Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Life ni dawa kwa ajili ya mifupa na kuimarisha mwili hususani kwa wazee,bi mkubwa wangu alikua anaitumia sana akapona magoti....R.I.P Dr.
Mkuu hiyo dawa naweza kuipata wapi? Bi mkubwa anasumbuiwa sana na magoti
 
Nimeshindwa kuelewa coz ulikuwa unaongea kwa sauti sana....... And me huwa nasikiliza vizuri kwenye sauti ya chini sio ya juu.
 
Nani kakwambia ni kisukari?

Anaweza kua alikua na ukimwi,how do you dispute this?

Kafa,na alikua mgonjwa,of what?who knows?

Kachoka,afya mgogoro,liongo,tapeli,etc...

Fvck outta here!
Reaction yako kali sana. Tujitafakari sisi sote ni mavumbi. Kuchoka afya, magonjwa nk nk ni mapitio tuu. Mwisho wetu kabisa hapa duniani ni kifo. Siku tu ndio zitatofautiana.
 
Ni tapeli tu huyo! Yaani awe na dawa ya kutibu kisukari halafu mwenyewe asijitibu abaki kuteseka na kupoteza nguvu za kiume
 
Takwimu ziko approved na mamlaka gani..au umejitungia kujipa moyo..wanawake wakichaga ni disaster katika ndoa..wachumia tumbo..wanajari pesa..hawafai kuolewa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…