Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

kuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yule
Tutake radhi wachaga[emoji1787][emoji1787][emoji28]
 
Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
Naona angekuwa mchagga huyo mjane hili lilikuwa jumba bovu lishamwangukia.
Tuache kuhukumu watu kwa kukariri tunawakosea marehemu, pia tunaweza kuwauwa wajane kwa shinikizo la damu sababu ya tuhuma zetu.

Kama ninyi nendeni mkaombe uchunguzi wa daktari.
 
Leo in siku ya tatu tukiwa tumegubikwa na sintomfahamu juu ya kifo hiki.

Marehemu alikuwa bukheri wa afya na alionekana Mara mwisho saa tatu na nusu alipoamua kwenda kulala alipita dukani akanunua mahitaji, asubuhi tunaambiwa Shaba Ndoja hatuko naye, ujasiri wa mke wake kumbeba yeye na mfanyakazi wa ndani bila hata kuwaita majirani wa karibu.

Mbaya zaidi hakujulisha majirani yaliyotokea. Hata mjane huyu anayefanya kazi Amref huwa hajumuiki na watu tangia alipoingia Bunju beach. Mpaka hapa wakina mama wameususia msiba kwa kuwa mwanamke aendagi kwenye misiba.

Maiti imesafirishwa leo kuelekea Dodoma kwao
Acha uswahili:
1.si lazma kujumuika, hata jiwe huwa hajumuiki misba ya wwatu, ndugu zake watazika,

2. Kifo kujua chanzo fanyeni postmotarm.

3. Unataka kwenda kwenyehuo msiba ukacore maisha ya watu na kula tu, hamna lolote.
 
Swala la kulala mke na mme vyumba tofauti ina mambo mengi not only kuwa wamegombana wakuu.

Utakuta watu wana nyumba ina vyumba zaidi ya vitano na wana watoto wawili au watatu ,kuna kipindi mama anakuwa mjamzito au amejifungua ,lazima awe na chumba chake alale kwa kujirelax.

Vyumba masters vinakuwa full equipped na TV ndani , Mshua anakuwa awe free kufanya kazi zake za kiofisi ,kuongea kuhusu bizness ,kufanya meeting online lazima awe free kwake akitulia , ushawahi kufanya kazi halafu mtu unamuona kitandani amelala hauoni concentration itapungua?

Kulala vyumba tofauti haimaanishi kwamba "Hamuwezani" ,mnaweza kulala kitanda kimoja na "Msiwezane" ,Kuna watu wametenga kabisa chumba cha "kuwezana only" wakimaliza "kuwezana" kila mtu anaenda kulala chumba chake au Mme au mke anaweza kwenda chumba cha mwenzake "akampea" wakishamaliza anaenda chumba chake kulala.
Una kwepesha mada na kuhalalisha matukio yanayoongelewa hapa.
 
Huo ni utapeli mtu na ujanja wa kiini macho.
Mganga huyo nyumba nyoka wanaingia usiku bila hodi, halafu binti kapigwa maneno matamu hadi anachojoa suruali kuonyesha kalio.
Mganga huyo atapiga rear kwa hiari ya binti.
Profession za watu hizi duh kuna watu skillful....jamaa kamwaga "maneno asali" hadi jinzi imetii sheria bila shuruti [emoji23][emoji23][emoji23] mamaeee....wait wait......hizi sio jinzi zetu zile?
 
Wewe n choko kama machoko wengine tu wa buza kwa mpalange huu ujinga wenu wa kuleta chuki ya kimakabila utawacost alafu Mod ntawashangaa sana msipofuta coment km hizi za kinnya nnya zinazowagawa watu km mtu huna cha kucoment bora ukawange.[emoji57][emoji57]
Hao machoko wengine lazima na ww utakuwemo,hakuna mwenye chuki ni matukio yaliyonitokea mm mwenyewe,kama mnaficha ushirikina wenu kwa kuuwa maume zenu ili mmiliki mali huo ni uchoko plus.
 
Mnaambiwa kila siku oeni kwenu mnarusha rusha matako around...

Haya sasa,unaenda kuoa watu who do not look like you kumbe culture na DNA ndio kila kitu,leo limetokea la kutokea mnaanza kulia lia...

Mtajijua bwana!
Waoe kwao wapi? Kimkoa au binamu binamu?
 
Ndio Mana kabeba maiti peke yake,atawajulisha vipi nyie majirani wanoko wakati anajua fika mmtamsusia?
Ona Sasa mmeshindwa hata kwenda msibani kisa mke wa marehemu hajumuiki,hapo mmemsusa marehemu sio mke,mngesubiri mke afe ndio msuse
Duh dunia ina mengi wallah
 
Back
Top Bottom