Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Yes mkuu kama mtihani umepata100%.
 
πŸ˜€πŸ˜€Una shida nao gani? Kuna mwingine hapa Ana hangover balaa anatapika tu...sema neno moja nimwambie!
Hahahaha dah ila wewe! Basi tu, huyo mwana CCM was kudumu mwambie salary imeongezwa, wamepandishwa madaraja, wamelipwa malimbikizo yao including likizo, mwambie asisahau kupiga kura tena watapewa zile 50m na laptop kila mtu.
 
Sasa utata wa hicho kifo upo wapi?


Kama mtu amebakiza mwaka kustaafu inamana huyo ni mzee, basi uenda alikuwa na maradhi yake kama presha, kisukari au moyo ndo yamemchukua uhai wake
Na alibakiza aiku chache kufariki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…