OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Inasikitisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masela wanakupika siyoKuna masela wanatoa hii huduma ni pesa yako tu, atatezeka hadi utamuonea huruma😁👇View attachment 1937527
Wanaivisha supu atachagua mwenyewe aive sana au abaki kidogo sura inatambulika ili ndugu , jamaa na marafiki wapate mwili unaotambulikaMasela wanakupika siyo
Ni kweli talaka lakini haiwezi kufuta machungu yanguDawa ya usaliti kwenye ndoa ni talaka, Kama huwezi kutoa talaka Basi wewe pia una matatizo yanayofanana na yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bado sijaona nnachokitaka mzee nataka mateso yawe makali zaidiKuna masela wanatoa hii huduma ni pesa yako tu, atatezeka hadi utamuonea huruma😁👇View attachment 1937527
Sio uoga ndugu Ninatafuta unafuu moyoni mwangu kwakua Sasa Hivi nnagadhabu kubwa mnoo inaniumiza mwenyeweKuna harufu ya uwoga hapa..
Mzee subiri yakukute asseyBaba Jay kaza roho hii dunia tambala bovu.
Sio uoga ndugu Ninatafuta unafuu moyoni mwangu kwakua Sasa Hivi nnagadhabu kubwa mnoo inaniumiza mwenyewe
Binadamu tupo wa aina nyingi sana yaan kuna watu starehe yao kugonga wake za watu tu [emoji34][emoji34][emoji34]
Halafu wanawake nao inakuaje mke wa mtu unashoboka na wanaume nje ya mumeo
Sio uoga ndugu Ninatafuta unafuu moyoni mwangu kwakua Sasa Hivi nnagadhabu kubwa mnoo inaniumiza mwenyewe
Kwa taarifa ya jamaa ni kwamba mshkaji alimtongozea mkewe akiwa bado yupo kwenye ndoaWashaachana hao
Sasa anataka akimuacha mwanamke asiwe na mahusiano mengine?
Ukateseke jela na wanao uwaache wenyewe.Bora niteseke jela kuliko jinsi nnavyoumia moyoni