Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Hivi Tz adhabu za kifo huwa zinatelelezwa kweli?
Wanawanyongaga kimya kimya Dodoma ila naonaga kama haitoshi inabidi mtu achinjwe na bisu ndio adhabu inakua nzuri Kwa mtu wa aina hiyo kufa kifo Cha starehe kama kumnyonga ni uzembe sana
 
Wanawanyongaga kimya kimya Dodoma ila naonaga kama haitoshi inabidi mtu achinjwe na bisu ndio adhabu inakua nzuri Kwa mtu wa aina hiyo kufa kifo Cha starehe kama kumnyonga ni uzembe sana
😂😂😂😂
 
Aiseee
Wasitoke ,hawa ni zaidi ya wanyama..
Japo kama ni kweli ulivyosema, nayo miaka 16 si haba.
Wale bado vijana watatoka wakiwa vijana kabisa........

Nadhani watakata rufaa alafu watapambania walau walimwe miaka 30.....

Miaka 30 watatumikia pengine miaka 20 au chini ya hapo...... hivyo watatoka wakiwa kwenye 40's hivi hivyo angali vijana wenye nguvu na uwezo wa kuanzisha familia.....
 
Hii sio good news ever.

Labda huelewi.

Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.

1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.

2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.

- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.

4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.

Huyu anaenda kustarehe...

ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.

Mtakuja kuniambia.

Nilitegemea wafungwe miaka 30

Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.

Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.

PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X
Ground moja ambayo nina uhakika wakili wa utetezi hakuisema na anaenda kuitumia ni kuwa utaratibu wa kumshtaki askari mahakama ya kijeshi ili akihukumiwa huko anapelekwa mahakama ya kiraia.

Kama utaratibu huo haukufuatwa nahisi hawa jamaa wameandaliwa kurejea uraiani
 
Wale bado vijana watatoka wakiwa vijana kabisa........

Nadhani watakata rufaa alafu watapambania walau walimwe miaka 30.....

Miaka 30 watatumikia pengine miaka 20 au chini ya hapo...... hivyo watatoka wakiwa kwenye 40's hivi hivyo angali vijana wenye nguvu na uwezo wa kuanzisha familia.....
Miaka 20 kifungoni.
Hatari sana.

Hivi jela huwa wanaruhusu matumizi ya simu?
Angalau wapoteze muda kuperuz mitandaoni
 
Wale bado vijana watatoka wakiwa vijana kabisa........

Nadhani watakata rufaa alafu watapambania walau walimwe miaka 30.....

Miaka 30 watatumikia pengine miaka 20 au chini ya hapo...... hivyo watatoka wakiwa kwenye 40's hivi hivyo angali vijana wenye nguvu na uwezo wa kuanzisha familia.....
Bongo uraiani tu huna uhakika wa kutobowa hiyo miaka ndio sembuse jela?

Hebu sikilizeni nyimbo ya Ndanda Kosovo jela ni mateso maana mnachukulia powa jela za Kibongo.
 
Wale bado vijana watatoka wakiwa vijana kabisa........

Nadhani watakata rufaa alafu watapambania walau walimwe miaka 30.....

Miaka 30 watatumikia pengine miaka 20 au chini ya hapo...... hivyo watatoka wakiwa kwenye 40's hivi hivyo angali vijana wenye nguvu na uwezo wa kuanzisha familia.....
Ulishawahi kukaa jela hata siku 1
 
Bongo uraiani tu huna uhakika wa kutobowa hiyo miaka ndio sembuse jela?

Hebu sikilizeni nyimbo ya Ndanda Kosovo jela ni mateso maana mnachukulia powa jela za Kibongo.
Mkuu sisi tumepiga hesabu za kibinadamu tu masuala ya uhai tumemuachia muumba......mkuu.......
 
Swali dogo tu kwako Mkuu, umewah fungiwa walau lock up masaa 6. Hakuna kitu kibaya kama kukosa uhuru, pia hawa watKUwa wanawaza tumefungwa maisha (forever) disturbance na mtikisiko wa akili wake sio wa kitoto
watu wanajiandikia tu kama wamehara.
umeongea kitu kikubwa.
mimi tu ilikua kukaa niko chumbani sina mchongo nilikua naona ni mateso makubwa siku naiona ndefu nahisi kudata sembuse life in jail.
 
Hii sio good news ever.

Labda huelewi.

Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.

1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.

2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.

- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.

4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.

Huyu anaenda kustarehe...

ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.

Mtakuja kuniambia.

Nilitegemea wafungwe miaka 30

Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.

Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.

PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X
Kimsingi adhabu waliyohukumiwa hao Watu siyo kitu kizuri na Wala siyo habari njema hata kidogo. Lakini sisi wote tujiulize, Je, Nini hasa kiini au chanzo cha janga kubwa lote hili lililowakumba hawa Watu??? Nafikiri chanzo cha janga hili ni kutokana na tamaduni, mila, desturi, mtindo wa maisha na mfumo wa malezi ya watoto au vijana ambayo ipo katika jamii zetu za kiafrika kwa nyakati za Sasa. Kuna ULAZIMA kwa wazazi wa sasa (hususani wazazi/walezi wa kiume) kuwa karibu zaidi na vijana wao wa kiume ili kuelezana bila aibu katika kuwapa miongozo sahihi kuhusiana na masuala haya ya mahusiano, pamoja na matumizi sahihi ya mitandao ya simu.

Naamini kwamba wapo baadhi ya Watu humu mtandaoni na hata huko uraiani pengine wamewahi kushiriki kwenye matukio mabaya zaidi ya hilo walilofanya hawa Vijana waliohukumiwa vifungo vya maisha, isipokuwa wao hawakukumbana na mkono wa Sheria kwa sababu huenda pengine hawakujirekodi videos na kuziweka publicly humu mtandaoni kama walivyofanya hawa.
Kitu cha muhimu zaidi kwa sasa ni kusimamia suala la Malezi Bora kwa Watoto na Vijana Wetu, hususani mkazo uwepo kwa wazazi au walezi kuwa waangalifu zaidi kwenye suala hili la Malezi ya Ujana sambamba na kusimamia matumizi sahihi ya mitandao ya mawasiliano ya simu kwa vijana wetu. Matumizi mabaya ya simu ndio imekuwa kichocheo kikubwa zaidi kilichowasababishia janga hili kubwa vijana hawa.
 
Basi watakuja uxafunge hiyo miaka uliyosema chumbani kwako wakusaidie mkeo
Sawa ndugu hakimu......

Majibu yako yanaakisi uwezo wa fikra zako......

Labda nikukumbushe tu kuwa hapa ni jukwaani tu ambapo kila mtu hutoa mchango wake kulingana na mtazamo na uzoefu wake......


Koooooorti.....📌
 
Bongo uraiani tu huna uhakika wa kutobowa hiyo miaka ndio sembuse jela?

Hebu sikilizeni nyimbo ya Ndanda Kosovo jela ni mateso maana mnachukulia powa jela za Kibongo.
Kwahiyo siyo kweli kwamba hawatateseka sana kama alivyochambua Mshana pale juu
 
Back
Top Bottom