Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kweli mkuu aliwahi kusema wazi kuwa ana kisukari na kudai kuwa moja ya dawa zake inatibu kisukari lakini yeye anataka ajifunze madhara ya kisukari hatajitibu.

Pia alijiita nabii kwa kutabiri mwisho wa dunia kimahesabu, hesabu zilizoangukia mwisho kuwa 2037 hivi..!
Mpk miaka hiyo nitakuwa nimeshakufa
 
View attachment 1842420

View attachment 1842421
Mrejesho no 2
Maelezo ya Bi Riziki Buberwa yako wazi wakati akiongea na wawakilishi wa ndugu wa marehemu kwamba walianza kutafuta mali wote na walifunga ndoa na kupata watoto watatu .

Anasema kuwa hawakujua awali kama mumewe ana mtoto mkubwa.

Kwamba baada ya kutokea kutoelewana baina yao aliamua kwenda mahakamani kutafuta haki yake kisheria na mahakama iligawa mali sawa kwa sawa. Hata ofisi ya huduma za kitabibu iligawanywa kila mmoja akabaki na ya kwake.

Hivyo kila mmoja alianzisha maisha yake huku wote wakiwa na jukumu la kulea watoto

Anasema miaka kadhaa baadaye alikuja kugundua kuwa mumewe huyo amefilisika na hajui zile mali zake alipeleka wapi au kufanyia nini maana hata mtoto wake mkubwa alikosa mwelekeo. Aliamua kumchukua na kukaa naye.

Anasema maisha ya mumewe waliyetengana bila kuvunja ndoa yalikuwa hayaeleweki na kila mmoja aliishi kivyake hadi hapo mauti ilipomkuta akiwa dodoma.

Anasema taratibu za kumzika alizifanya yeye akishirikiana na badhi ya ndugu wa marehemu hasa mdogo wake wa kiume,watoto wake wote wanne na yeye.

'Dr Buberwa hakuwa na mama wala baba ,amezikwa na mkewe,baadhi ya ndugu zake na watoto wake wote hata mwanamke aliyezaa naye huyo mtoto alikuwepo' sasa mtasemaje familia yake haikuhusika?. alijibu wakati akihojiwa .

Kuhusu kutopeleka msiba bukoba Riziki anasema kuwa kulitokea sintofahamu iliyotokana na maziko ya mumewe lakini kwa sasa anajinga kupeleka msiba na watoto huko Bukoba.

Alipoulizwa alipo yule mtoto wa kiume kwa sasa amesema kuwa amepelekwa Morogoro kwa mamake.

Kuwajua vema wapendao hawa waliotikiza na kuvunja historia ya harusi za kifahari Jijijini Dar. unaweza kutazama hapa chini


Husikose mrejesho no 3
Umeutendea haki huu uzi.
Umetupa mirejesho muhimu kutoka pande zote mbili. Hii ndio jamii forums ninayoikubali.

Nilichojifunza katika hichi kifo cha Dr. Bubelwa na maisha yake ni kuwa....
1. Mifarakano katika ndoa huzaa maneno mengi sana kutoka kwa watu wasiojua chochote.

2. Jamii inaona wivu sana ikimuona mwanamke aliyetalikiwa au mjane anarithi sehemu ya mali alizochuma na mumewe.

3. Tujifunze na kuielewa taasisi ya ndoa kwa mapana yote kabla ya kuiingia.
 
Ila wanaume wengine mafala sana, unathubutu kuandika hati za Mali zako kwa mkewe, ndo k m tu inawalewesha ivo
 
Na wewe uliwapima kwamba wana Visukari na majibu unayo?

Mbuzi wewe

Mkadiriaji kama mimi,halafu upo hapa ku-lecture me niache ukadiriaji wakati na wewe kadiriaji

Kiazi wewe
Mental illness inakusumbua wewe..kuna sehemu uliona nmesema ana DM..? Punguza makasiriko na chuki za kujinga dogo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo kwenu watu huwa hawafi kisa sio wachagga vitu vingine huwa ni akili ndogo huamini. Mimi na wewe kufa siku moja ni lazima

Shida Sio Kufa
~Tatizo wanawake wa kichanga Mnatuua sisis~
 
~Mpaka na Mimi Naanza kuamini nakuogopa Kuhusu Wadada wa KCHAGA





*
 
Babu mwitore ule mchepuko wako unaendeleaje mlisha settle Mambo yenu.
Hahaha, ngoja nicheke mie kama mazuri vile,
Kunishambulia kote kule nimrudie tena, hata yeye mwenyewe hawezi kuthubutu, watoto nilishapeleka kwa bibi yao kijijini kwetu,
Yeye mwenyewe bado yupo kwao huko,

niligundua yupo na mimi lakini kapanga chumba huko kwao na huko alipokuwa akienda kufunga mzigo wake. Kwa hiyo Ana mtu wake huko wanafuaatana,
Alijichanganya mwezi uliopita akanitumia msg eti naombanisaidie pesa ya kuvunia, wala sikumjibu.
Nasikia ana mpango wa kurudi Dar kupanga chumba
 
Huo upande wa pili uta justfy kitu gani?! Mume anataabika mwenyewe , anadhulumiwa, kuna cha justfy hapo?! &
Nimefurahi michango yako katika hili suala. Aidha itakuwa vyema tukitafakari na kutafakuri hizi picha za harusi yao. Hapa hatuwezi jifunza kitu? Mfano katika picha hii, wewe unaona kuna usawa wa kijinsia ambao tumeuzoea? Au (the so called Dr) Buberwa alikuwa marioo?
1ACBEE6D-2CE5-4FFB-8664-B08DA7335283.jpeg
 
Nimefurahi michango yako katika hili suala. Aidha itakuwa vyema tukitafakari na kutafakuri hizi picha za harusi yao. Hapa hatuwezi jifunza kitu? Mfano katika picha hii, wewe unaona kuna usawa wa kijinsia ambao tumeuzoea? Au (the so called Dr) Buberwa alikuwa marioo?View attachment 1842909

Unataka kusema kuwa Dr Buberwa alikuwa ameolewa? inaweza kuwa kweli au hapana.
 
Back
Top Bottom