vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 615
Tukiacha stori zoooooote..!
1. Tuendelee kunawa kwa sabuni na vitakasa mikono kila mara
2. Tupige malimau na Tengawizi
3. Kumbukua kusukutua koo kwa chumvi
4. Tumia detto za maji na spray ikiwezekana kupunguza vijidudu na virusi mahala unapoishi
5. Mara moja moja kumbuka kula machungwa kwa wingi au Vitamin c suppliments kusaidia kinga
Tuendelee kuchukua tahadhari nchi za wenzetu wanasoma idadi sisi sio tuna bahati kivilee tusijisahau sana......................
1. Tuendelee kunawa kwa sabuni na vitakasa mikono kila mara
2. Tupige malimau na Tengawizi
3. Kumbukua kusukutua koo kwa chumvi
4. Tumia detto za maji na spray ikiwezekana kupunguza vijidudu na virusi mahala unapoishi
5. Mara moja moja kumbuka kula machungwa kwa wingi au Vitamin c suppliments kusaidia kinga
Tuendelee kuchukua tahadhari nchi za wenzetu wanasoma idadi sisi sio tuna bahati kivilee tusijisahau sana......................