Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Tutake radhi wachaga[emoji1787][emoji1787][emoji28]
 
Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
Naona angekuwa mchagga huyo mjane hili lilikuwa jumba bovu lishamwangukia.
Tuache kuhukumu watu kwa kukariri tunawakosea marehemu, pia tunaweza kuwauwa wajane kwa shinikizo la damu sababu ya tuhuma zetu.

Kama ninyi nendeni mkaombe uchunguzi wa daktari.
 
Acha uswahili:
1.si lazma kujumuika, hata jiwe huwa hajumuiki misba ya wwatu, ndugu zake watazika,

2. Kifo kujua chanzo fanyeni postmotarm.

3. Unataka kwenda kwenyehuo msiba ukacore maisha ya watu na kula tu, hamna lolote.
 
Una kwepesha mada na kuhalalisha matukio yanayoongelewa hapa.
 
Huo ni utapeli mtu na ujanja wa kiini macho.
Mganga huyo nyumba nyoka wanaingia usiku bila hodi, halafu binti kapigwa maneno matamu hadi anachojoa suruali kuonyesha kalio.
Mganga huyo atapiga rear kwa hiari ya binti.
Profession za watu hizi duh kuna watu skillful....jamaa kamwaga "maneno asali" hadi jinzi imetii sheria bila shuruti [emoji23][emoji23][emoji23] mamaeee....wait wait......hizi sio jinzi zetu zile?
 
Hao machoko wengine lazima na ww utakuwemo,hakuna mwenye chuki ni matukio yaliyonitokea mm mwenyewe,kama mnaficha ushirikina wenu kwa kuuwa maume zenu ili mmiliki mali huo ni uchoko plus.
 
Mnaambiwa kila siku oeni kwenu mnarusha rusha matako around...

Haya sasa,unaenda kuoa watu who do not look like you kumbe culture na DNA ndio kila kitu,leo limetokea la kutokea mnaanza kulia lia...

Mtajijua bwana!
Waoe kwao wapi? Kimkoa au binamu binamu?
 
Ndio Mana kabeba maiti peke yake,atawajulisha vipi nyie majirani wanoko wakati anajua fika mmtamsusia?
Ona Sasa mmeshindwa hata kwenda msibani kisa mke wa marehemu hajumuiki,hapo mmemsusa marehemu sio mke,mngesubiri mke afe ndio msuse
Duh dunia ina mengi wallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…