabika hasa ukiwa na mali..hata wanaume wenzao wa kichaga wanawakimbia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume tunafeli wapi,unaanzaje kuandika majina ya Mali kwa jina la mkeo!?,mke ni sawa na rafiki, anytime anaweza akavunja urafiki,na akakutupa Kama hakujui vile.kila siku wanasikia hivi visa still hawajifunzi .Swain!
 
Comment yako iko poa sana. Very logical and retional.
 
Wanasema nature inatunzwa na nature.

Naweza kuwaita wababe wa NDOA, wanawake wa kichaga na hasa hasa wamachame, wameru, nk, hao wana tabia hiyo hasa kumuondoa binaadam mwanamme duniani kisa mali.

Hii ni asili yao na inapelekea wanaume flani not wanaogopa ila wanakimbia bila kugeuka kuoa kabila hizo.

Nimekuwa namsikia huyo Buberwa akijitangaza kupitia radio ila muda sasa sikuwahi kumsikia na kama ni hayo yaliyomkuta basi "dunia hadaa ulimwengu shujaa" wanaume hasa vijana mna la kujifunza sana hapo.


👉🏾*Bado naendelea kujifunza stadi za maisha ya binadamu'.
 
Mkuu huna akili zaidi yangu. Halafu kingereezaaa kingiiiii mwisho point unatoa utumbo [emoji38]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Uko sawa kabisa ata uyo mke wake uki mwangalia afya ina mgogoro!
Nilionana naye mwaka jana tu kusalimiana alionekana mgonjwa!
Mungu amlaze mahala pema
 
Kwahio Lissu alitumia kichupa hiko 😂😂😂
Mjini mipango. Nashangaa Graduate wanataka ajira Halmashauri. Bongo wajinga bado wengi mno. Hata ukiamua kupiga PROMO Basi luxury -VIP (feki) Dar -Arusha nauli 50,000/= utawapata wa kutosha.
 
ukiangalia uyo mke wake tiari ana onekana mgonjwa jamaa atakuwa kamwachia na magonjwa nyemelezi pengine!
 
Una shida fulani kichwani chief.. nguruwe ukipigana nae utachafuka tu bure, ngoja nikuache uchafuke peke yako.. points 3 zote zako chief.. [emoji111]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana na si wachagga wote wapo hivyo ila kweli ndugu hasa wa kiume wa wanawake wa kichagga wanawapotosha dada au mabinti zao!!!!!!
Kwani wanavyo wapotosha hawakumbuki kuwa na wao ni wanaume na wameoa au wataoa! Duu
 
Duuh
Asante Mungu
 
Kiranga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…