Kifo hakipangwi na Mungu

Kifo hakipangwi na Mungu

Napopata wakati mgumu ni pale mtu anapokufa watumishi wa MUNGU na ndugu kumuombea mtu mfu alale mahali pema peponi,hua sielewi,mtu alikua mwizi,mchawi wa kudhuru manadamu wengine,jambazi muuaji,mtembea na wake/ waume za watu,muongo wa kupindukia,eti akilala mauti ghafla inaandaliwa misa na maombi yanasemwa alale mahala pema peponi,kulala mahala pema peponi ni kazi ya MUNGU mwenyewe anapompima mtu na matendo yake alokua akifanya hapa duniani,hua napata shida nilipokua nikijua tabia za marehemu tena amekata ghafla bila kufanya toba,lakini tunasema alale mahala pema peponi...dah!
 
Napopata wakati mgumu ni pale mtu anapokufa watumishi wa MUNGU na ndugu kumuombea mtu mfu alale mahali pema peponi,hua sielewi,mtu alikua mwizi,mchawi wa kudhuru manadamu wengine,jambazi muuaji,mtembea na wake/ waume za watu,muongo wa kupindukia,eti akilala mauti ghafla inaandaliwa misa na maombi yanasemwa alale mahala pema peponi,kulala mahala pema peponi ni kazi ya MUNGU mwenyewe anapompima mtu na matendo yake alokua akifanya hapa duniani,hua napata shida nilipokua nikijua tabia za marehemu tena amekata ghafla bila kufanya toba,lakini tunasema alale mahala pema peponi...dah!

Mkuu huo ndio unaitwa udini tu, utaratibu tu wa ibada. Sala zote kwa ajili ya marehemu hazina maana yeyote kwake yeye. Ndio maana ni muhimu kuishi maisha ya kumpendeza Mungu wakati uko hai. Ufifa tu game is over.
 
Mungu hapangi kifo kwa sababu hayupo.

Kama yupo naomba kuthibitishiwa.

Uthibitisho ni huu- hakuna anayekuamsha asubuhi unajikua umeamka, hukufanya kitu cha ziada unafanya uamke na unavuta oxygen yake ya bure. Akizuia hiyo hewa kwa takika tano huna uhai. Kwa kifupi huu ni uthibitisho tosha ya kuwa Mungu yupo.
 
Uthibitisho ni huu- hakuna anayekuamsha asubuhi unajikua umeamka, hukufanya kitu cha ziada unafanya uamke na unavuta oxygen yake ya bure. Akizuia hiyo hewa kwa takika tano huna uhai. Kwa kifupi huu ni uthibitisho tosha ya kuwa Mungu yupo.
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Umeaema hakuna anayeniamsha.

Nakwambia nithibitishie kwamba mungu yupo, unaniambia mungu ananipa oxygen.

Unajuaje kama ni mungu na si kitu kingine chochote tofauti?
 
Mungu hapangi kifo wala haui mtu lakn anaweza ruhusu upumzike kwasababu atakazoona yeye kwa wakati.

Sababu ni mbili tu zinazoweza pelekea aruhusu upumzike mapema.

1. Mti usiozaa matunda utakatwa na kutupwa mbali - rejea kisa cha mtini

2. Heri wafu wafao sasa katika bwana, Mungu anaweza ruhusu upumzike kwasababu umeitimiza kazi yake. Anasema wapate pumzika baada ya taabu zao. Kuna watu mungu anaruhusu walale kwasababu wanajitahd katika mapito yao.

Dhambi upelekea mtu kufa mapema, hasa mungu anapoona wakatiwingine unatumika kuharibu mission zake au kupoteza wengine.

Ukiishi mpka miaka 70 na kuzidi unaishi bonis time na muda wa rehema

Kwa hyo na Mugabe anakula bonasi yake
 
Hiyo miaka 70 wewe umeitoa wapi? Kwa nini siyo 90 au 100?

Au na wewe umekuja na TIMELY MESSAGE FROM HEAVEN kama Kibwetele?

Kama na wewe huna ushahidi basi unapaswa upuuzwe tu maana huna tofauti na hao unaowakosoa.

Hizi siyo zama za kuaminishana.

Nimeandika zaidi ya miaka 70 so it can be 90 au 100. Jaribu kuwa na open minded utajifunza vingi mkuu!
 
Uthibitisho ni huu- hakuna anayekuamsha asubuhi unajikua umeamka, hukufanya kitu cha ziada unafanya uamke na unavuta oxygen yake ya bure. Akizuia hiyo hewa kwa takika tano huna uhai. Kwa kifupi huu ni uthibitisho tosha ya kuwa Mungu yupo.

Kwahyo zile oxygen pump mahospitalin zinaendeshwa na mungu ndani yake
 
Nimesikiliza watu wengi mtu akifa wanasema "Mungu amepanga". Uongo huu umepita kizazi hata kizazi ili tufarijike katiba misiba.

Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu anayekufa akiwa na miaka zaidi ya 70 ni mapenzi ya Mungu.

