Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Mpk miaka hiyo nitakuwa nimeshakufa
 
Umeutendea haki huu uzi.
Umetupa mirejesho muhimu kutoka pande zote mbili. Hii ndio jamii forums ninayoikubali.

Nilichojifunza katika hichi kifo cha Dr. Bubelwa na maisha yake ni kuwa....
1. Mifarakano katika ndoa huzaa maneno mengi sana kutoka kwa watu wasiojua chochote.

2. Jamii inaona wivu sana ikimuona mwanamke aliyetalikiwa au mjane anarithi sehemu ya mali alizochuma na mumewe.

3. Tujifunze na kuielewa taasisi ya ndoa kwa mapana yote kabla ya kuiingia.
 
Ila wanaume wengine mafala sana, unathubutu kuandika hati za Mali zako kwa mkewe, ndo k m tu inawalewesha ivo
 
Na wewe uliwapima kwamba wana Visukari na majibu unayo?

Mbuzi wewe

Mkadiriaji kama mimi,halafu upo hapa ku-lecture me niache ukadiriaji wakati na wewe kadiriaji

Kiazi wewe
Mental illness inakusumbua wewe..kuna sehemu uliona nmesema ana DM..? Punguza makasiriko na chuki za kujinga dogo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo kwenu watu huwa hawafi kisa sio wachagga vitu vingine huwa ni akili ndogo huamini. Mimi na wewe kufa siku moja ni lazima

Shida Sio Kufa
~Tatizo wanawake wa kichanga Mnatuua sisis~
 
~Mpaka na Mimi Naanza kuamini nakuogopa Kuhusu Wadada wa KCHAGA





*
 
Babu mwitore ule mchepuko wako unaendeleaje mlisha settle Mambo yenu.
Hahaha, ngoja nicheke mie kama mazuri vile,
Kunishambulia kote kule nimrudie tena, hata yeye mwenyewe hawezi kuthubutu, watoto nilishapeleka kwa bibi yao kijijini kwetu,
Yeye mwenyewe bado yupo kwao huko,

niligundua yupo na mimi lakini kapanga chumba huko kwao na huko alipokuwa akienda kufunga mzigo wake. Kwa hiyo Ana mtu wake huko wanafuaatana,
Alijichanganya mwezi uliopita akanitumia msg eti naombanisaidie pesa ya kuvunia, wala sikumjibu.
Nasikia ana mpango wa kurudi Dar kupanga chumba
 
Huo upande wa pili uta justfy kitu gani?! Mume anataabika mwenyewe , anadhulumiwa, kuna cha justfy hapo?! &
Nimefurahi michango yako katika hili suala. Aidha itakuwa vyema tukitafakari na kutafakuri hizi picha za harusi yao. Hapa hatuwezi jifunza kitu? Mfano katika picha hii, wewe unaona kuna usawa wa kijinsia ambao tumeuzoea? Au (the so called Dr) Buberwa alikuwa marioo?
 

Unataka kusema kuwa Dr Buberwa alikuwa ameolewa? inaweza kuwa kweli au hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…