Hiki ndo nilichouliza kwenye uzi wangu fulani, ile dhana ya bunge kuwa muhimili huru wa kuishauri na kuisimamia serikali itabaki baada ya ndugai kuondoka, au bunge sasa litaenda kuufyata.........litabaki kupiga makofi tu wakati chifu na madelu wakiendelea kusaka mikopo popote ilipo......