Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Swala la kulala mke na mme vyumba tofauti ina mambo mengi not only kuwa wamegombana wakuu.

Utakuta watu wana nyumba ina vyumba zaidi ya vitano na wana watoto wawili au watatu ,kuna kipindi mama anakuwa mjamzito au amejifungua ,lazima awe na chumba chake alale kwa kujirelax.

Vyumba masters vinakuwa full equipped na TV ndani , Mshua anakuwa awe free kufanya kazi zake za kiofisi ,kuongea kuhusu bizness ,kufanya meeting online lazima awe free kwake akitulia , ushawahi kufanya kazi halafu mtu unamuona kitandani amelala hauoni concentration itapungua?

Kulala vyumba tofauti haimaanishi kwamba "Hamuwezani" ,mnaweza kulala kitanda kimoja na "Msiwezane" ,Kuna watu wametenga kabisa chumba cha "kuwezana only" wakimaliza "kuwezana" kila mtu anaenda kulala chumba chake au Mme au mke anaweza kwenda chumba cha mwenzake "akampea" wakishamaliza anaenda chumba chake kulala.
wana walakini hao...
 
Ni kweli kabisa watu hawajazoea kabisa kusikia haya!! Familia nyingi zenye uwezo kila mtu ana chumba chake!! Kuna chumba cha baba,chumba cha mama ,chumba cha watoto hata kama wanne kila mtu na chumba chake,chumba cha wageni na chumba cha mfanyakazi(servant quater). Sasa utakuta mtu ana ghorofa juu vyumba vinne ,chini vyumba vitatu kuna haja gani ya kubanana kitanda kimoja?
Umri wako tafadhali!
 
Ndio ilivo Wana ndoa hukutana tu mda wa tendo kila mtu anaenda kulala kwake
@ cariha, hili hutokea hasa kwenye polygamous marriages ambapo baba ana nyumba tofauti na wakeze. Ukiona mtu ana mke mmoja na wanalala tofauti jua kuna tatizo au wanapanga uzazi
 
@ cariha, hili hutokea hasa kwenye polygamous marriages ambapo baba ana nyumba tofauti na wakeze. Ukiona mtu ana mke mmoja na wanalala tofauti jua kuna tatizo au wanapanga uzazi
Mimi nimeshuhudia hyo Sana na hata wakiwa chumba kimoja kila mtu kitanda chake na hyo sio polygamous home mkuu. Mwenyewe binafsi I prefer to sleep alone kuliko na mtu na tukawa cool, let meet for a short time, Mambo ya kupumuliana na kujambiana sipendi kabisa.
 
Nimeponea chupuchupu kuuliwa na mpare hata sitaki kuwasikia,nimeishi nae 10yrs kumbe ananilia target nimalizie mjengo anirestishe in peace,mungu ni mkubwa na ahimidiwe kwa kweli.
Ilikuwaje ukaepuka kikombe usikinywe? Funguka Mkuu ili kusanua wengine.
 
Mimi nimeshuhudia hyo Sana na hata wakiwa chumba kimoja kila mtu kitanda chake na hyo sio polygamous home mkuu. Mwenyewe binafsi I prefer to sleep alone kuliko na mtu na tukawa cool, let meet for a short time, Mambo ya kupumuliana na kujambiana sipendi kabisa.
Chumba kimoja vitanda viwili sawa ila si vyumba viwili! Hiyo hairuhusiwi katika tasnia ya ndoa. Kuna faida lukuki za wanandoa kulala pamoja na miili yao kugusana.
 
Chumba kimoja vitanda viwili sawa ila si vyumba viwili! Hiyo hairuhusiwi katika tasnia ya ndoa. Kuna faida lukuki za wanandoa kulala pamoja na miili yao kugusana.
Hata vyumba viwili ni sawa tu kwanini mlale kwa kubanana wakati kuna space ya kutosha
 
Vifo vya utata ni vingi sana. Hasa ambavyo wanaume tunauliwa na wanawake Ila vinakuwa havina ushaidi sababu vinatokea katika mazingira ya kishirikina. Wanawake ni wachawi sana hawa na magaidi na wauaji wakubwa. Usimwache mwanamke mchawi aishi .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeponea chupuchupu kuuliwa na mpare hata sitaki kuwasikia,nimeishi nae 10yrs kumbe ananilia target nimalizie mjengo anirestishe in peace,mungu ni mkubwa na ahimidiwe kwa kweli.
Ingawaje si vizuri kuonyesha udhaifu wa kabila , lakini na mimi na rafiki yangu karibu turestishwe in peace na dada mmoja wa kipare.
Ilikuwa hivi.
Tulikuwa marafiki watatu ambao tulianzisha mradi kwa ubia na mradi uikuwa unaenda vizuri sana na unakaribia kukamilika kule Morogoro.
Mradi ulianza kuleta faida nzuri kabisa kabla hata ya kukamilika na ulitutoa familia zote tatu.