Mungu hana kitabu ameandika aina ya kifo cha mtu chini ya miaka 70. Watu wanakufa kutokana na aina ya maisha wanayo ishi, mazingira wanayoishi na imani za kishetani.
Umri wa mwanadamu ni miaka sabini akiwa na nguvu ni miaka 80 baada ya hapo unaishi miaka ya ubatili
Mkanganyiko:
Siku moja kwa Mungu ni kama siku elfu kwa mwanadamu
Yote ni maandiko matakatifu yahitaji hekima ya kimungu kuweza kufunuliwa
Nb: sijakupinga nimeongezea
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Umeaema hakuna anayeniamsha.

Nakwambia nithibitishie kwamba mungu yupo, unaniambia mungu ananipa oxygen.

Unajuaje kama ni mungu na si kitu kingine chochote tofauti?

Kiranga mbona hii iko wazi kabisa, unataka uthibitisho gani wakati nimesha kupa hapo juu.
Mungu yupo = unaamka kila asubuhi ni yeye anafanya hayo
Oxygen = ni uumbaji wake tunavuta wote bure
Ninajuaje = Ni Mungu tu mwenye uwezo huo na sio kitu kingine chochote.
 
Kiranga mbona hii iko wazi kabisa, unataka uthibitisho gani wakati nimesha kupa hapo juu.
Mungu yupo = unaamka kila asubuhi ni yeye anafanya hayo
Oxygen = ni uumbaji wake tunavuta wote bure
Ninajuaje = Ni Mungu tu mwenye uwezo huo na sio kitu kingine chochote.
Hakuna hata kimoja hapo kinachothibitisha uwepo wa mungu.

Nakuuliza unajuaje kwamba mungu yupo? Unajibu ni mungu tu mwenye uwezo huo.

That is a cyclical argument.

Nakuuliza unaweza kuthibitisha mungu yupo? Kabla ya kuthibitisha kwamba mungu yupo, inakuja na conclusion kwamba ni mungu tu ndiye anayeweza kumpa binadamu oxygen.

Unajuaje kwamba ni mungu tu?
 
Hakuna hata kimoja hapo kinachothibitisha uwepo wa mungu.

Nakuuliza unajuaje kwamba mungu yupo? Unajibu ni mungu tu mwenye uwezo huo.

That is a cyclical argument.

Nakuuliza unaweza kuthibitisha mungu yupo? Kabla ya kuthibitisha kwamba mungu yupo, inakuja na conclusion kwamba ni mungu tu ndiye anayeweza kumpa binadamu oxygen.

Unajuaje kwamba ni mungu tu?

Swali hilo limeulizwa na watu wengi ulimwenguni kote, na jibu bado ni gumu sana kueleweka kwa watu wengi kirahisi ulimwenguni kote. Hivyo kuna vithibitisho vingi vinavyo tuonyesha kuwa Mungu yupo. Kwa mfano umbaji wa binadamu, dunia na elements zake. Mimi nafikili tukubaliane kutokukubaliana kwamba Mungu Yupo. Kama wewe unalojibu la unajuaje tujuze.
 
Swali hilo limeulizwa na watu wengi ulimwenguni kote, na jibu bado ni gumu sana kueleweka kwa watu wengi kirahisi ulimwenguni kote. Hivyo kuna vithibitisho vingi vinavyo tuonyesha kuwa Mungu yupo. Kwa mfano umbaji wa binadamu, dunia na elements zake. Mimi nafikili tukubaliane kutokukubaliana kwamba Mungu Yupo. Kama wewe unalojibu la unajuaje tujuze.
Uumbaji wa binadamu ukoje?

Mbona unasema mambo jumlajumla tu bila details?

Unaweza kuonyesha kwamba binadamu kaumbwa na mungu tu na hawezi kuwa ametokea vibgine vyovyote?

"Dunia na elements zake" inathibitishaje kuwapo kwa mungu?

"Kukubaliana kutokubaliana" ni kitu gani?

Ni kukubaliana au kutokubaliana?
 
Uumbaji wa binadamu ukoje?

Mbona unasema mambo jumlajumla tu bila details?

Unaweza kuonyesha kwamba binadamu kaumbwa na mungu tu na hawezi kuwa ametokea vibgine vyovyote?

"Dunia na elements zake" inathibitishaje kuwapo kwa mungu?

"Kukubaliana kutokubaliana" ni kitu gani?

Ni kukubaliana au kutokubaliana?
Kiranga unapenda sana ligi na believers kwanza mnamtafisiri Mungu yupi apa? Au tuelezane kwanza nini maana ya Mungu yani God
 
Uumbaji wa binadamu ukoje?

Mbona unasema mambo jumlajumla tu bila details?

Unaweza kuonyesha kwamba binadamu kaumbwa na mungu tu na hawezi kuwa ametokea vibgine vyovyote?

"Dunia na elements zake" inathibitishaje kuwapo kwa mungu?

"Kukubaliana kutokubaliana" ni kitu gani?

Ni kukubaliana au kutokubaliana?


Mkuu kiranga naamini hata nikijibu maswali yako in details bado swali lako litabaki kuwa pale pale unajuaje! na haitaishia hapo. kila jibu litakuwa na swali hivyo tunaweza tusimalize leo. Mimi naona tukubaliane au kutokubaliana kuwa Mungu yupo. Kama wewe unalojibu la unajuaje nijuze ningependa kujua.
 
Back
Top Bottom