Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Sasa ulivyo wa hovyo unataka ulete subgroups ndan ya wachaga ...akili za kijinga sana hz ....Nature itabaki kuwa nature.....lisemwalo lipo

Ghaiiiiii
Siwezi kubishana na wewe mwenye akili za kikabila karne hii
Pathetic!!!!!!
Baki na werevu wako mkuu tuache uchagga na ujinga wetu
 
Ni Tanzania pekee ambapo mtu anaweza kutambua gonjwa/magonjwa yanayokusumbua kwa kukutazama tu!

Maoni yangu ni huru jombaa. Sio kila MTU anamacho anaona wewe tulia tuu. Uzoefu tuu ata huko unapo pawaza tushapita sana. Shukuru Mungu kuna Atlas unajua majina ya inchi. Sina mengi sana ila kuwa mpolee.
 
Ghaiiiiii
Siwezi kubishana na wewe mwenye akili za kikabila karne hii
Pathetic!!!!!!
Baki na werevu wako mkuu tuache uchagga na ujinga wetu
Aina yako ya utetezi ilitaka kutenga kundi flan la wachaga. ....we ujitoe ...umekosa uzalendo kwa wachaga

By the way me pia mchaga ..... Combination ya machame na marangu
 
RIP Dr.Buberwa,alikuwa Dr.wangu.
 
Hao dada zake na ndugu wengine walitakaje kulazimisha kumzika mume wa Riziki
 
Inasononesha mno!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Thats your problem and your rules not mine

Dont impose it on me,nimeweka response yangu hapo,haipo kwenye your frequencies then pita hivi

Mimi hivi,mimi that,nina allerge ya kelele,ninataka hivi mara vile,etc..thats on you my nigga!
Nani my nigga?! [emoji34][emoji34]
 
Dah wanawake wa pande zile ni faken kabisa c
 

UMEMALIZ... kweli huyo alokujibu mwanzo ni mchags kwao mali mbele kuliko utu
 
Mungu amrehemu. Nje ya mada, anadai alimpa dawa Tundu Lissu (sijui inaitwa Life) akawa anaitumia (toka 2014, sijui kama nimesikia vizuri) zikamzuia na mauti kupitia risasi. Nadhani yeye hakuwa anatumia hizo dawa. Kila nafsi na mwili vitaonja mauti (si roho)
 
Duh, mshikaji alikua anajiita Nabii kama Nabii Musa.

Alikua anatabiri mwisho wa Dunia mara nyingi tu.

Apumzike kwa amani.
Watu wangu wanaangamia kwa kikosa maarifa, inabidi ujitoe ufahamu kutumia bidhaa za huyu nabii
 
Hoja imeungwa mkono
 
Yaaani we boya umepigwa spana ya kiakili hapo juu badala uje ujibu kiakili unatapa tapa kurusha vijembe.. [emoji38]
 
Tunaowakwepa wake wakichaga siowajinga
Mkuu usiwaogope wanawake wachaga…..ujue tu unasimamia wapi kuanzia mwanzo na utakuwa na uhakika watoto wako watasimama hata kama haupo… uchagani wanawake wamefundishwa kukimbiza kama umetokea kasa huko na spidi yako haiendani na yake lazima ukimbizwe Tu…. Bravo kwa dada zetu wa uchagani kimbiza tu watu wa kasa hao ila sasa msiwadedishe daaah…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…