Kwa bahati mbaya yule mume wa dada wa kipare akakanyaga miwaya, na akaanza kuugua.
Ilipoonekana ni lazima atatangulia mbele za haki panic ikaingia kwa familia ya dada wa kipare.
Bahati nzuri tulijua kuwa yule dada wa kipare ana roho mbaya.
Lakini yaliyotokea ni funga kazi.

Kuna siku tumeenda kumjulia hali rafiki yetu ambaye sasa likuwa hoi bin taabani, tukatonywa na house girl wake ambaye tulimzoea maana tulikuwa kama marafiki tunaotembeleana sana.
Na yule house girl alikuwa wa kabila ya yule mwenzangu wa pili.
Yule house girl akatwambia tukiletewa juice tusinywe kwa hali yoyote.

Basi tumekaa sebule tunamsubiri mwezetu mgonjwa atoke toka chumbani , kweli tukaletewa juice .
Tukatazamana na mwenzangu na tukakaa kimya.
Mgonjwa alipotoka tukamjulia hali na tukaongea naye kwa muda kidogo.
Dakika kumi baadaye yule dada wa kipare kaja, kitu cha kwanza anatuuliza kwa nini hamywi juice?
Siye tukamwambia tumeshiba!!

Haraka akamwita house girl na akamwambia akaimwage!!
Asingeimwaga ile juice , kwa vile ana watoto alijua wanaweza kunywa
Tulishangaa na tukaondoka zetu.
Rafiki yetu aliaga dunia si muda mrefu.
Yule dada alijua mume angefariki, na ili apige bingo na hawa marafiki zake wakiondoka yeye angerithi mali zote.
Duniani kuna mambo!
(hii stori ni ya kweli, sio riwaya)
 
kuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yule
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanaumme wasiku hizi waoga kweli
 
Kulala vyumba tofauti kwa wanandoa siyo kawaida, Uzuri wa ndoa ingia ndiyo utajua km unaweza kulala vyumba tofauti au lah.
 
Km hujui hilo la kunyakua maiti mwenyewe ndo halitamuacha salama huyo mama japo unaweza kuchukulia kitu cha kawaida. Duh watu wana roho ngumu aiseee.
Unajuaje kama alikuwa anamuahisha hospital apate tiba
 
kuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yule
Kumbe wewe ni dume, duh
 
Yaani sina hamu na wanawake wa kipare. Kuna ndugu yangu alikuwa ndiyo nguzo ya familia yao akaoa mpare. Yule mwanamke akawa na hawara akawa anamtesa sana ndugu yetu. Ndugu yetu alikuwa na cheo Kikubwa sana IDM Mzumbe akawa ametoka mkutano AICC Arusha kufika home akala chakula kesho yake hakuamka. Cha kusikitisha hata 40 haikuisha yule mwanamke akamleta yule hawara ndani Yaani nyumba aliyojenga ndugu yetu. Akaanza kutawanya watoto kupeleka upareni kwa wazazi na the only son aliishia kuishi maisha mabovu na bangi juu. Cha kustaajabisha siku ya mazishi hakulala msibani na alipoondoka hakurudi tena na alirudi baada ya zaidi ya miaka 20 akaomba akaonyeshwe kaburi la Marehemu mumewe akaomba hapo maana eti huwa anamtokea usiku. Yaani hii ni laana.

Kisa cha pili ni binamu yetu naye alioa mke mpare akawa changudoa mpaka hata akisimamia ndoa ni mpaka amdake huyo mwanaume aliyesimamia ndoa yake. Akili ya mume ikawa zuzu hata kwao hakujenga bali alijengea wazazi upareni akatupa wazazi wake. Mama yake alisema "Anayetaka kuoa mpare aoe haraka maana akishaingia kaburini hakuna kizazi chake cha kwanza hadi cha nne kitaoa mpare tena ni mwiko mkubwa mno."
Mkuu ukiingia kwa mpare hutoki, kuna Dada hapa mtaani wanaume wamepanga foleni kwake, wanaume wanapishana mlangoni Yan akitoka huyu anainngia mwingine muda huo huo, na hao wanaume wanajuana wote kuwa wanamla huyo Dada na wengi wao ni wanaume za watu, Yan ni balaa
 
Back
Top Bottom